< Mithali 31 >
1 Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:
Goe da gogolosu sia: amo hina bagade Lemiuele ea: me da ema sia: i,
2 “Ee mwanangu, ee mwana wa tumbo langu, ee mwana wa nadhiri zangu,
“Di da na dogolegei manodafa. Na da Godema sia: ne gadoiba: le, E da di nama i. Na da dima adi adoma: bela: ?
3 Usitumie nguvu zako kwa wanawake, uhodari wako kwa wale wanaowaharibu wafalme.
Dia gasa huluane dagosa: besa: le, wadela: i uda adole lasu hou maedafa hamoma. Dia muni amoga mae galagama, wadela: i uda adole lasu amoga. Amo wadela: i uda da hina bagade dunu wadela: lesimusa: dawa:
4 “Ee Lemueli, haifai wafalme, haifai wafalme kunywa mvinyo, haifai watawala kutamani sana kileo,
Lemiuele! Nabima! Hina bagade dunu da waini (adini) hame manu da defea. Amola ilia waini hame hanamu da defea.
5 wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru na kuwanyima haki zao wote walioonewa.
Be ilia da adini nasea ilia da sema gogolesa amola ilia da hame gagui dunu ilia moloiwane fofada: su hame dawa: sa.
6 Wape kileo wale wanaoangamia, mvinyo wale walio na uchungu,
Adini da amo dunu bogolalebe ilia liligi, amola nowa dunu da da: i dioi bagade galea amo ilia liligi.
7 Wanywe na kusahau umaskini wao na wasikumbuke taabu yao tena.
Amaiba: le, ilia nawene, hame gagui hou amola da: i dioi hou gogolema: ne manu da defea.
8 “Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea, kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.
Nowa dunu da ha: gi sia: mu gogolei galea, amo fidima: ne ha: gi sia: ma. Gasa hame dunu fidima: ne ouligima!
9 Sema na uamue kwa haki, tetea haki za maskini na wahitaji.”
Ili fidili, molole sia: ne fofada: ma. Moloiwane hame gagui amo gaga: ma amola fidima: ne fofada: ma!”
10 Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata? Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.
Moloidafa uda lamu da hogoi helele gasa bagade ba: sa. Moloidafa uda ea lasu da igi noga: i muni bagadega lasu amo bagadewane baligisa.
11 Mume wake anamwamini kikamilifu wala hakosi kitu chochote cha thamani.
Amo uda ea egoa da idua ea hou da moloidafa dafawaneyale dawa: sa. Amola egoa da eso huluane liligi defele gagui dialumu.
12 Humtendea mumewe mema, wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
Amaiwane uda esalea, egoa noga: le fidisa amola egoama da: i diosu hame iaha.
13 Huchagua sufu na kitani naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.
E da eso huluane hawa: hamosa esala. E da wulo gobea ha: sa amola abula amuna esala.
14 Yeye ni kama meli za biashara akileta chakula chake kutoka mbali.
E da dusagai bagade defele, ha: i manu amo soge sedadega gaguli maha.
15 Yeye huamka kungali bado giza huwapa jamaa yake chakula na mafungu kwa watumishi wake wa kike.
Agoaiwane uda e da hame hadigia, wa: legadole, ea sosogo fi amogili ha: i manu gobesa, amola ea fidisu a: fini ilima hawa: hamosu hamoma: ne olelesa.
16 Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
Amaiwane uda e da soge ba: lalu bu amo soge bidilasa. Amola muni ea lai amoga e da amo soge ganodini waini hawa: bugisa.
17 Hufanya kazi zake kwa nguvu, mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi zake.
Agoaiwane uda e da gasa bagade gala. Amola e da hawa: obenane gasa bagade hamosa.
18 Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
E da ea hamobe huluane ea lamu defei amo dawa: Amola e da gasibi galu mae helefili, hawa: hamonana.
19 Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.
Amaiwane uda da hifawane gobea ha: le, amola ea abula hi fawane amuna.
20 Huwanyooshea maskini mikono yake na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.
E da hame gagui dunu ilima asigiba: le, liligi iaha.
21 Theluji ishukapo, hana hofu kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, kwa maana wote wamevikwa nguo za kutia joto.
Anegagi eso doaga: sea e da hame da: i diosa. Bai e da ea sosogo fi ilia anegagi abula hahamoi dagoiba: le.
22 Hutengeneza mazulia ya urembo ya kufunika kitanda chake, yeye huvaa kitani safi na urujuani.
E da ea sosogo fi ilia golamusa: fafai amo da: iya abula ida: iwane fa: sisa. Amola e da oga: yei abula amo sala.
23 Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.
Egoa da dunu huluane ilia e dawa: Amola e da ea fi ganodini bisilua esala.
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, naye huwauzia wafanyabiashara mishipi.
Amaiwane uda da abula amola idinigisu bulu hahamosa. Amalalu, e da bidi lasu dunu ilima amo liligi bidi lasa.
25 Amevikwa nguvu na heshima, anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.
Amola amo uda e da gasa bagade amola eno dunu da ema nodosa. Amola e da fa: no misunu hou amoga hame beda: sa.
26 Huzungumza kwa hekima na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.
Amola e da asabole, dawa: le sia: sa.
27 Huangalia mambo ya nyumbani mwake wala hali chakula cha uvivu.
Amola amo uda da mae hihini amola hame helefisa. E da ea sosogo fi ilia hanai liligi huluane defele hamosa.
28 Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa, mumewe pia humsifu, akisema:
Ea mano amola egoa da ema hahawane nodosa.
29 “Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri, lakini wewe umewapita wote.”
Egoa da ema amane sia: sa, “Uda oda da noga: i, be dia hou da uda huluane ilia hou baligidafa.”
30 Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi, bali mwanamke anayemcha Bwana atasifiwa.
Uda mogili da ogogole obebenale hamosa. Amola noga: iwane ba: su hou da fisi dagoi ba: mu. Be nowa uda da Hina Gode Ea hou ida: iwane dafawaneyale dawa: sea, amo udama nodomu da defea.
31 Mpe thawabu anayostahili, nazo kazi zake na zimletee sifa kwenye lango la mji.
Amaiwane uda da noga: le hamoiba: le, e da dabe ea hamoi defele lamu da defea. Amola dunu huluane ema nodomu da defea. Sia: Ama Dagoi