< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
En Salme. Til Takofferet. Raab af Fryd for HERREN, al Jorden,
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
tjener HERREN med Glæde, kom for hans Aasyn med Jubel!
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Kend, at HERREN er Gud! Han skabte os, vi er hans, hans Folk og den Hjord, han vogter.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Gaa ind i hans Porte med Takkesang, med Lovsange ind i hans Forgaarde, tak ham og lov hans Navn!
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Thi god er HERREN, hans Miskundhed varer evindelig, fra Slægt til Slægt hans Trofasthed!

< Zaburi 100 >