< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
Cantique des degrés.
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
Si le Seigneur n’eût été au milieu de nous, Lorsque les hommes s’insurgeaient contre nous,
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
Peut-être nous auraient-ils dévorés tout vivants: Lorsque leur fureur s’irritait contre nous,
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
Peut-être que l’eau nous aurait engloutis.
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
Notre âme a traversé un torrent: peut-être notre âme aurait passé dans une eau sans fond.
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
Béni le Seigneur, qui ne nous a pas donnés en proie à leurs dents.
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Notre âme, comme un passereau, a été arrachée du filet des chasseurs: le filet a été rompu, et nous, nous avons été délivrés.
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Notre secours est dans le nom du Seigneur qui a fait le ciel et la terre.

< Zaburi 124 >