< Zaburi 112 >

1 Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
Blago èovjeku koji se boji Gospoda, kome su veoma omiljele zapovijesti njegove.
2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
Silno æe biti na zemlji sjeme njegovo, rod pravednièki biæe blagosloven.
3 Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Obilje je i bogatstvo u domu njegovu, i pravda njegova traje dovijeka.
4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
U tami sjaje vidjelo pravednicima od dobroga, milostivoga i pravednoga.
5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Blago onome koji je milostiv i daje u zajam! On æe dati tvrðu rijeèima svojim na sudu.
6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
Jer neæe posrnuti dovijeka, pravednik æe se spominjati uvijek.
7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
Ne boji se zla glasa; srce je njegovo stalno, uzda se u Gospoda.
8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
Utvrðeno je srce njegovo, neæe se pobojati, i vidjeæe kako padaju neprijatelji njegovi.
9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
Prosipa, daje ubogima; pravda njegova traje dovijeka, rog se njegov uzvišuje u slavi.
10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Bezbožnik vidi i jedi se, škrguæe zubima svojim, i sahne. Želja æe bezbožnicima propasti.

< Zaburi 112 >