< Zaburi 128 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
Nagasat ti tunggal maysa a mangdaydayaw kenni Yahweh, nga agbibiag kadagiti wagasna.
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Aniaman nga ipaay dagiti imam, pagragsakkamto; mabendisionan ken rumang-aykanto.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
Maiyarigto ti asawam iti nabunga nga ubas iti pagtaengam; maiyarigto dagiti annakmo iti olibo bayat nga agtugtugawda iti aglawlaw ti lamisaanmo.
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Wen, pudno unay, a nagasat ti tao a mangdaydayaw kenni Yahweh.
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
Bendisionannaka koma ni Yahweh manipud Sion; makitam koma ti panagrang-ay ti Jerusalem iti amin nga aldaw iti biagmo.
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
Agbiagka pay koma tapno makitam dagiti annak dagiti annakmo. Adda koma iti kappia iti Israel.