Aionian Verses

Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol h7585)
Tous ses fils et toutes ses filles se levèrent pour le consoler, mais il refusa d'être consolé. Il dit: « Car je descendrai au séjour des morts auprès de mon fils, en pleurant. » Son père pleura sur lui. (Sheol h7585)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol h7585)
Il dit: « Mon fils ne descendra pas avec toi, car son frère est mort et il ne reste que lui. S'il lui arrive malheur sur le chemin que vous empruntez, vous ferez descendre mes cheveux blancs avec tristesse au séjour des morts. » (Sheol h7585)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol h7585)
Si tu m'enlèves aussi celui-ci, et qu'il lui arrive malheur, tu feras descendre mes cheveux blancs avec tristesse au séjour des morts'. (Sheol h7585)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
il arrivera, quand il verra que le garçon n'est plus, qu'il mourra. Tes serviteurs feront descendre avec douleur au séjour des morts les cheveux blancs de ton serviteur, notre père. (Sheol h7585)
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol h7585)
Mais si Yahvé fait du nouveau, si la terre ouvre sa bouche et les engloutit avec tout ce qui leur appartient, et qu'ils descendent vivants dans le séjour des morts, alors vous comprendrez que ces hommes ont méprisé Yahvé. » (Sheol h7585)
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol h7585)
Ils descendirent vivants dans le séjour des morts, avec tout ce qui leur appartenait. La terre se referma sur eux, et ils périrent du milieu de l'assemblée. (Sheol h7585)
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol h7585)
Car un feu s'est allumé dans ma colère, qui brûle jusqu'au plus profond du Sheol, dévore la terre avec son accroissement, et met le feu aux fondations des montagnes. (Sheol h7585)
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol h7585)
« Yahvé tue et fait vivre. Il descend au Shéol et remonte. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
Les cordes du séjour des morts m'entouraient. Les pièges de la mort m'ont attrapé. (Sheol h7585)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol h7585)
Fais donc selon ta sagesse, et ne laisse pas sa tête grise descendre en paix au séjour des morts. (Sheol h7585)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol h7585)
Maintenant donc, ne le tiens pas pour innocent, car tu es un homme sage; tu sauras ce que tu dois lui faire, et tu feras descendre au séjour des morts sa tête grise dans le sang. » (Sheol h7585)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol h7585)
Comme la nuée se consume et s'évanouit, ainsi celui qui descend au séjour des morts n'en remontera plus. (Sheol h7585)
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol h7585)
Ils sont hauts comme le ciel. Que pouvez-vous faire? Ils sont plus profonds que le Sheol. Que pouvez-vous savoir? (Sheol h7585)
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol h7585)
« Oh! si tu me cachais dans le séjour des morts, que tu me garderais secret jusqu'à ce que ta colère soit passée, que vous me désigniez un moment précis et que vous vous souveniez de moi! (Sheol h7585)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol h7585)
Si je considère le séjour des morts comme ma maison, si j'ai étendu ma couche dans l'obscurité, (Sheol h7585)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol h7585)
Il descendra avec moi jusqu'aux portes du séjour des morts, ou descendre ensemble dans la poussière? » (Sheol h7585)
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
Ils passent leurs jours dans la prospérité. En un instant, ils descendent au Shéol. (Sheol h7585)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
La sécheresse et la chaleur consument les eaux de la neige, ainsi que le séjour des morts pour ceux qui ont péché. (Sheol h7585)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Le séjour des morts est nu devant Dieu, et Abaddon n'a pas de couverture. (Sheol h7585)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
Car dans la mort, il n'y a pas de souvenir de toi. Au Shéol, qui te rendra grâce? (Sheol h7585)
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol h7585)
Les méchants seront renvoyés au séjour des morts, même toutes les nations qui oublient Dieu. (Sheol h7585)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Car tu ne laisseras pas mon âme dans le séjour des morts, vous ne permettrez pas non plus à votre saint de voir la corruption. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
Les cordes du séjour des morts m'entouraient. Les pièges de la mort se sont abattus sur moi. (Sheol h7585)
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol h7585)
Yahvé, tu as fait sortir mon âme du séjour des morts. Tu m'as gardé en vie, pour que je ne descende pas dans la fosse. (Sheol h7585)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol h7585)
Que je ne sois pas déçu, Yahvé, car j'ai fait appel à toi. Que les méchants soient déçus. Qu'ils se taisent dans le séjour des morts. (Sheol h7585)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol h7585)
Ils sont désignés comme un troupeau pour le séjour des morts. La mort sera leur berger. Le matin, les hommes intègres domineront sur eux. Leur beauté se décompose dans le séjour des morts, loin de leur manoir. (Sheol h7585)
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol h7585)
Mais Dieu rachètera mon âme de la puissance du séjour des morts, car il me recevra. (Selah) (Sheol h7585)
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol h7585)
Que la mort vienne soudainement sur eux. Qu'ils descendent vivants dans le séjour des morts. Car la méchanceté est au milieu d'eux, dans leur demeure. (Sheol h7585)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol h7585)
Car ta bonté est grande envers moi. Tu as délivré mon âme du plus bas des enfers. (Sheol h7585)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol h7585)
Car mon âme est pleine d'angoisse. Ma vie s'approche du séjour des morts. (Sheol h7585)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
Quel est l'homme qui vivra et ne verra pas la mort? qui délivrera son âme du pouvoir du séjour des morts? (Selah) (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
Les cordons de la mort m'ont entouré, les douleurs de Sheol ont eu une emprise sur moi. J'ai trouvé des problèmes et du chagrin. (Sheol h7585)
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol h7585)
Si je monte au ciel, vous y êtes. Si je fais mon lit au Shéol, voici que tu es là! (Sheol h7585)
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
« Comme lorsqu'on laboure et qu'on brise la terre, nos os sont dispersés à l'entrée du séjour des morts. » (Sheol h7585)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol h7585)
Engloutissons-les vivants comme le séjour des morts, et entier, comme ceux qui descendent dans la fosse. (Sheol h7585)
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol h7585)
Ses pieds descendent vers la mort. Ses pas mènent directement à Sheol. (Sheol h7585)
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Sa maison est le chemin du séjour des morts, en descendant dans les chambres de la mort. (Sheol h7585)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Mais il ne sait pas que les esprits des défunts sont là, que ses invités sont dans les profondeurs de Sheol. (Sheol h7585)
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol h7585)
Le séjour des morts et Abaddon sont devant Yahvé- combien plus encore le cœur des enfants des hommes! (Sheol h7585)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol h7585)
Le chemin de la vie mène vers le haut pour les sages, pour l'empêcher de descendre au séjour des morts. (Sheol h7585)
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol h7585)
Punissez-le avec la verge, et sauve son âme du séjour des morts. (Sheol h7585)
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol h7585)
Sheol et Abaddon ne sont jamais satisfaits; et les yeux d'un homme ne sont jamais satisfaits. (Sheol h7585)
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol h7585)
Sheol, l'utérus stérile, la terre qui ne se contente pas d'eau, et le feu qui ne dit pas: « Assez! ». (Sheol h7585)
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol h7585)
Tout ce que ta main trouve à faire, fais-le avec ta force; car il n'y a ni œuvre, ni plan, ni connaissance, ni sagesse, dans le séjour des morts où tu vas. (Sheol h7585)
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol h7585)
Mets-moi comme un sceau sur ton cœur, comme un sceau sur votre bras; car l'amour est fort comme la mort. La jalousie est aussi cruelle que le séjour des morts. Ses éclairs sont des éclairs de feu, une véritable flamme de Yahvé. (Sheol h7585)
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol h7585)
C'est pourquoi le séjour des morts a élargi son désir, et a ouvert sa bouche sans mesure; et leur gloire, leur multitude, leur faste, et celui qui se réjouit parmi eux, y descendent. (Sheol h7585)
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol h7585)
« Demande un signe à Yahvé ton Dieu; demande-le soit dans la profondeur, soit dans la hauteur. » (Sheol h7585)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol h7585)
Le séjour des morts d'en bas s'est déplacé pour toi, afin de te rencontrer à ton arrivée. Il réveille pour toi les esprits défunts, tous les princes de la terre. Il a fait lever de leurs trônes tous les rois des nations. (Sheol h7585)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol h7585)
Ton faste est descendu au séjour des morts, avec le son de tes instruments à cordes. Les asticots se répandent sous toi, et les vers te couvrent. (Sheol h7585)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol h7585)
Mais on te fera descendre au séjour des morts, au fond de la fosse. (Sheol h7585)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol h7585)
« Parce que vous avez dit: 'Nous avons fait une alliance avec la mort, et nous sommes d'accord avec le séjour des morts. Quand le fléau débordant passera, il ne nous atteindra pas, car nous avons fait du mensonge notre refuge, et nous nous sommes cachés sous le mensonge.'" (Sheol h7585)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol h7585)
Ton alliance avec la mort sera annulée, et ton accord avec le séjour des morts ne tiendra pas. Quand le fléau débordant passera, tu seras piétiné par lui. (Sheol h7585)
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol h7585)
J'ai dit: « Au milieu de ma vie, j'entre dans les portes du séjour des morts. Je suis privé du résidu de mes années. » (Sheol h7585)
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol h7585)
Car le séjour des morts ne peut te louer. La mort ne peut pas te célébrer. Ceux qui descendent dans la fosse ne peuvent espérer votre vérité. (Sheol h7585)
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol h7585)
Tu es allé chez le roi avec de l'huile, a augmenté vos parfums, envoyé vos ambassadeurs au loin, et tu t'es dégradé jusqu'au séjour des morts. (Sheol h7585)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol h7585)
« Le Seigneur Yahvé dit: « Le jour où il est descendu au séjour des morts, j'ai provoqué un deuil. J'ai couvert l'abîme pour lui, et j'ai retenu ses fleuves. Les grandes eaux ont été arrêtées. J'ai fait pleurer le Liban à cause de lui, et tous les arbres des champs se sont évanouis à cause de lui. (Sheol h7585)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol h7585)
J'ai fait trembler les nations au bruit de sa chute, quand je l'ai précipité dans le séjour des morts avec ceux qui descendent dans la fosse. Tous les arbres d'Éden, les meilleurs et les plus beaux du Liban, tous ceux qui boivent de l'eau, ont été consolés dans les parties inférieures de la terre. (Sheol h7585)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol h7585)
Ils sont aussi descendus au séjour des morts avec lui, vers ceux qui sont tués par l'épée; oui, ceux qui étaient son bras, qui vivaient sous son ombre au milieu des nations. (Sheol h7585)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol h7585)
Le fort parmi les puissants lui parlera du milieu du séjour des morts, avec ceux qui le secourent. Ils sont descendus. Les incirconcis reposent, tués par l'épée. (Sheol h7585)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Ils ne coucheront pas avec les puissants tombés parmi les incirconcis, qui sont descendus au séjour des morts avec leurs armes de guerre et qui ont mis leurs épées sous leurs têtes. Leurs iniquités sont sur leurs os, car ils étaient la terreur des puissants au pays des vivants. (Sheol h7585)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol h7585)
Je les rachèterai de la puissance du séjour des morts. Je les rachèterai de la mort! Mort, où sont tes fléaux? Sheol, où est ta destruction? « La compassion sera cachée à mes yeux. (Sheol h7585)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol h7585)
S'ils creusent dans le séjour des morts, là ma main les saisira; S'ils montent au ciel, là je les ferai descendre. (Sheol h7585)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
Il dit, « J'ai appelé Yahvé à cause de mon affliction. Il m'a répondu. J'ai crié du ventre de Sheol. Tu as entendu ma voix. (Sheol h7585)
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol h7585)
Oui, de plus, le vin est perfide: un homme arrogant qui ne reste pas chez lui, qui élargit son désir comme le séjour des morts; il est comme la mort et ne peut être satisfait, mais il rassemble à lui toutes les nations et entasse à lui tous les peuples. (Sheol h7585)
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Mais moi, je vous dis que quiconque se met en colère contre son frère sans raison sera en danger de jugement. Celui qui dit à son frère: « Raca!" risque le conseil. Celui qui dira: « Tu es fou », risquera le feu de la géhenne. (Geenna g1067)
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Si ton œil droit te fait trébucher, arrache-le et jette-le loin de toi. Car il est plus avantageux pour toi qu'un seul de tes membres périsse que ton corps tout entier soit jeté dans la géhenne. (Geenna g1067)
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna g1067)
Si ta main droite te fait trébucher, coupe-la et jette-la loin de toi. Car il est plus avantageux pour toi que l'un de tes membres périsse, que tout ton corps soit jeté dans la géhenne. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna g1067)
Ne craignez pas ceux qui tuent le corps, mais ne peuvent tuer l'âme. Craignez plutôt celui qui est capable de détruire l'âme et le corps dans la géhenne. (Geenna g1067)
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
Toi, Capharnaüm, qui t'es élevé jusqu'au ciel, tu descendras au séjour des morts. Car si l'on avait fait à Sodome les miracles qui ont été faits chez toi, elle serait restée jusqu'à aujourd'hui. (Hadēs g86)
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn g165)
Quiconque parlera contre le Fils de l'homme, il lui sera pardonné; mais quiconque parlera contre le Saint-Esprit, il ne lui sera pardonné ni dans ce siècle, ni dans celui qui vient. (aiōn g165)
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
Ce qui a été semé parmi les épines, c'est celui qui entend la parole; mais les soucis du siècle présent et la séduction des richesses étouffent la parole, et il devient stérile. (aiōn g165)
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
L'ennemi qui les a semées, c'est le diable. La moisson, c'est la fin du monde, et les moissonneurs, ce sont les anges. (aiōn g165)
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Comme donc l'ivraie est ramassée et brûlée au feu, il en sera de même à la fin de ce siècle. (aiōn g165)
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
Il en sera de même à la fin du monde. Les anges viendront, sépareront les méchants d'avec les justes, (aiōn g165)
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs g86)
Je te dis aussi que tu es Pierre, et que sur cette pierre je bâtirai mon Église, et que les portes du séjour des morts ne prévaudront pas contre elle. (Hadēs g86)
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
Si ta main ou ton pied te font trébucher, coupe-les et jette-les loin de toi. Mieux vaut pour toi entrer dans la vie mutilé ou estropié, plutôt que d'avoir deux mains ou deux pieds pour être jeté dans le feu éternel. (aiōnios g166)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Si ton œil te fait trébucher, arrache-le et jette-le loin de toi. Il vaut mieux pour toi entrer dans la vie avec un seul œil, plutôt que d'avoir deux yeux pour être jeté dans la géhenne de feu. (Geenna g1067)
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Voici que quelqu'un s'approcha de lui et dit: « Bon maître, que dois-je faire de bon pour avoir la vie éternelle? » (aiōnios g166)
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tous ceux qui auront laissé des maisons, ou des frères, ou des sœurs, ou un père, ou une mère, ou une femme, ou des enfants, ou des terres, à cause de mon nom, recevront cent fois, et hériteront la vie éternelle. (aiōnios g166)
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn g165)
Voyant un figuier au bord du chemin, il s'en approcha et n'y trouva que des feuilles. Il lui dit: « Qu'il n'y ait pas de fruit de toi pour toujours! ». Aussitôt, le figuier se dessèche. (aiōn g165)
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna g1067)
Malheur à vous, scribes et pharisiens hypocrites! Car vous parcourez la mer et la terre pour faire un seul prosélyte; et quand il le devient, vous en faites un fils de la géhenne deux fois plus que vous. (Geenna g1067)
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Serpents, rejetons de vipères, comment échapperez-vous au jugement de la géhenne? (Geenna g1067)
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn g165)
Comme il était assis sur le mont des Oliviers, les disciples s'approchèrent de lui en privé, et dirent: « Dis-nous, quand cela arrivera-t-il? Quel est le signe de ton avènement et de la fin du monde? » (aiōn g165)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios g166)
Puis il dira aussi à ceux qui seront à sa gauche: « Retirez-vous de moi, maudits, dans le feu éternel qui a été préparé pour le diable et ses anges; (aiōnios g166)
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
Ceux-là iront au châtiment éternel, mais les justes à la vie éternelle. » (aiōnios g166)
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn g165)
et apprenez-leur à observer tout ce que je vous ai prescrit. Et voici, je suis avec vous tous les jours, jusqu'à la fin du monde. » Amen. (aiōn g165)
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
mais celui qui blasphème contre le Saint-Esprit n'a jamais été pardonné, mais il est sujet à une condamnation éternelle. » (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn g165)
mais les soucis du siècle présent, la séduction des richesses, et les convoitises qui s'introduisent, étouffent la parole, et la rendent infructueuse. (aiōn g165)
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna g1067)
Si ta main te fait trébucher, coupe-la. Mieux vaut pour toi entrer dans la vie mutilé, plutôt que d'aller avec tes deux mains dans la géhenne, dans le feu inextinguible, (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna g1067)
Si ton pied te fait trébucher, coupe-le. Mieux vaut pour toi entrer dans la vie en boitant, plutôt que d'avoir les deux pieds jetés dans la géhenne, dans le feu qui ne s'éteint pas, (Geenna g1067)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna g1067)
Si ton œil te fait trébucher, jette-le dehors. Mieux vaut pour toi entrer dans le royaume de Dieu avec un seul œil, que d'avoir deux yeux pour être jeté dans la géhenne de feu, (Geenna g1067)
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Comme il sortait du chemin, quelqu'un courut à lui, se mit à genoux devant lui et lui demanda: « Bon maître, que dois-je faire pour hériter de la vie éternelle? » (aiōnios g166)
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn g165, aiōnios g166)
mais il recevra cent fois plus maintenant, dans ce temps-ci: des maisons, des frères, des sœurs, des mères, des enfants et des terres, avec des persécutions; et dans le siècle à venir, la vie éternelle. (aiōn g165, aiōnios g166)
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn g165)
Jésus lui dit: « Que personne ne mange plus jamais de fruit de toi! » et ses disciples l'entendirent. (aiōn g165)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn g165)
et il régnera sur la maison de Jacob pour toujours. Il n'y aura pas de fin à son règne. » (aiōn g165)
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn g165)
comme il a parlé à nos pères, à Abraham et à sa descendance pour toujours. » (aiōn g165)
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn g165)
(comme il l'a dit par la bouche de ses saints prophètes qui existent depuis des temps immémoriaux), (aiōn g165)
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos g12)
Ils le supplièrent de ne pas leur ordonner d'aller dans l'abîme. (Abyssos g12)
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs g86)
Toi, Capharnaüm, qui es élevée jusqu'au ciel, tu seras abaissée jusqu'au séjour des morts. (Hadēs g86)
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Voici qu'un docteur de la loi se leva et l'éprouva, disant: « Maître, que dois-je faire pour hériter la vie éternelle? » (aiōnios g166)
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna g1067)
Mais je vais vous avertir de qui vous devez avoir peur. Craignez celui qui, après avoir tué, a le pouvoir de jeter dans la géhenne. Oui, je vous le dis, craignez-le. (Geenna g1067)
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn g165)
« Son seigneur a félicité le gérant malhonnête parce qu'il avait agi avec sagesse, car les enfants de ce monde sont, dans leur propre génération, plus sages que les enfants de la lumière. (aiōn g165)
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Je vous le dis, faites-vous des amis au moyen de mammon inique, afin que, lorsque vous échouerez, ils vous reçoivent dans les tentes éternelles. (aiōnios g166)
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs g86)
Dans le séjour des morts, il leva les yeux, étant en proie aux tourments, et il vit au loin Abraham, et Lazare dans son sein. (Hadēs g86)
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Un certain chef lui demanda: « Bon maître, que dois-je faire pour avoir en héritage la vie éternelle? » (aiōnios g166)
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn g165, aiōnios g166)
qui ne reçoive plusieurs fois, en ce temps-ci et dans le monde à venir, la vie éternelle. » (aiōn g165, aiōnios g166)
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
Jésus leur dit: « Les enfants de ce siècle se marient et sont donnés en mariage. (aiōn g165)
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
Mais ceux qui sont jugés dignes d'atteindre ce siècle et la résurrection des morts ne se marient ni ne sont donnés en mariage. (aiōn g165)
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
afin que quiconque croit en lui ne périsse pas, mais ait la vie éternelle. (aiōnios g166)
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Car Dieu a tant aimé le monde qu'il a donné son Fils unique, afin que quiconque croit en lui ne périsse pas, mais ait la vie éternelle. (aiōnios g166)
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios g166)
Celui qui croit au Fils a la vie éternelle, mais celui qui désobéit au Fils ne verra pas la vie, mais la colère de Dieu demeure sur lui. » (aiōnios g166)
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
mais celui qui boira de l'eau que je lui donnerai n'aura plus jamais soif; l'eau que je lui donnerai deviendra en lui une source d'eau jaillissant en vie éternelle. » (aiōn g165, aiōnios g166)
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
Celui qui moissonne reçoit un salaire et recueille du fruit pour la vie éternelle, afin que celui qui sème et celui qui moissonne se réjouissent ensemble. (aiōnios g166)
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Je vous le dis en vérité, celui qui écoute ma parole et croit à celui qui m'a envoyé a la vie éternelle, et il ne vient pas en jugement, mais il est passé de la mort à la vie. (aiōnios g166)
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios g166)
Vous sondez les Écritures, parce que vous pensez avoir en elles la vie éternelle; ce sont elles qui rendent témoignage de moi. (aiōnios g166)
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios g166)
Ne cherchez pas la nourriture qui périt, mais celle qui subsiste pour la vie éternelle, et que le Fils de l'homme vous donnera. Car Dieu le Père l'a scellé. » (aiōnios g166)
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
Telle est la volonté de celui qui m'a envoyé: que quiconque voit le Fils et croit en lui ait la vie éternelle; et je le ressusciterai au dernier jour. » (aiōnios g166)
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
En vérité, je vous le dis, celui qui croit en moi a la vie éternelle. (aiōnios g166)
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Je suis le pain vivant qui est descendu du ciel. Si quelqu'un mange de ce pain, il vivra éternellement. Oui, le pain que je donnerai pour la vie du monde, c'est ma chair. » (aiōn g165)
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Celui qui mange ma chair et boit mon sang a la vie éternelle, et je le ressusciterai au dernier jour. (aiōnios g166)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
Ceci est le pain qui est descendu du ciel, et non pas comme nos pères ont mangé la manne et sont morts. Celui qui mange ce pain vivra éternellement. » (aiōn g165)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
Simon-Pierre lui répondit: « Seigneur, à qui irions-nous? Tu as les paroles de la vie éternelle. (aiōnios g166)
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn g165)
Un esclave ne demeure pas toujours dans la maison. Un fils demeure pour toujours. (aiōn g165)
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn g165)
En vérité, je vous le dis, si quelqu'un garde ma parole, il ne verra jamais la mort. » (aiōn g165)
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn g165)
Alors les Juifs lui dirent: « Nous savons maintenant que tu as un démon. Abraham est mort, ainsi que les prophètes; et toi, tu dis: « Si quelqu'un garde ma parole, il ne goûtera jamais à la mort. (aiōn g165)
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Depuis le commencement du monde, on n'a jamais entendu dire que quelqu'un ait ouvert les yeux d'un aveugle-né. (aiōn g165)
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Je leur donne la vie éternelle. Elles ne périront jamais, et personne ne les arrachera de ma main. (aiōn g165, aiōnios g166)
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn g165)
Celui qui vit et qui croit en moi ne mourra jamais. Crois-tu cela? » (aiōn g165)
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Celui qui aime sa vie la perdra. Celui qui hait sa vie dans ce monde la gardera pour la vie éternelle. (aiōnios g166)
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn g165)
La foule lui répondit: « Nous avons appris par la loi que le Christ demeure éternellement. Comment dis-tu: « Il faut que le Fils de l'homme soit élevé »? Qui est ce Fils de l'homme? » (aiōn g165)
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios g166)
Je sais que son commandement est la vie éternelle. Les choses donc que je dis, je les dis comme le Père me les a dites. » (aiōnios g166)
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn g165)
Pierre lui dit: « Tu ne me laveras jamais les pieds! » Jésus lui répondit: « Si je ne te lave pas, tu n'as rien à faire avec moi. » (aiōn g165)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn g165)
Je prierai le Père, et il vous donnera un autre conseiller, afin qu'il demeure avec vous pour toujours: (aiōn g165)
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
De même que tu lui as donné autorité sur toute chair, de même il donnera la vie éternelle à tous ceux que tu lui as donnés. (aiōnios g166)
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
La vie éternelle, c'est qu'ils te connaissent, toi, le seul vrai Dieu, et celui que tu as envoyé, Jésus-Christ. (aiōnios g166)
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs g86)
car tu ne laisseras pas mon âme dans le séjour des morts, vous ne permettrez pas non plus à votre Saint de voir la pourriture. (Hadēs g86)
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs g86)
il a, prévoyant cela, parlé de la résurrection du Christ, afin que son âme ne restât pas dans le séjour des morts et que sa chair ne vît pas la pourriture. (Hadēs g86)
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn g165)
et que le ciel doit recevoir jusqu'aux temps du rétablissement de toutes choses, dont Dieu a parlé jadis par la bouche de ses saints prophètes. (aiōn g165)
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios g166)
Paul et Barnabé prirent la parole avec audace et dirent: « Il fallait que la parole de Dieu vous soit d'abord annoncée. Puisque vous l'avez repoussée de vous-mêmes et que vous vous jugez indignes de la vie éternelle, voici que nous nous tournons vers les païens. (aiōnios g166)
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios g166)
Les païens, ayant entendu cela, se réjouirent et glorifièrent la parole de Dieu. Tous ceux qui étaient destinés à la vie éternelle crurent. (aiōnios g166)
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
« Toutes les œuvres de Dieu lui sont connues de toute éternité. (aiōn g165)
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios g126)
Car les choses invisibles de Dieu, depuis la création du monde, se voient clairement, étant perçues par les choses faites, même sa puissance éternelle et sa divinité, afin qu'ils soient sans excuse. (aïdios g126)
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn g165)
Ils ont changé la vérité de Dieu en mensonge, et ils ont adoré et servi la créature plutôt que le Créateur, qui est béni éternellement. Amen. (aiōn g165)
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
à ceux qui, par la persévérance dans la bonne action, recherchent la gloire, l'honneur et l'incorruptibilité, la vie éternelle; (aiōnios g166)
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
afin que, comme le péché a régné par la mort, la grâce règne par la justice pour la vie éternelle, par Jésus-Christ notre Seigneur. (aiōnios g166)
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Mais maintenant, étant affranchis du péché et devenus esclaves de Dieu, vous avez votre fruit de sanctification et le résultat de la vie éternelle. (aiōnios g166)
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Car le salaire du péché, c'est la mort; mais le don gratuit de Dieu, c'est la vie éternelle en Jésus-Christ notre Seigneur. (aiōnios g166)
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn g165)
dont sont les pères, et dont est issu le Christ selon la chair, qui est au-dessus de tout, Dieu, béni éternellement. Amen. (aiōn g165)
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos g12)
ou bien: « Qui descendra dans l'abîme? (c'est-à-dire de faire remonter le Christ d'entre les morts.)" (Abyssos g12)
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē g1653)
Car Dieu a lié tous les hommes à la désobéissance, afin de faire miséricorde à tous. (eleēsē g1653)
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn g165)
Car c'est de lui, par lui et pour lui que viennent toutes choses. A lui soit la gloire pour les siècles des siècles! Amen. (aiōn g165)
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn g165)
Ne vous conformez pas au monde présent, mais soyez transformés par le renouvellement de votre intelligence, afin que vous discerniez quelle est la volonté de Dieu, ce qui est bon, agréable et parfait. (aiōn g165)
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
Or, à celui qui peut vous affermir selon ma Bonne Nouvelle et la prédication de Jésus-Christ, selon la révélation du mystère qui a été tenu secret pendant de longs siècles, (aiōnios g166)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
mais qui maintenant est révélé, et qui, par les Écritures des prophètes, selon le commandement du Dieu éternel, est connu pour l'obéissance de la foi de toutes les nations; (aiōnios g166)
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
au Dieu unique et sage, par Jésus-Christ, à qui soit la gloire pour les siècles des siècles! Amen. (aiōn g165)
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn g165)
Où est le sage? Où est le scribe? Où est le discoureur de ce siècle? Dieu n'a-t-il pas rendu insensée la sagesse de ce monde? (aiōn g165)
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn g165)
Nous, cependant, nous parlons de sagesse, parmi ceux qui ont atteint la maturité, mais d'une sagesse qui n'est pas celle de ce monde ni celle des chefs de ce monde, qui vont disparaître. (aiōn g165)
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn g165)
Mais nous parlons de la sagesse de Dieu dans un mystère, de la sagesse cachée, que Dieu a préparée avant les mondes pour notre gloire, (aiōn g165)
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
et qu'aucun des dominateurs de ce monde n'a connue. Car s'ils l'avaient connue, ils n'auraient pas crucifié le Seigneur de gloire. (aiōn g165)
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
Que personne ne se trompe lui-même. Si quelqu'un pense être sage parmi vous dans ce monde, qu'il devienne fou pour devenir sage. (aiōn g165)
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn g165)
C'est pourquoi, si la nourriture fait trébucher mon frère, je ne mangerai plus jamais de viande, afin de ne pas faire trébucher mon frère. (aiōn g165)
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn g165)
Or, toutes ces choses leur sont arrivées pour servir d'exemple, et elles ont été écrites pour notre instruction, à nous sur qui la fin des temps est venue. (aiōn g165)
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs g86)
« Mort, où est ton aiguillon? Hadès, où est ta victoire? » (Hadēs g86)
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
chez qui le dieu de ce monde a aveuglé l'intelligence des incrédules, afin que la lumière de la Bonne Nouvelle de la gloire du Christ, qui est l'image de Dieu, ne parût pas sur eux. (aiōn g165)
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
Car notre légère tribulation, qui est pour le moment, nous procure de plus en plus un poids éternel de gloire, (aiōnios g166)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)
tandis que nous ne regardons pas aux choses visibles, mais à celles qu'on ne voit pas. Car les choses qu'on voit sont temporelles, mais les choses qu'on ne voit pas sont éternelles. (aiōnios g166)
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios g166)
Nous savons, en effet, que si la maison terrestre qui nous sert de tente est détruite, nous avons un édifice qui vient de Dieu, une maison non faite de main d'homme, éternelle, dans les cieux. (aiōnios g166)
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
Selon qu'il est écrit, « Il a dispersé les gens. Il a donné aux pauvres. Sa justice demeure à jamais. » (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn g165)
Le Dieu et Père du Seigneur Jésus-Christ, celui qui est béni à jamais, sait que je ne mens pas. (aiōn g165)
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
qui s'est livré lui-même pour nos péchés, afin de nous délivrer du présent siècle mauvais, selon la volonté de notre Dieu et Père, (aiōn g165)
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
à qui soit la gloire aux siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios g166)
Car celui qui sème pour sa propre chair récoltera de la chair la corruption. Mais celui qui sème pour l'Esprit récoltera par l'Esprit la vie éternelle. (aiōnios g166)
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn g165)
bien au-dessus de toute domination, de toute autorité, de toute puissance, de tout pouvoir et de tout nom qui se nomme, non seulement dans ce siècle-ci, mais encore dans celui qui est à venir. (aiōn g165)
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn g165)
dans lesquels vous marchiez autrefois selon le cours de ce monde, selon le prince de la puissance de l'air, l'esprit qui agit maintenant dans les enfants de la désobéissance. (aiōn g165)
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
afin de montrer dans les siècles à venir l'immense richesse de sa grâce en bonté envers nous en Jésus-Christ; (aiōn g165)
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn g165)
et de faire connaître à tous l'administration du mystère caché depuis des siècles en Dieu, qui a créé toutes choses par Jésus-Christ, (aiōn g165)
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
selon le dessein éternel qu'il a accompli en Jésus-Christ notre Seigneur. (aiōn g165)
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn g165)
à lui soit la gloire dans l'assemblée et dans le Christ Jésus, pour toutes les générations, aux siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn g165)
Car ce n'est pas contre la chair et le sang que nous luttons, mais contre les principautés, contre les puissances, contre les dominateurs du monde, contre les ténèbres de ce siècle, et contre les forces spirituelles de la méchanceté dans les lieux célestes. (aiōn g165)
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
A notre Dieu et Père soit la gloire pour les siècles des siècles! Amen. (aiōn g165)
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn g165)
mystère caché depuis des siècles et des générations. Mais maintenant il a été révélé à ses saints, (aiōn g165)
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios g166)
qui en paiera le prix: la destruction éternelle de la face du Seigneur et de la gloire de sa puissance, (aiōnios g166)
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios g166)
Or, notre Seigneur Jésus-Christ lui-même, et Dieu notre Père, qui nous a aimés et nous a donné par grâce une consolation éternelle et une bonne espérance, (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Mais c'est pour cela que j'ai obtenu miséricorde, afin qu'en moi d'abord, Jésus-Christ déploie toute sa patience pour servir d'exemple à ceux qui allaient croire en lui pour la vie éternelle. (aiōnios g166)
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Maintenant, au Roi éternel, immortel, invisible, à Dieu qui seul est sage, honneur et gloire dans les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
Combats le bon combat de la foi. Saisissez la vie éternelle à laquelle vous avez été appelé, et vous avez confessé la bonne confession devant de nombreux témoins. (aiōnios g166)
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
Lui seul a l'immortalité, demeurant dans une lumière inaccessible, que nul homme n'a vu ni ne peut voir, à qui appartiennent l'honneur et la puissance éternelle. Amen. (aiōnios g166)
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
Demande à ceux qui sont riches dans le siècle présent de ne pas s'enfler d'orgueil et de ne pas fonder leur espérance sur l'incertitude des richesses, mais sur le Dieu vivant, qui nous procure avec abondance tout ce dont nous pouvons jouir; (aiōn g165)
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios g166)
qui nous a sauvés et appelés par une vocation sainte, non selon nos œuvres, mais selon son dessein et sa grâce, qui nous ont été accordés en Jésus-Christ avant les temps éternels, (aiōnios g166)
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
C'est pourquoi je supporte tout à cause des élus, afin qu'eux aussi obtiennent le salut qui est en Jésus-Christ, avec la gloire éternelle. (aiōnios g166)
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn g165)
car Démas m'a quitté, ayant aimé le monde présent, et il est allé à Thessalonique; Crescens, en Galatie; et Tite, en Dalmatie. (aiōn g165)
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Et le Seigneur me délivrera de toute œuvre mauvaise et me conservera pour son Royaume céleste. A lui soit la gloire pour les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios g166)
dans l'espérance de la vie éternelle, que Dieu, qui ne peut mentir, a promise avant le commencement des temps, (aiōnios g166)
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
nous instruisant afin que, renonçant à l'impiété et aux convoitises mondaines, nous vivions sobrement, justement et pieusement dans le siècle présent, (aiōn g165)
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios g166)
afin que, justifiés par sa grâce, nous soyons faits héritiers selon l'espérance de la vie éternelle. (aiōnios g166)
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
C'est pourquoi, peut-être, il a été séparé de vous pour un temps, afin que vous le possédiez pour toujours, (aiōnios g166)
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn g165)
nous a parlé, à la fin de ces jours, par son Fils, qu'il a établi héritier de toutes choses, par lequel il a aussi créé le monde. (aiōn g165)
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn g165)
Mais il dit du Fils, « Ton trône, ô Dieu, est pour les siècles des siècles. Le sceptre de la droiture est le sceptre de votre Royaume. (aiōn g165)
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Comme il le dit aussi dans un autre endroit, « Tu es un prêtre pour toujours, selon l'ordre de Melchizedek. » (aiōn g165)
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios g166)
Ayant été rendu parfait, il est devenu, pour tous ceux qui lui obéissent, l'auteur du salut éternel, (aiōnios g166)
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
de l'enseignement des baptêmes, de l'imposition des mains, de la résurrection des morts et du jugement éternel. (aiōnios g166)
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
qui ont goûté à la bonne parole de Dieu et aux puissances du siècle à venir, (aiōn g165)
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn g165)
où Jésus est entré pour nous comme précurseur, étant devenu souverain sacrificateur pour toujours selon l'ordre de Melchisédek. (aiōn g165)
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
car il en est rendu témoignage, « Tu es un prêtre pour toujours, selon l'ordre de Melchizedek. » (aiōn g165)
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn g165)
(car ils ont été établis prêtres sans serment), mais il a été établi prêtre avec serment par celui qui a dit de lui, « Le Seigneur a juré et ne changera pas d'avis, Tu es prêtre pour toujours, selon l'ordre de Melchizedek. » (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn g165)
Mais lui, parce qu'il vit éternellement, a un sacerdoce immuable. (aiōn g165)
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
En effet, la loi établit comme grands prêtres des hommes qui ont une faiblesse, mais la parole du serment, qui est postérieure à la loi, établit pour toujours un Fils qui a été perfectionné. (aiōn g165)
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios g166)
ni encore par le sang des boucs et des veaux, mais par son propre sang, est entré une fois pour toutes dans le lieu saint, ayant obtenu une rédemption éternelle. (aiōnios g166)
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios g166)
à combien plus forte raison le sang de Christ, qui, par l'Esprit éternel, s'est offert lui-même sans défaut à Dieu, purifiera-t-il votre conscience des œuvres mortes pour servir le Dieu vivant? (aiōnios g166)
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios g166)
C'est pourquoi il est le médiateur d'une nouvelle alliance, puisqu'une mort est survenue pour le rachat des transgressions commises sous la première alliance, afin que ceux qui ont été appelés reçoivent la promesse de l'héritage éternel. (aiōnios g166)
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn g165)
Sinon, il aurait dû souffrir souvent depuis la fondation du monde. Mais maintenant, une fois, à la fin des siècles, il a été révélé pour effacer le péché par son propre sacrifice. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn g165)
Par la foi, nous comprenons que l'univers a été formé par la parole de Dieu, de sorte que ce que l'on voit n'a pas été fait à partir de choses visibles. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn g165)
Jésus-Christ est le même hier, aujourd'hui et à jamais. (aiōn g165)
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios g166)
Que le Dieu de la paix, qui a ressuscité d'entre les morts le grand pasteur des brebis avec le sang d'une alliance éternelle, notre Seigneur Jésus, (aiōnios g166)
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
vous accomplisse en toute bonne œuvre pour faire sa volonté, en travaillant en vous ce qui est agréable à ses yeux, par Jésus-Christ, à qui soit la gloire aux siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Et la langue est un feu. Le monde de l'iniquité parmi nos membres, c'est la langue, qui souille tout le corps, qui met le feu au cours de la nature, et qui est embrasée par la géhenne. (Geenna g1067)
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
étant nés de nouveau, non d'une semence corruptible, mais d'une semence incorruptible, par la parole de Dieu, qui vit et demeure éternellement. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
mais la parole du Seigneur dure à jamais. » C'est la parole de la Bonne Nouvelle qui vous a été annoncée. (aiōn g165)
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Si quelqu'un parle, que ce soit comme si c'était les paroles mêmes de Dieu. Si quelqu'un sert, que ce soit avec la force que Dieu fournit, afin qu'en toutes choses Dieu soit glorifié par Jésus-Christ, à qui appartiennent la gloire et la domination dans les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
Mais que le Dieu de toute grâce, qui vous a appelés à sa gloire éternelle par Jésus-Christ, après que vous avez souffert un peu, vous perfectionne, vous affermisse, vous fortifie et vous fixe. (aiōnios g166)
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
A lui la gloire et la puissance pour les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Car ainsi vous serez richement pourvus pour entrer dans le royaume éternel de notre Seigneur et Sauveur, Jésus-Christ. (aiōnios g166)
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
Car si Dieu n'a pas épargné les anges lorsqu'ils ont péché, mais les a précipités dans le Tartare et les a confiés à des fosses de ténèbres pour qu'ils soient réservés au jugement; (Tartaroō g5020)
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn g165)
Mais croissez dans la grâce et la connaissance de notre Seigneur et Sauveur Jésus-Christ. À lui soit la gloire, maintenant et pour toujours. Amen. (aiōn g165)
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios g166)
(et la vie a été révélée, et nous avons vu, et nous témoignons, et nous vous annonçons la vie, la vie éternelle, qui était auprès du Père et qui nous a été révélée); (aiōnios g166)
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn g165)
Le monde passe avec ses convoitises, mais celui qui fait la volonté de Dieu demeure éternellement. (aiōn g165)
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios g166)
Telle est la promesse qu'il nous a faite, la vie éternelle. (aiōnios g166)
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios g166)
Celui qui hait son frère est un meurtrier, et vous savez qu'aucun meurtrier n'a la vie éternelle qui demeure en lui. (aiōnios g166)
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
Ce témoignage est le suivant: Dieu nous a donné la vie éternelle, et cette vie est dans son Fils. (aiōnios g166)
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Je vous ai écrit ces choses, à vous qui croyez au nom du Fils de Dieu, afin que vous sachiez que vous avez la vie éternelle, et que vous continuiez à croire au nom du Fils de Dieu. (aiōnios g166)
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Nous savons que le Fils de Dieu est venu et nous a donné l'intelligence, afin que nous connaissions celui qui est vrai; et nous sommes en celui qui est vrai, en son Fils Jésus-Christ. Voilà le vrai Dieu et la vie éternelle. (aiōnios g166)
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
à cause de la vérité, qui demeure en nous, et qui sera avec nous pour toujours: (aiōn g165)
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios g126)
Les anges qui n'ont pas gardé leur premier domaine, mais qui ont déserté leur propre demeure, il les a gardés dans des liens éternels, sous les ténèbres, pour le jugement du grand jour. (aïdios g126)
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
De même que Sodome et Gomorrhe et les villes voisines, qui, comme elles, se sont livrées à l'impudicité et ont recherché la chair étrangère, sont montrées en exemple, subissant le châtiment du feu éternel. (aiōnios g166)
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn g165)
des vagues sauvages de la mer, écumant leur propre honte; des étoiles errantes, pour lesquelles l'obscurité des ténèbres a été réservée à jamais. (aiōn g165)
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios g166)
Restez dans l'amour de Dieu, attendant la miséricorde de notre Seigneur Jésus-Christ pour la vie éternelle. (aiōnios g166)
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn g165)
à Dieu notre Sauveur, qui seul est sage, soient gloire et majesté, domination et puissance, maintenant et pour toujours. Amen. (aiōn g165)
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
et qui a fait de nous un Royaume, des prêtres pour son Dieu et Père - à lui la gloire et la domination pour les siècles des siècles. Amen. (aiōn g165)
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
et le Vivant. J'étais mort, et voici que je suis vivant pour les siècles des siècles. Amen. J'ai les clés de la mort et du séjour des morts. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn g165)
Lorsque les êtres vivants rendent gloire, honneur et louange à celui qui est assis sur le trône, à celui qui vit aux siècles des siècles, (aiōn g165)
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn g165)
les vingt-quatre anciens se prosternent devant celui qui est assis sur le trône et adorent celui qui vit aux siècles des siècles, et ils jettent leurs couronnes devant le trône, en disant: (aiōn g165)
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
J'ai entendu tout ce qui a été créé dans les cieux, sur la terre, sous la terre, sur la mer, et tout ce qui s'y trouve, dire: « A celui qui est assis sur le trône et à l'Agneau, la bénédiction, l'honneur, la gloire et la domination, aux siècles des siècles! Amen! » (aiōn g165)
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
Et voici, il y avait un cheval pâle, et le nom de celui qui le montait était la mort. L'Hadès le suivait. Il lui fut donné autorité sur le quart de la terre, pour tuer par l'épée, par la famine, par la mort, et par les bêtes sauvages de la terre. (Hadēs g86)
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn g165)
en disant: « Amen! Bénédiction, gloire, sagesse, action de grâces, honneur, puissance et force, soient à notre Dieu aux siècles des siècles! Amen. » (aiōn g165)
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
Le cinquième ange sonna de la trompette, et je vis du ciel une étoile qui était tombée sur la terre. La clé du puits de l'abîme lui fut donnée. (Abyssos g12)
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
Il ouvrit le puits de l'abîme, et de la fumée monta du puits, comme la fumée d'une fournaise ardente. Le soleil et l'air s'obscurcirent à cause de la fumée qui sortait du puits. (Abyssos g12)
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
Ils ont sur eux comme roi l'ange de l'abîme. Son nom en hébreu est « Abaddon », mais en grec, il porte le nom d' « Apollyon ». (Abyssos g12)
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn g165)
et jura par celui qui vit aux siècles des siècles, qui a créé le ciel et ce qu'il contient, la terre et ce qu'elle contient, et la mer et ce qu'elle contient, qu'il n'y aura plus de retard, (aiōn g165)
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
Quand ils auront achevé leur témoignage, la bête qui monte de l'abîme leur fera la guerre, les vaincra et les tuera. (Abyssos g12)
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
Le septième ange sonna de la trompette, et de grandes voix dans le ciel suivirent, disant: « Le royaume du monde est devenu le royaume de notre Seigneur et de son Christ. Il régnera aux siècles des siècles! » (aiōn g165)
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Je vis un ange qui volait au milieu du ciel, ayant une Bonne Nouvelle éternelle à annoncer aux habitants de la terre, à toute nation, tribu, langue et peuple. (aiōnios g166)
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
La fumée de leur tourment monte aux siècles des siècles. Ils n'ont de repos ni jour ni nuit, ceux qui adorent la bête et son image, et quiconque reçoit la marque de son nom. (aiōn g165)
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn g165)
L'un des quatre êtres vivants donna aux sept anges sept coupes d'or pleines de la colère de Dieu, qui vit aux siècles des siècles. (aiōn g165)
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos g12)
La bête que tu as vue était, et elle n'est plus; elle va sortir de l'abîme et aller à la perdition. Les habitants de la terre, dont le nom n'a pas été inscrit dans le livre de vie depuis la fondation du monde, seront dans l'étonnement lorsqu'ils verront que la bête était, et n'est pas, et qu'elle sera présente. (Abyssos g12)
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn g165)
Un deuxième a dit: « Alléluia! Sa fumée monte aux siècles des siècles. » (aiōn g165)
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
La bête fut prise, et avec elle le faux prophète qui accomplissait les prodiges par lesquels il séduisait ceux qui avaient reçu la marque de la bête et ceux qui adoraient son image. Ces deux-là furent jetés vivants dans l'étang de feu qui brûle avec du soufre. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
Je vis descendre du ciel un ange qui avait la clef de l'abîme et une grande chaîne dans sa main. (Abyssos g12)
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos g12)
le jeta dans l'abîme, le ferma et le scella sur lui, afin qu'il ne séduise plus les nations jusqu'à ce que les mille ans soient accomplis. Après cela, il doit être libéré pour un court moment. (Abyssos g12)
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Le diable qui les séduisait fut jeté dans l'étang de feu et de soufre, où se trouvent aussi la bête et le faux prophète. Ils seront tourmentés jour et nuit, aux siècles des siècles. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs g86)
La mer rendit les morts qui étaient en elle. La mort et le séjour des morts ont rendu les morts qui étaient en eux. Ils furent jugés, chacun selon ses œuvres. (Hadēs g86)
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
La mort et le séjour des morts furent jetés dans l'étang de feu. C'est la seconde mort, l'étang de feu. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Si quelqu'un n'était pas trouvé écrit dans le livre de vie, il était jeté dans l'étang de feu. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Mais pour les lâches, les incrédules, les pécheurs, les abominables, les meurtriers, les impudiques, les enchanteurs, les idolâtres, et tous les menteurs, leur part est dans l'étang ardent de feu et de soufre, qui est la seconde mort. » (Limnē Pyr g3041 g4442)
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
Il n'y aura pas de nuit, et ils n'auront besoin ni de lampe ni de soleil, car le Seigneur Dieu les illuminera. Ils régneront aux siècles des siècles. (aiōn g165)
Questioned verse translations do not contain Aionian Glossary words, but may wrongly imply eternal or Hell
“‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” (questioned)
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. (questioned)
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. (questioned)

SCO > Aionian Verses: 264, Questioned: 3
FRE > Aionian Verses: 264