< Mathayo 2 >

1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
Sangpuxang Herod a Bawi kcün üng Jesuh cun Judah khaw Bethlehem mlüha hmi lawki. Acunüng nghngilawa ka khyang kthem he Jerusalem da lawki he.
2 wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
“Hawia ni Judahea Sangpuxang vai hmi lawki hnasen cun. Ania aisi nghngilaw da lut lawki hmu u lü sawkhah khaia kami lawki he ni” ami ti.
3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
Sangpuxang Herod naw acun ngja üng cäicing pyangmaki. Jerusalem mlüha awmkia khyang he naküt pi cäicing hngaki he.
4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
Sangpuxang Herod naw, ktaiyü ngvai he ja thum mthei he jah mkhäm lü, “Khritaw hawia hmi khai ni?” ti lü a jah kthäh.
5 Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
Amimi naw, “Judah khaw, Bethlehema hmi khaia Sahma naw a yuk ni” ti lü ami pyen.
6 “‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
“Judah hne Bethlehem mlüh, Nang hin Judah mlühe üng na ngming ngthang khai ni. Nang üngka naw Bawi ngtüi law khai, ani naw ka khyang Isarel he lam jah msüm khai.”
7 Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
Acunüng, Herod naw khyang kthem he cun angmpyua jah khü lü, aisi angdang lawa kcün cun angsinga a jah kthäh.
8 Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
Acunüng, Herod naw Bethlehema jah tüih lü, “Cit u lü hnasen cun akdawa va sui ua. Nami hmuh üng na mtheh law be uki se, kei pi cit lü ka va sawkhah hnga khai” a ti.
9 Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
Acunüng cit u lü, nghngilaw da ami hmuh kunga aisi cun hmu betüki he. Ami hmuh üng jekyai tawngki he. Aisi cun ami maa cit lü hnasena awmnaka ngdang a pha üng ngdüiki.
10 Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
11 Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
Im k'uma va lut u lü hnasen ja a nu Marih ami jah hmuh üng ngdäng u lü, hnasen kpamica cun sawkhahki he. Acunkäna ami lawpüia khawhthem he jah nghmawng u lü xüi, Frankisen ja Mura ng'ui he jah peki he.
12 Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
Acunkäna Sangpuxang Heroda awmnak lam da käh ami ceh be vaia, Pamhnam naw ami ngmang üng jah mtheh se, lam kce üng ami khyawngpe da cu cit beki he.
13 Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
Acun he ami ceh be käna, Bawipaa khankhawngsä mat law lü, Josepa ngmang üng, “Tho law lü, hnasen ja a nu Egypt pea jah cenpüia, ka ning jah mtheh law be vei cäpa acuia awm u, isetiüng ta Herod naw hnasen hnim khaia sui hüki ni” ti lü a jah mtheh.
14 Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
Acuna mthan üng Josep cun tho law lü, naca ja a nu jah cehpüi lü Egypt pea dawngki.
15 ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
Sangpuxang Herod a thih vei cäpa acuia awmki he. Ahlana Bawipa naw sahma üng a pyen “Egypt pea ka ca ka khü be ni” ti lü awmki cen kümcei lawnak vaia phäh ni.
16 Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
Nghngilaw khyang kthem he naw mhleiki he ti Sangpuxang Herod naw a ksing law üng thüi law lü Bethlehem ja apeia awmki hnasen kpamica kum nghngiha kke üngka naküt a jah hnimsak. Acun cun khyang kthema veia a ksing aisi akcük a ngdang law üngkhyüh kum nghngih lawkia kya se, kum nghngih lawki Judah hnasen naküt a jah hnimsak.
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
Acukba sahma Jeramih naw ahlana a na pyen law küm lawki ni.
18 “Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
“Ramah mlüha sünnak, mbawikyahnak ngja ve u. Rachel naw a ca kyahei ve; mhlawhmcah vai pi mah ve, a ca he thih päiha phäh ni” ti lü awmki.
19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
Herod a thih käna Bawipa khankhawngsä mat Josepa ngmang üng ngdang vai lü,
20 na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
“Tho law lü, hnasen ja a nu Isarel pea jah cehpüi bea, hnasen hnim hlüki he thih päng ve u” ti lü a jah mtheh.
21 Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
Acunüng, Josep cun tho law lü hnasen ja a nu jah cehpüi lü Isarel khyawngpe da cit beki.
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
Acunüng, Sangpuxang Heroda capa Akhejah, a paa hnün üng Judah Bawia thawnki ni ti ngjak lü, Josep kyühei lü cit be damki. Pamhnam naw a ngmang üng a mtheha mäiha Kalile hneha cit lü acuia awmki.
23 akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”
Acunüng, Nazaret mlüha im sa lü awmki. Sahma he naw ami na pyen, “Ani cun Nazaret khyanga sui khai he” ti a kümcei lawnak ni.

< Mathayo 2 >