< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Fihirana fiakarana.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Jehovah ô, vonjeo ny fanahiko amin’ ny molotra mandainga, Eny, amin’ ny lela mamitaka
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Inona no homeny anao, ary inona koa no hataony aminao, Ry lela mamitaka?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Zana-tsipìkan’ ny mahery sady voaranitra, Mbamin’ ny vain’ afon’ anjavidy.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Lozako, fa mivahiny eto amin’ ny Maseka aho Ary mitoetra ato an-dain’ ny Kedarita!
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Ela loatra izay no nitoeran’ ny fanahiko teo amin’ Izay tsy tia fihavanana.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Raha izaho, dia fihavanana; Kanjo nony miteny aho, dia mila ady kosa ireny.

< Zaburi 120 >