< Zaburi 120 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Een lied op Hammaaloth. Ik heb tot den HEERE geroepen in mijn benauwdheid, en Hij heeft mij verhoord.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
O HEERE! red mijn ziel van de valse lippen, van de bedriegelijke tong.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Wat zal U de bedriegelijke tong geven, of wat zal zij U toevoegen?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Scherpe pijlen eens machtigen, mitsgaders gloeiende jeneverkolen.
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
O, wee mij, dat ik een vreemdeling ben in Mesech, dat ik in de tenten Kedars wone.
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Mijn ziel heeft lang gewoond bij degenen, die den vrede haten.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Ik ben vreedzaam; maar als ik spreek, zijn zij aan den oorlog.

< Zaburi 120 >