< Zaburi 101 >

1 Zaburi ya Daudi. Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.
Af David. En Salme. Om Naade og Ret vil jeg synge, dig vil jeg lovsynge, Herre.
2 Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama: utakuja kwangu lini? Nitatembea nyumbani mwangu kwa moyo usio na lawama.
Jeg vil agte paa uskyldiges Vej, naar den viser sig for mig, vandre i Hjertets Uskyld bag Hjemmets Vægge,
3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
paa Niddingsdaad lader jeg aldrig mit Øje hvile. Jeg hader den, der gør ondt, han er ej i mit Følge;
4 Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
det falske Hjerte maa holde sig fra mig, den onde kender jeg ikke;
5 Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri, huyo nitamnyamazisha; mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi huyo sitamvumilia.
den, der sværter sin Næste, udrydder jeg; den opblæste og den hovmodige taaler jeg ikke.
6 Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, ili waweze kuishi pamoja nami; yeye ambaye moyo wake hauna lawama atanitumikia.
Til Landets trofaste søger mit Øje, hos mig skal de bo; den, der vandrer uskyldiges Vej, skal være min Tjener;
7 Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.
ingen, der øver Svig, skal bo i mit Hus, ingen, som farer med Løgn, bestaa for mit Øje.
8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote katika nchi; nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya kutoka mji wa Bwana.
Alle Landets gudløse gør jeg til intet hver Morgen for at udrydde alle Udaadsmænd af HERRENS By.

< Zaburi 101 >