< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
Пісня проча́н. Давидова.
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
то нас поковта́ли б живце́м, коли розпали́вся на нас їхній гнів,
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
то нас позалива́ла б вода, душу нашу поті́к перейшов би.
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
душу нашу тоді перейшла б та бурхли́ва вода!
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
Благослове́нний Госпо́дь, що не дав нас на здо́бич для їхніх зубі́в!
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Душа наша, як птах, урятува́лась із сільця́ птахоло́вів, — сільце́ розірва́лось, а ми врятува́лись!
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Наша поміч — ув Імені Господа, що вчинив небо й землю!

< Zaburi 124 >