< Zaburi 124 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
A Song of Ascents. David’s. If it had not been, Yahweh, who was on our side, oh might Israel say:
2 kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
If it had not been, Yahweh, who was on our side, when men rose up against us,
3 wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
Then, alive, had they swallowed us up, in the glow of their anger against us;
4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
Then, the waters, had whelmed us, the torrent, gone over our soul;
5 maji yaendayo kasi yangalituchukua.
Then, had gone over our soul the waters so proud!
6 Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
Blessed, be Yahweh, who gave us not as prey to their teeth.
7 Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
Our soul, as a bird, hath escaped from the snare of the fowlers, The snare, is broken, and, we, are escaped:
8 Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Our help, is in the Name of Yahweh, who made heaven and earth.

< Zaburi 124 >