< Hesabu 31 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
“Midia: ne dunu da Isala: ili fi ilima wadela: le hamoi. Amaiba: le, ilima se dabe iasu ima. Amo hamonanu, di da bogosu ba: mu.”
3 Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
Amaiba: le, Mousese da Isala: ili dunu ilima amane sia: i, “Gegemusa: momagema! Dilia da Midia: ne fi doagala: le, amola ilia da Hina Godema wadela: le hamobeba: le, ilima se dabe ima.
4 Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”
Isala: ili fi afae afae amoga 1000 dunu agoane gegemusa: asunasima.”
5 Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.
Amaiba: le, Isala: ili fi afae afae da dunu 1000 agoane ilegei. Huluane da dunu 12,000 amola huluane da gegemusa: momagei.
6 Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.
Mousese da amo dunu gegemusa: asunasi. E da Finia: se (Elia: isa, gobele salasu dunu amo egefe) amo dunu ili bisimusa: asunasi. E da Hina Gode Abula Diasu sema liligi gaguli asi amola dawa: digisu wesu dalabede amola gaguli asi.
7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.
Ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, Midia: ne dunu doagala: le, dunu huluane medole legei dagoi.
8 Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.
Ilia da Midia: ne hina bagade biyale gala amo Ifai, Legeme, Sua, Hua amola Liba, medole legei. Amola ilia da Ba: ila: me (Bio egefe) amo medole legei.
9 Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.
Isala: ili dunu da Midia: ne uda amola mano huluane doagala: le lai, amola ilia bulamagau amola ohe fi huluane lai. Ilia liligi amola muni huluane lale,
10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.
ilia moilai amola fisisu huluane laluga ulagi.
11 Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,
Ilia da liligi lai amola Midia: ne uda amola mano amola ohe huluane amo lale,
12 nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Mousese, Elia: isa amola Isala: ili dunu huluane ilima oule misi. Isala: ili dunu ilia fisisu, da Moua: be umiga, Yodane hano eso mabe bega: dialebe ba: i. Yeligou moilai bai bagade da hano na: iyadodili ba: i.
13 Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.
Mousese, Elia: isa amola Isala: ili ouligisu dunu huluane da fisisu fisili, dadi gagui dunu yosia: musa: gadili asi.
14 Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.
Mousese da dadi gagui ouligisu dunu (amo da gegemusa: asili sinidigi. Ilia afae afae da dadi gagui gilisisu bagade amola fonobahadi amo ouligi) ilima ougi galu.
15 Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”
E da ilima adole ba: i, “Dilia da abuliba: le uda huluane esaloma: ne fisiagabela: ?
16 “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana.
Bu dawa: ma! Amo uda ilia da Ba: ila: me ea olelesu amo fa: no bobogele, Bio goumi amogawi, Isala: ili dunu Hina Gode Ea hou fisima: ne olelei. Olo bagade Hina Gode Ea fi dunuma misi, amo ea bai da goea.
17 Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,
Wali goi huluane amola uda amo da dunuma gilisili golai huluane, amo medole legema.
18 lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.
Be dilia lama: ne, uda mano amola uda da dunuma gilisili hame golai, amo esaloma: ne fisiagama.
19 “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
Amola dilia! Nowa da dunu medole legei o bogoi da: i hodo digili ba: i galea, dilia fisisu gadili eso fesuale esaloma. Eso osoda amola eso fesu amoga dilia da: i amola uda amo dilia samogele lai amo huluane sema dodofesu hou hamoma.
20 Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”
Amola dilia abula huluane amola liligi amo da bulamagau gadofo o goudi hinabo o ifa amoga hamoi amo huluane sema dodofesu hou hamoma.”
21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose:
Gobele salasu dunu Elia: isa da gegena asi buhagi dunuma amane sia: i, “Malasu amo Hina Gode da Mousesema i da goea.
22 Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,
Liligi huluane amo da nemu gogolei (gouli, silifa, balase, gula, dini, lede, amola enoenoi) dilia lalu gobele dodofemu. Liligi huluane enoenoi, dilia sema dodofesu hano amoga dodofema.
23 na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
Eso fesu amoga dilia abula dodofema. Amasea dilia da sema dodofei dagoiba: le, fisisu amo ganodini sa: ima: ne logo doasi dagoi ba: mu.”
25 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
26 “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
“Di, Elia: isa amola Isala: ili fi ouligisu dunu huluane da lai liligi huluane (amo da uda amola ohe samogele lai) amo idima.
27 Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
Lai liligi amo dogoadafa momogima. Na: iyado mogi amo dadi gagui dunu iligili ima, amola na: iyado la: idi da Isala: ili dunu huluanema ima.
28 Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.
Dadi gagui ilia lai amoga Hina Godema ima: ne agoane lama. Udigili hawa: hamosu uda 500 gilisisu afae afae amoga uda afae ima. Amola sibi, bulamagau, dougi amola goudi 500 gilisisu amoga ohe afae defele ima.
29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana.
Amo liligi Hina Godema iasudafa ima: ne, gobele salasu dunu Elia: isa ema ima.
30 Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.”
Isala: ili dunu eno ilia lai liligi amoga udigili hawa: hamosu uda 50 gilisisu afae afae amoga uda afae ima amola bulamagau, dougi, sibi amola goudi 50 gilisisu afae afae amoga ohe afae defele ima. Lifai dunu da Hina Gode Ea Abula Diasu ouligisa. Amo liligi ilima ima.
31 Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Mousese amola Elia: isa da Hina Gode Ea hamomusa: sia: i amo defele hamoi.
32 Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
Dadi gagui dunu da liligi lai mogili ilisu gagui. Eno liligi ea dedena sa: i da agoane: - Sibi amola goudi 675,000; bulamagau 72,000; dougi 6l, 000 amola dunuga hame dawa: digi uda 32,000.
33 ngʼombe 72,000,
34 punda 61,000,
35 na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.
36 Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
Dadi gagui ilia dogoa fifi mogi da: - Sibi amola goudi 337,500 (Hina Godema iasu da 675); Bulamagau 36,000 (Hina Godema iasu da 72); Dougi 30,500 (Hina Godema iasu da 61); dunuga hame dawa: digi uda 16,000 (Hina Godema iasu da 32).
37 ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
38 ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
39 punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
40 Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
41 Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Amaiba: le, Mousese da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, Hina Godema iasudafa ima: ne, amo ilegei liligi Elia: isa ema i dagoi.
42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
Isala: ili fi dunu huluane ilima dogoa fifi mogi da dadi gagui dunu ilia lai defele ba: i, agoane: - Sibi amola goudi 337,500; bulamagau 36,000; dougi 30,500; dunuga gilisili hame golai uda 16,000.
43 nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
44 ngʼombe 36,000,
45 punda 30,500,
46 na wanadamu 16,000.
47 Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.
Amoga Mousese da Hina Gode Ea sia: i defele 50 gilisisu afae afae amoga afae lale, Lifai dunu (amo da Hina Gode Ea Abula Diasu ouligisu) ilima i.
48 Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose
Amasea, dadi gagui ouligisu dunu (amo da Midia: ne dunuma gegesu ganodini, Isala: ili dadi gagui ouligi) ilia da Mousesema asili,
49 na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.
ema sia: ne i, “Hina! Ninia da dadi gagui dunu amo nini ouligilalu, amo huluane idili dagole, afae hame fisiagai ba: i.
50 Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”
Amaiba: le, ninia da gouliga nina: hamoi liligi, amola nabu, lobo fasele fesu, lobosogo salasu, gegagulu amola bida ga: su ninia lai, amo gaguli manebe goea. Hina Gode da nini gaga: iba: le, amola E da fa: no nini esalusu gaga: ma: ne, ninia da amo liligi Ema iaha.”
51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.
Mousese amola Elia: isa da amo liligi lai. Huluane da nina: hamoi liligi fawane gala.
52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
Isala: ili dadi gagui ouligisu dunu ilia iabe huluane da gadenenewane 200 gilogala: me dioi defei amoma doaga: i.
53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.
Be dadi gagui dunudafa da ilia lai liligi, ilila: gagulaligi.
54 Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.
Amaiba: le, Hina Gode da Isala: ili dunu gaga: ma: ne, Mousese amola Elia: isa da gouli liligi huluane Hina Gode Ea Abula Diasuga gaguli asi.

< Hesabu 31 >