< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
When I had troubles, I called out to Yahweh and he answered me.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
[I prayed], “Yahweh, rescue/save me from people [SYN, MTY] who lie to me and [try to] deceive me!”
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
You people who lie to me, [I will tell you] [RHQ] what [God] will do to you and what he will do to punish you.
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
He will shoot sharp arrows at you like soldiers do, and he will [burn you with] red-hot coals from [the wood of] a broom tree.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
It is terrible for me, living among cruel/savage [DOU] people [like those who live] in Meshech [region] and Kedar [region].
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
I have lived for a long time among people who hate [to live with others] peacefully.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Every time I talk about living together peacefully, they talk about starting a war.

< Zaburi 120 >