< Zaburi 128 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
Kanto de suprenirado. Feliĉa estas tiu, kiu timas la Eternulon Kaj iras laŭ Liaj vojoj.
2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Kiam vi manĝas la laborakiron de viaj manoj, Feliĉe kaj bone estas al vi.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
Via edzino estas kiel fruktoporta vinberbranĉo interne en via domo; Viaj filoj estas kiel olivaj branĉoj ĉirkaŭ via tablo.
4 Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Jen tiel estas benata tiu homo, Kiu timas la Eternulon.
5 Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
Benos vin la Eternulo el Cion, Kaj vi vidos la bonstaton de Jerusalem en la daŭro de via tuta vivo.
6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.
Kaj vi vidos la infanojn de viaj infanoj. Paco al Izrael!

< Zaburi 128 >