< Mika 4 >

1 Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote; utainuliwa juu ya vilima, na watu wa mataifa watamiminika humo.
and to be in/on/with end [the] day to be mountain: mount house: temple LORD to establish: establish in/on/with head: top [the] mountain: mount and to lift: raise he/she/it from hill and to flow upon him people
2 Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tuweze kuenenda katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno la Bwana litatoka Yerusalemu.
and to go: come nation many and to say to go: come! and to ascend: rise to(wards) mountain: mount LORD and to(wards) house: temple God Jacob and to show us from way: conduct his and to go: walk in/on/with way his for from Zion to come out: come instruction and word LORD from Jerusalem
3 Atahukumu kati ya mataifa mengi, na ataamua migogoro ya mataifa yenye nguvu na yaliyo mbali. Watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine, wala hawatajifunza vita tena.
and to judge between people many and to rebuke to/for nation mighty till distant and to crush sword their to/for plowshare and spear their to/for pruner not to lift: fight nation to(wards) nation sword and not to learn: learn [emph?] still battle
4 Kila mtu ataketi chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake, wala hakuna mtu atakayewaogopesha, kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema.
and to dwell man: anyone underneath: under vine his and underneath: under fig his and nothing to tremble for lip LORD Hosts to speak: speak
5 Mataifa yote yanaweza kutembea katika jina la miungu yao; sisi tutatembea katika jina la Bwana Mungu wetu milele na milele.
for all [the] people to go: walk man: anyone in/on/with name God his and we to go: walk in/on/with name LORD God our to/for forever: enduring and perpetuity
6 “Katika siku hiyo,” asema Bwana, “nitawakusanya walemavu; nitawakusanya walio uhamishoni na wale niliowahuzunisha.
in/on/with day [the] he/she/it utterance LORD to gather [the] to limp and [the] to banish to gather and which be evil
7 Nitawafanya walemavu kuwa mabaki, wale waliofukuzwa kuwa taifa lenye nguvu. Bwana atatawala juu yao katika Mlima Sayuni kuanzia siku hiyo na hata milele.
and to set: make [obj] [the] to limp to/for remnant and [the] to cast far off to/for nation mighty and to reign LORD upon them in/on/with mountain: mount Zion from now and till forever: enduring
8 Lakini kuhusu wewe, ee mnara wa ulinzi wa kundi, ee ngome ya Binti Sayuni, milki ya awali itarudishwa kwako, ufalme utakuja kwa Binti Yerusalemu.”
and you(m. s.) tower of Eder tower of Eder hill daughter Zion till you to come and to come (in): come [the] dominion [the] first: previous kingdom to/for daughter Jerusalem
9 Kwa nini sasa unalia kwa nguvu: kwani huna mfalme? Je, mshauri wako amekufa, hata maumivu yakukamate kama ya mwanamke aliye na utungu wa kuzaa?
now to/for what? to shout shouting king nothing in/on/with you if: surely yes to advise you to perish for to strengthen: hold you agony like/as to beget
10 Gaagaa kwa utungu, ee Binti Sayuni, kama mwanamke mwenye utungu wa kuzaa, kwa kuwa sasa ni lazima uuache mji ukapige kambi uwanjani. Utakwenda Babeli; huko utaokolewa. Huko Bwana atakukomboa kutoka mikononi mwa adui zako.
to twist: writh in pain and to burst/come out daughter Zion like/as to beget for now to come out: come from town and to dwell in/on/with land: country and to come (in): come till Babylon there to rescue there to redeem: redeem you LORD from palm enemy your
11 Lakini sasa mataifa mengi yamekusanyika dhidi yako. Wanasema, “Mwache anajisiwe, macho yetu na yatazame Sayuni kwa furaha!”
and now to gather upon you nation many [the] to say to pollute and to see in/on/with Zion eye our
12 Lakini hawayajui mawazo ya Bwana; hawauelewi mpango wake, yeye awakusanyaye kama miganda kwenye sakafu ya kupuria.
and they(masc.) not to know plot LORD and not to understand counsel his for to gather them like/as sheaf threshing floor [to]
13 “Inuka upure, ee Binti Sayuni, kwa kuwa nitakupa pembe za chuma; nitakupa kwato za shaba na utavunja vipande vipande mataifa mengi.” Utatoa mapato yao waliopata kwa udanganyifu kwa Bwana, utajiri wao kwa Bwana wa dunia yote.
to arise: rise and to tread daughter Zion for horn your to set: make iron and hoof your to set: make bronze and to crush people many and to devote/destroy to/for LORD unjust-gain their and strength: rich their to/for lord all [the] land: country/planet

< Mika 4 >