< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Cantique des degrés. J’ai crié vers le Seigneur, lorsque j’étais dans la tribulation, et il m’a exaucé.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Seigneur, délivrez mon âme des lèvres iniques, et d’une langue trompeuse.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Que te sera-t-il donné, ou que te reviendra-t-il pour ta langue trompeuse?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Les flèches aiguës d’un archer vigoureux, avec des charbons destructeurs.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Malheur à moi, parce que mon séjour dans une terre étrangère a été prolongé. J’ai habité avec les habitants de Cédar;
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Mon âme a beaucoup séjourné dans une terre étrangère.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Avec ceux qui haïssent la paix, j’étais pacifique; lorsque je leur parlais, ils m’attaquaient gratuitement.

< Zaburi 120 >