< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Quand Israël sortit d'Egypte, quand la maison de Jacob s'éloigna d'un peuple barbare,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Juda devint son sanctuaire, Israël son domaine.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
La mer le vit et s'enfuit, le Jourdain retourna en arrière;
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
les montagnes bondirent comme des béliers, les collines comme des agneaux.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Qu'as-tu, mer, pour t'enfuir? Jourdain, pour retourner en arrière?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Qu'avez-vous, montagnes, pour bondir comme des béliers, et vous, collines, comme des agneaux?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Tremble, ô terre, devant la face du Seigneur, devant la face du Dieu de Jacob,
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
qui change le rocher en étang, le roc en source d'eaux.

< Zaburi 114 >