< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
[Psalm lal David] LEUM GOD El funu tia wi kut la, lukun fuka? O Israel, kowos in topuk!
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
“LEUM GOD El funu tia wi kut le, Ke mwet lokoalok elos mweun lain kut
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
Kut lukun moul na elos ukumkutla Ke sripen kasrkusrak lulap lalos sesr;
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
Na sronot u pokkutla, Kof u afwinkutla,
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
A kof pulkulak akwalomyekutla.”
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
Lela kut in sang kulo nu sin LEUM GOD, Su tia filikutyang nu in poun mwet lokoalok lasr.
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Kut tu kaingla oana sie won su kaingla liki sruf lun mwet sru won; Sruf u musalla a kut sukosokla!
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Kasru lasr tuku sin LEUM GOD, Su orala kusrao ac faclu.

< Zaburi 124 >