< Nahumu 1 >

1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
oracle Nineveh scroll: book vision Nahum [the] Elkoshite
2 Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwana hulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwana hulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake.
God jealous and to avenge LORD to avenge LORD and master: [master of] rage to avenge LORD to/for enemy his and to keep he/she/it to/for enemy his
3 Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwana hataacha kuadhibu wenye hatia. Njia yake ipo katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni vumbi la miguu yake.
LORD slow face: anger (and great: large *Q(K)*) strength and to clear not to clear LORD in/on/with whirlwind and in/on/with storm way: journey his and cloud dust foot his
4 Anakemea bahari na kuikausha, anafanya mito yote kukauka. Bashani na Karmeli zinanyauka na maua ya Lebanoni hukauka.
to rebuke in/on/with sea and to wither him and all [the] river to dry to weaken Bashan and Carmel and flower Lebanon to weaken
5 Milima hutikisika mbele yake na vilima huyeyuka. Nchi hutetemeka mbele yake, dunia na wote waishio ndani yake.
mountain: mount to shake from him and [the] hill to melt and to lift: raise [the] land: country/planet from face: before his and world and all to dwell in/on/with her
6 Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu? Nani awezaye kuvumilia hasira yake kali? Ghadhabu yake imemiminwa kama moto, na miamba inapasuka mbele zake.
to/for face: before indignation his who? to stand: stand and who? to arise: rise in/on/with burning anger face: anger his rage his to pour like/as fire and [the] rock to tear from him
7 Bwana ni Mwema, kimbilio wakati wa taabu. Huwatunza wale wanaomtegemea,
pleasant LORD to/for security in/on/with day distress and to know to seek refuge in/on/with him
8 lakini kwa mafuriko makubwa, ataangamiza Ninawi; atafuatilia adui zake hadi gizani.
and in/on/with flood to pass consumption to make place her and enemy his to pursue darkness
9 Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
what? to devise: devise [emph?] to(wards) LORD consumption he/she/it to make not to arise: rise beat distress
10 Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
for till thorn to interweave and like/as liquor their to imbibe to eat like/as stubble dry full
11 Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
from you to come out: come to devise: devise upon LORD distress: evil to advise Belial: worthless
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Ingawa wana muungano nao ni wengi sana, watakatiliwa mbali na kuangamia. Ingawa nimekutesa wewe, ee Yuda, sitakutesa tena.
thus to say LORD if complete and so many and so to shear and to pass and to afflict you not to afflict you still
13 Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako, nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
and now to break yoke his from upon you and bond your to tear
14 Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: “Hutakuwa na wazao watakaoendeleza jina lako. Nitaharibu sanamu za kuchonga na sanamu za kuyeyusha ambazo zipo katika hekalu la miungu yenu. Nitaandaa kaburi lako, kwa maana wewe ni mwovu kabisa.”
and to command upon you LORD not to sow from name your still from house: temple God your to cut: eliminate idol and liquid to set: make grave your for to lighten
15 Tazama, huko juu milimani, miguu ya huyo mmoja aletaye habari njema, ambaye anatangaza amani! Ee Yuda, sherehekea sikukuu zako, nawe utimize nadhiri zako. Waovu hawatakuvamia tena; wataangamizwa kabisa.
behold upon [the] mountain: mount foot to bear tidings to hear: proclaim peace to celebrate Judah feast your to complete vow your for not to add: again still (to/for to pass *Q(k)*) in/on/with you Belial: worthless all his to cut: eliminate

< Nahumu 1 >