Preface
Bibles
+
SCO
HBA
X
h1757
>
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
120
>
1
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
שיר המעלות אל-יהוה בצרתה לי-- קראתי ויענני
2
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
יהוה--הצילה נפשי משפת-שקר מלשון רמיה
3
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
מה-יתן לך ומה-יסיף לך-- לשון רמיה
4
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
חצי גבור שנונים עם גחלי רתמים
5
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
אויה-לי כי-גרתי משך שכנתי עם-אהלי קדר
6
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
רבת שכנה-לה נפשי-- עם שונא שלום
7
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
אני-שלום וכי אדבר המה למלחמה
<
Zaburi
120
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!