< Zaburi 120 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Ein Stufenlied. - In meiner Drangsal rufe ich zum Herrn. Er hört auf mich.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Herr! Rette mich von Lügenlippen, von trügerischer Zunge!
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Wie liefert Dir die trügerische Zunge fort und fort
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
geschärfte Pfeile eines Helden samt Ginsterkohlen!
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Weh mir, daß ich bei Mesech gaste, bei Kedars Zelten weile!
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Zu lange schon weilt meine Seele bei Friedensfeinden.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Ich bin so friedsam. Doch, wenn ich's auch noch so sehr beteure, sie wollen Kampf.