< Zaburi 128 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
Cantique des montées. Heureux l'homme qui craint Yahweh, qui marche dans ses voies!
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Tu te nourris alors du travail de tes mains; tu es heureux et comblé de biens.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
Ton épouse est comme une vigne féconde, dans l'intérieur de ta maison; tes fils, comme de jeunes plants d'olivier, autour de ta table.
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Voilà comment sera béni l'homme qui craint Yahweh.
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
Que Yahweh te bénisse de Sion! Puisse-tu voir Jérusalem florissante tous les jours de ta vie!
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
Puisses-tu voir les enfants de tes enfants! Que la paix soit sur Israël!

< Zaburi 128 >