< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
“No saan a ni Yahweh ti kaduatayo,” ibaga koma ti Israel ita,
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
“a no saan a ni Yahweh ti kaduatayo idi dimmarup dagiti tattao kadatayo,
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
malabit nga inalun-ondatayo koman a sibibiag idi nakapungtotda kadatayo.
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
Inyanudnatayo koman ti danum; linipusnatayo koman iti napigsa nga ayus.
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
Ket linimmesnatayo koman ti nadawel a danum.”
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
Madaydayaw ni Yahweh, a saan a nangitulok a marangrangkaytayo babaen kadagiti ngipenda.
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Nakalibastayo a kas iti billit manipud iti silo dagiti mangnganup; nadadael ti silo, ket nakalibastayo.
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Aggapu kenni Yahweh ti tulongtayo, isu a nangaramid iti langit ken daga.

< Zaburi 124 >