< Hesabu 25 >

1 Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,
Isala: ili dunu da Sidimi Fago amoga esaloba, Isala: ili dunu ilia da Moua: be uda hiougili, gilisili golai.
2 ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.
Amo uda ilia da Isala: ili dunu ilia gobele salasu lolo nasu (amogawi ilia da Moua: be ogogosu ‘gode’ amoga nodone sia: ne gadosu) amoga hiougi. Isala: ili dunu da ha: i manu mai amola ogogosu Bio ‘gode’ Ba: ile, amoma nodone sia: ne gadoi.
3 Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.
Amaiba: le, Hina Gode da ougi bagade ba: i.
4 Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”
E da Mousesema amane sia: i, “Na sia: nabima! Isala: ili ouligisu dunu huluane lale, dunu huluane ba: ma: ne medole legema. Amasea, Na da Isala: ili dunu ilima Na ougi fisimu.”
5 Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”
Mousese da ouligisu dunu ilima amane sia: i, “Dilia afae afae amo dilia fi amo ganodini nowa da Bio ogogosu ‘gode’ Ba: ile ema nodone sia: ne gadolala, amo medole legema.”
6 Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.
Mousese amola Isala: ili dunu huluane da da: i dioiwane, Hina Gode Ea Abula diasu holeiga didiga: lalu. Isala: ili dunu afae da Mousese amola Isala: ili dunu huluane ba: ma: ne, Midia: ne uda hi abula diasu ganodini hiougili asi.
7 Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,
Finia: se (Elia: isa egefe amola Elane ea aowa) amo ba: beba: le, wa: legadole, dunu gilisisu yolesiagai. E da goge agei lale,
8 akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.
amo dunu amola uda bobogele, abula diasu golili sa: ili, ea goge agei amoga ela gilisili sone, medole legei. Amane hamobeba: le, olo bagade amo da Isala: ili fi wadela: lesilalu, amo da hedofai dagoi ba: i.
9 Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
Be amo olo ganodini, Isala: ili dunu 24,000 agoane da bogogia: i dagoi ba: i.
10 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
11 “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
“Finia: se ea hamobeba: le, Na da Isala: ili dunuma ougi amo gumi dagoi. E da eno ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosu hou higale, Nama fawane nodone sia: ne gadomusa: dawa: i. Amaiba: le Na da ougili Isala: ili dunu huluane hame gugunufinisi.
12 Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
Amaiba: le ema adoma. Na da ema gousa: su amo da eso huluanedafa dialoma: ne hamomu.
13 Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
E amola egaga fi da eso huluane mae fisili, gobele salasu dunu fi esalumu. Bai e da eno ‘gode’ liligi mae dawa: le, baligiliwane Na fuligala: i. Amola ea hamobeba: le, Isala: ili dunu da ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoi dagoi ba: i.”
14 Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.
Isala: ili dunu amo da Midia: ne uda gilisili medole legei ba: i amo ea dio da Similai (Sailiu egefe. Sailiu da sosogo fi Simione fi amo ganodini bisilua dunu galu).
15 Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.
Midia: ne uda ea dio amo da Gosabai. Ea ada da Se. E da Midia: ne fi gilisisu ilia hina esalu.
16 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
“Midia: ne fi amo doagala: le, ili gugunufinisima!
18 kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”
Bai ilia da Bio sogega dilima ogogoiba: le, Isala: ili fi wadela: lesi. Amola Gosabai amo da olo bagade eso Bio sogega amo ganodini medole legei ba: i, e da ogogoiba: le, Isala: ili dunu da se bagade nabi.”

< Hesabu 25 >