< Mathayo 1 >
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Hin cun Davita capa, Abrahama capa, Jesuh Khritawa ksawn tähnak cajina kyaki.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abrahama ca Isak, Isaka ca Jakop, acunüng Jakop naw Judah ja a bena he a jah canak.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Judah naw Tamari am Pereh ja Sherah a jah canak, Pereh naw Heron ca na lü, acunüng Heron naw Ram a canak.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Rama ca Aminadap, Aminadapa ca Nashon, Nashona ca Salmon.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salmon naw Rahap am Bozah a canak, Bozah naw Rutah am Obet a canak, Obet naw Jise a canak.
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Jise naw Sangpuxang Davit a canak. Sangpuxang Davit naw Sangpuxang Solamon a canak, a nu cun Urijaa khyu Davit naw a khämbea kyaki.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Solamona ca Rehobawm, Rehobawma ca Abijah, Abijaha ca Asa.
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asaa ca Jehosaphat, Jehosaphata ca Jehoram, Jehoram naw Usia a canak.
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Usiaa ca Jotham, Jothama ca Ahaz, Ahaza ca Hezakiha kyaki.
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Hezakiha ca Manaseh, Manaseha ca Amon, Amona ca Josiah.
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Isarel he jah man u lü Babalunga ami jah cehpüi, acun k'um üng Josiah naw Jekhonih ja a bena he a jah canak.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Babalunga ami jah cehpüi käna Jekhoniha ca Shaltilah, Shaltilaha ca Zerubabel.
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Zerubabela ca Abiud, Abiuda ca Eliakim, Eliakima ca Azora kyaki.
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Azora ca Zadok, Zadoka ca Achim, Achima ca Eliud.
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliuda ca Elezar, Elezara ca Matthan, Matthana ca Jakopa kyaki.
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Acunüng Jakopa ca cun Josep, Mariha ceia kyaki, Marih cun Khritaw Mesijah ti Jesuha nua kyaki.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Abraham üngka naw Davit cäpa ksawn xaleikphyü lawki. Davit üngka naw Babalung mpya vaia ami jah cehpüi cäpa ksawn xaleikphyü lawki. Acunüng Babalung mpya üngka naw Messijah hmi law cäpa ksawn xaleikphyü lawki.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Jesuh Khritaw a hmi lawa mawng cun hikbaa kyaki. A nu Marih cun Josepa khyu vaia ami mkhyäp käna, atänga am ani awm ham üng, Marih cun Ngmüimkhya Ngcim naw a mpyaisak.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
A cei vaia Josep cun khyang ngsungpyuna kya lü, khyang he maa Marih cun am luthui hmaiset hlüsak lü, ampyua hawih be khaia büki.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Acunüngpi, acukba a ngaih k'um üng, a ngmang üng Bawipaa khankhawngsä ngdang vai lü, “Davita capa Josep, Marih na khyunak vai käh cäia. Isetiakyaküng a mpyai hin ta Ngmüimkhya Ngcima mpyaisak ni.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Ani cun kpamicaa ca khai, a khyang he ami mkhyekatnak üngkhyüh jah küikyan khaia kyase a ngming cun Jesuha na sui khai,” a ti.
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Ahina mawng cun Bawipa naw Sahma he üngkhyüh a pyen khawi a kümnak vaia kyaki.
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Pamhnama ngthu ta, “Teng ua, nglamica mpyai law lü, cangpyang ca na law khai, a ngming cun Imanuelaha sui law khai he,” ti hlü ta, “Pamhnam cun mi hlawnga awmki,” tinaka kyaki.
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Josep cun ip lü a let law üng, Bawipa khankhawngsä naw a pyena kba Marih a khyunak.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Acunüngpi, Josep ja Marih cun Marih a camah veia alanga am ip khawi ni. Josep naw hnasena ngming cun Jesuha a sui.