< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Ka Gospodu zavikah u nevolji svojoj, i usliši me.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Gospode! izbavi dušu moju od usta lažljivijeh i od jezika lukavoga.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Šta æe ti dati i šta æe ti prinijeti jezik lukavi?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
On je kao oštre strijele u jakoga, kao ugljevlje smrekovo.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Teško meni kad sam tuðin kod Meseha, živim kod šatora Kidarskih.
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Dugo je živjela duša moja s onima koji mrze na mir.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Ja sam miran; ali kad stanem govoriti, u njih je rat.

< Zaburi 120 >