< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Cântico dos degraus: Em minha angústia clamei ao SENHOR, e ele me respondeu.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Ó SENHOR, livra minha alma dos lábios mentirosos, da língua enganadora.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
O que ele te dará, e o que ele fará contigo, ó língua enganadora?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Flechas afiadas de um guerreiro, com brasas de zimbro.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Ai de mim, que peregrino em Meseque, [e] habito nas tendas de Quedar!
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Minha alma morou [tempo] demais com os que odeiam a paz.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Eu sou da paz; mas quando falo, eles [entram] em guerra.

< Zaburi 120 >