< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Cántico gradual. A JEHOVÁ llamé estando en angustia, y él me respondió.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Libra mi alma, oh Jehová, de labio mentiroso, de la lengua fraudulenta.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
¿Qué te dará, ó qué te aprovechará, oh lengua engañosa?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Agudas saetas de valiente, con brasas de enebro.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
¡Ay de mí, que peregrino en Mesech, [y] habito entre las tiendas de Kedar!
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Mucho se detiene mi alma con los que aborrecen la paz.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Yo soy pacífico: mas ellos, así que hablo, [me] hacen guerra.

< Zaburi 120 >