< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
[the] song of The ascents of David if not Yahweh who was for us let it say please Israel.
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
If not Yahweh who was for us when rose up on us anyone.
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
Then alive they had swallowed up us when burned anger their on us.
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
Then the waters they had overflowed us a torrent it had passed over self our.
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
Then it had passed over self our the waters raging.
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
[be] blessed Yahweh who not he has given us prey to teeth their.
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Self our like a bird it has escaped from a snare of fowlers the snare [has been] broken and we we have escaped.
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Help our [is] in [the] name of Yahweh maker of heaven and earth.

< Zaburi 124 >