< Zaburi 115 >
1 Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi, bali utukufu ni kwa jina lako, kwa sababu ya upendo na uaminifu wako.
No a nosotros, oh Yavé, No a nosotros, Sino a tu Nombre da gloria, Por tu misericordia y por tu verdad.
2 Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”
¿Por qué deben decir los gentiles: Dónde está su ʼElohim?
3 Mungu wetu yuko mbinguni, naye hufanya lolote limpendezalo.
Nuestro ʼElohim está en el cielo. Hizo todo lo que quiso.
4 Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Los ídolos de ellos son de plata y oro, Obra de manos de hombres.
5 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
Tienen bocas, pero no hablan. Tienen ojos, pero no ven.
6 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, zina pua, lakini haziwezi kunusa;
Tienen orejas, pero no oyen. Tienen fosas nasales, pero no perciben olor.
7 zina mikono, lakini haziwezi kupapasa, zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
Tienen manos, pero no palpan. Tienen pies, pero no andan. No hablan con su garganta.
8 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Los que los hacen Y todos los que confían en ellos Son semejantes a ellos.
9 Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
¡Oh Israel, confía en Yavé! Él es tu Ayuda y Escudo.
10 Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
¡Oh casa de Aarón, confía en Yavé! Él es tu Ayuda y tu Escudo.
11 Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Los que temen a Yavé, Confíen en Yavé. Él es su Ayuda y su Escudo.
12 Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
Yavé se acordó de nosotros, Él nos bendecirá. Bendecirá a la casa de Israel, Bendecirá a la casa de Aarón.
13 atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
Bendecirá a los que temen a Yavé, A los pequeños y a los grandes.
14 Bwana na awawezeshe kuongezeka, ninyi na watoto wenu.
Yavé aumentará bendición Sobre ustedes y sobre sus hijos.
15 Mbarikiwe na Bwana Muumba wa mbingu na dunia.
Benditos sean ustedes por Yavé, Quien hizo el cielo y la tierra.
16 Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana, lakini dunia amempa mwanadamu.
El cielo es el cielo de Yavé, Pero Él dio la tierra a los hijos de [los] hombres.
17 Sio wafu wanaomsifu Bwana, wale washukao mahali pa kimya,
No alaban los muertos a YA, Ni cualquiera que baja al silencio.
18 bali ni sisi tunaomtukuza Bwana, sasa na hata milele. Msifuni Bwana.
Pero nosotros bendecimos a YA desde ahora y para siempre. ¡Aleluya!