< Mithali 30 >
1 Misemo ya Aguri mwana wa Yake, usia: Huyu mtu alimwambia Ithieli, naam, kwa Ithieli na kwa Ukali:
Goe da gogolole sia: su A: ige (Ya: ige egefe) da amane sia: i, “Gode da namagai hame! Gode da namagai hame! Na da gasa hame hahani galebe.
2 “Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote; sina ufahamu wa kibinadamu.
Na da dunu agoai hame. Na da ohe agoai esala. Dunu da dawa: su noga: iwane dialumu da defea. Be na da agoaiwane dawa: su da hame galebe.
3 Sijajifunza hekima, wala sina maarifa ya kumjua yeye Aliye Mtakatifu.
Na da bagade dawa: su hamedafa lai amola na da Gode ea hou hamedafa dawa:
4 Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka? Ni nani ameshakusanya upepo kwenye vitanga vya mikono yake? Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake? Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia? Jina lake ni nani, na mwanawe anaitwa nani? Niambie kama unajua!
Nowa da Hebene hou huluane dawa: bela: ? Nowa da fo ea loboga gagubala: ? Amola nowa da abula gadelaiga hano gadoba: bela: ? Amola osobo bagade ea bega: huluane da nowa ea alalo ilegebela: ? Amola dia dawa: loba, e da nowala: ? Amola e da nowa ea manola: ?
5 “Kila neno la Mungu ni kamilifu; yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.
Gode E da Ea moloidafa hou hamomu ilegele sia: i, E da dafawane hamomu. Amola, E da Gaga: sudafa, amola nowa dunu da E hogoi helesea, amo dunu da gaga: su ba: mu.
6 Usiongeze kwenye maneno yake, ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa mwongo.
Gode Ea sia: dafa amoga dia hanai sia: mae gilisima. Di da amane hamosea, E da dima gagabomu, amola eno dunu dawa: ma: ne Gode da di da ogogole olelesu dunu olelemu.”
7 “Ninakuomba vitu viwili, Ee Bwana; usininyime kabla sijafa:
Na da Dima adole ba: sa, “Gode! Na da liligi aduna Dima lalalu bogomu da defea.
8 Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo; usinipe umaskini wala utajiri, bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.
Na ogogolalosa: besa: le, na Dia fidima. Na bagade gagui agoai esalosa: besa: le o hamedafa gagui agoai esalosa: besa: le, Dia na fidima. Amaiba: le, ha: i manu na dafawane esaloma: ne lamu liligi defele nama ima.
9 Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana na kusema, ‘Bwana ni nani?’ Au nisije nikawa maskini nikaiba, nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu.
Na da Di gogolesa: besa: le, liligi bagadedafa nama mae ima. Amola na da liligi hamedafa gaguiba: le, wamolasa: besa: le amola Dia Dio wadela: sa: besa: le, liligi fonobahadi nama ima.
10 “Usimchongee mtumishi kwa bwana wake, asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.
Di da hawa: hamosu dunu amo ea hou ea hina dunuma baligidu sia: mae sia: ma. Amane hamosea, hawa: hamosu dunu da dima gagabumu, amola dia hamoi defele, di da se nabimu.
11 “Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao;
Dunu oda ilia da eda se nabima: ne, gagabusa. Amola eme amoma nodone hame asigisa.
12 wale ambao ni safi machoni pao wenyewe kumbe hawakuoshwa uchafu wao;
Dunu oda ilia da amane dawa: sa, ilisu ilia da moloiwaneyale dawa: sa. Be ilia da ledodafa gala.
13 wale ambao daima macho yao ni ya kiburi, ambao kutazama kwao ni kwa dharau;
Goe da dunu eno ilia da amane dawa: su, ilia da ili da moloiwaneyale dawa: su. Dafawane! Ilia da ilisu noga: iwaneyale dawa: sa.
14 wale ambao meno yao ni panga na ambao mataya yao yamewekwa visu kuwaangamiza maskini katika nchi, na wahitaji kutoka miongoni mwa wanadamu.
Amola dunu oda da hame gagui dunu ilima bagadewane ogogosa amola wadela: lesimusa: dawa: sa. Ilia da amodili ilia esalusu ba: sa.
15 “Mruba anao binti wawili waliao, ‘Nipe! Nipe!’ “Kuna vitu vitatu visivyotosheka kamwe, naam, viko vinne visivyosema, ‘Yatosha!’:
Hebe da idiwi aduna gala. Ela da dio afadafa gala, amo ‘Nama ima!’ Amola liligi biyaduyale amo ilia hanai da hame sadimu.
16 Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol )
Amo liligi biyaduyale gala da, (age) Bogoi uli dogoi da hame sadimu. (ageyadu) Aligime uda da hame sadimu. (osoda) Hafoga: i osobo gibu hameba: le da hame sadimu. (biyadu) Amola lalu haba: domu gogolei amo da hame sadimu. (Sheol )
17 “Jicho lile limdhihakilo baba, lile linalodharau kumtii mama, litangʼolewa na kunguru wa bondeni, litaliwa na tai.
Nowa da eda amoma lasogole ofesega: sea, o ea eme ea da: i hamoi eso amoga ema higale ba: sea, sia misini ea da: i hodo manu da defea, amola soge buhiba amo ea si duga: mu da defea.
18 “Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:
Eno liligi biyaduyale gala amo na dawa: mu gogolei.
19 Ni mwendo wa tai katika anga, mwendo wa nyoka juu ya mwamba, mwendo wa meli katika maji makuu ya bahari, nao mwendo wa mtu pamoja na msichana.
Goe da wayalima muagadodafa hagili ahoa. Sania da gele da: iya sugi ahoana. Eno da dusagai hano wayabo amo ganodini masusa: logo hogolala. Dunu amola uda ela lamusa: magedaha.
20 “Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’
Goe da uda amo da egoama baligi fa: su, amo ea hou da agoaiwane gala. E da inia dunu adole lale, ha: i nanu, ea lafi dagale, amane sia: sa, “Na da wadela: le hame hamoi.”
21 “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:
Liligi biyaduyale gala da wadela: idafaba: le, fedege agoane, osobo bagade da amo liligi biyaduyale gala higasa.
22 Mtumwa awapo mfalme, mpumbavu ashibapo chakula,
(age) Udigili hawa: hamosu dunu e da hina bagade hamosa. (ageyadu) Gagaousu dunu da ha: i manu bagade nawene sadisa.
23 mwanamke asiyependwa aolewapo, naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.
(osoda) Wadela: idafa uda amo da gawa fisa. (biyadu) Hawa: hamosu uda da ea hina uda amo ea sogebi samogene lasa.
24 “Vitu vinne duniani vilivyo vidogo, lakini vina akili nyingi sana:
Osobo bagadega da ohe fonobahadidafa biyaduyale gala. Amo ohe amo da baligili bagadedafa dawa: su gala.
25 Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo, hata hivyo hujiwekea akiba ya chakula chao wakati wa kiangazi.
(age) Gedama! Amo da liligi fonobahadi amola gasa hame. Be amomane ilia da mugi oubiga ha: i manu momagesa.
26 Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo hata hivyo hujitengenezea nyumba zao kwenye miamba.
(ageyadu) Amola wasigiba ea hou dawa: ma. E da gasa hame be amomane e da diasu igi adoba gagusa.
27 Nzige hawana mfalme, hata hivyo huenda pamoja vikosi vikosi.
(osoda) Amola danuba: dawa: ma. Ilia da hina hame, amomane ilia da gilisili hagili mogodigili ahoa.
28 Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.
(biyadu) Amola goma: fi ilia hou dawa: ma. Amo da liligi fonobahadi amola dia da lobo afaega gagumusa: dawa: Be ilia da hina bagade ea diasu noga: i amo ganodini esalebe ba: sa.
29 “Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika mwendo wao, naam, vinne ambavyo hutembea kwa mwendo wa madaha:
Liligi biyaduyale gala ilia ahoabe hou di ba: sea, noga: iwane ba: sa.
30 simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama, asiyerudi nyuma kwa chochote;
Amo liligi biyaduyale gala da (age) Laione wa: me e da gasa bagade amola ohe enoga e baligimu da hamedei. Amola e da ohe enoba: le hame beda: sa.
31 jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu, naye mfalme pamoja na jeshi lake lililomzunguka.
(ageyadu) Goudi (osoda) Gagala gawali amo ilia da dada: lole ahoa, amola (biyadu) Hina bagade dunu ilia da ilia dunu fi ilia midadi ahoa.
32 “Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe, au kama umepanga mabaya, basi funika mdomo wako na mkono wako.
Amola di da gagousu dunu agoai, gasa fi hou hamosea, amola wadela: i hou hamomusa: dawa: sea, yolesima amola dawa: ma.
33 Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi, na pia kule kufinya pua hutoa damu, kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”
Amola dia ohe amo ea dodo maga: me biogosea, amo da bu sefe hamomu. Amola dia eno ea mia fasea, heale masunu. Amola dia da nenege degesea, se nabasu da dima doaga: mu.