< Marko 12 >
1 Yesu akaanza kusema nao kwa mifano, akawaambia: “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akachimba shimo ndani yake kwa ajili ya shinikizo la kusindika divai, na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha shamba hilo la mizabibu kwa wakulima fulani, kisha akasafiri kwenda nchi nyingine.
I Yesubma tubi inwe in ze torusa, magu unu nubu mabari imum uru imeme maketi a hirama in matiti ma henzi uwa coco makarsi madini makuri mabari ahira uzu mei urun uma titi, madusa a tanu ta piit.
2 Wakati wa mavuno ulipofika, mwenye shamba akamtuma mtumishi wake kwa hao wapangaji ili kuchukua sehemu yake ya mavuno ya shamba la mizabibu kutoka kwa hao wapangaji.
Imum yanyame matonue anakadura kameme ura ma owawane ore sa makakaba ibru imatitima ma meki vana me watri wahu arume.
3 Lakini wale wakulima walimkamata yule mtumishi, wakampiga, wakamfukuza mikono mitupu.
Koma wazekime, watirime, wa birko me wa dusa sarki iri mum.
4 Kisha yule mwenye shamba akamtuma mtumishi mwingine kwao; nao wale wakulima wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya aibu.
Wa sake utumma aye ahira awame una kadura, watri me wakunna me iwowo anice wacekime in mu e.
5 Kisha akamtuma mtumishi mwingine, naye huyo wakamuua. Akawatuma wengine wengi; baadhi yao wakawapiga, na wengine wakawaua.
Makuri matumi u ye unu inde ahu, wagumari aye awa me, watiri watiri wahuwatuzi we.
6 “Mwenye shamba alikuwa bado na mmoja wa kumtuma, mwanawe aliyempenda. Hatimaye akamtuma akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
Mazi uni inde sa madi tumi, una adimo me ma guana unadumo sa madi tumime, wadi kunna biyau bi meme.
7 “Lakini wale wapangaji wakasemezana pamoja, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, nao urithi utakuwa wetu.’
Anaka tuma waguana vana uyo ume mazi geme cati hu me ti cati imum ya choo me.
8 Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Wa meki me wa hu wa vingi me a ni kira ni ru.
9 “Sasa basi yule mwenye shamba atafanya nini? Atakuja na kuwaua hao wapangaji, kisha atawapa wapangaji wengine hilo shamba la mizabibu.
Nyanini unu ru me, madi wu, madi huzi anu inta uru me, ma nya aye.
10 Je, hamjasoma Andiko hili: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni;
Da ya basa ihori ige me sa, nipo sa anyarime nini, ni neni na cukuna nipo ni tuba uru tini.
11 Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?”
Tize uwatu Asere imumu ibiyau a je aru me.
12 Walipotambua kuwa amesema mfano huo kwa ajili yao, wakataka kumkamata, lakini wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha, wakaondoka, wakaenda zao.
Watubi unyarsa umaki Yesu.
13 Baadaye wakawatuma baadhi ya Mafarisayo na Maherode ili kwenda kumtega Yesu katika yale anayosema.
Wa tuburko ma Farisiyawa wana Hiridiyawa, wa nyarisi me intize.
14 Wakamjia, wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwadilifu. Wewe huyumbishwi na wanadamu, kwa kuwa huna upendeleo. Lakini wewe huifundisha njia ya Mungu katika kweli. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?
Sa wa e, wagumme, unudungara, inzome iri imumbe sa mabizema sizi anime, mazi neziwe nibaba nigome Asere ma nya kaisar imumsa izi kaisa.
15 Je, tulipe kodi au tusilipe?” Lakini Yesu alijua unafiki wao. Akawauliza “Mbona mnajaribu kunitega? Nileteeni hiyo dinariniione.”
Matinka malim mawa me nyanini i we me wa pattum. unyam imum sa mari ini.
16 Wakamletea hiyo sarafu. Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.”
Wa nya Yesu unu inde, mabukwe, muhenu maveni ma zige me, wa gu muhenu ma kaisar.
17 Ndipo Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.” Nao wakamstaajabia sana.
Yesu magu nya kisari imumbe sa izi kisari unya Yesu, imeme nyani imum be sizi ya Asere inyan Asere.
18 Kisha Masadukayo, wale wasemao kuwa hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu,
A Sadukiyawa e ahira a! eme wa debe sa maguna u hira uzoni wa iki me.
19 wakasema, “Mwalimu, Mose alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.
Uni bizizi Musa ma nyetike durin ingi uhenu ma womo maceki unej umeme, sarki vana anyimo uni henu, a uye mazi uneh me bayi mayo vana unu neti unanu me.
20 Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa pasipo kuwa na mtoto yeyote.
Anu sunare anihenu, wazi anya unu ne u inde unu tuba uzika me ma wii, ma ceki me sarki vana.
21 Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.
Unu ure ma wii maceki ine me sarki vana unu uku taru cangi ma wii.
22 Hakuna hata mmojawapo wa hao ndugu wote saba aliyeacha mtoto. Hatimaye yule mwanamke naye akafa.
Unu usunare ma wii ma ceki me sarki ahana u aye adumo me une ma wii.
23 Kwa hiyo wakati wa ufufuo, yeye atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”
Romo be sa Ugomo Asere madi e une me madi wa veni.
24 Yesu akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu?
Yesu magu ine ini ya wuna i carsa abangan, barki uzatu urusa uni kara na Asere.
25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
Rono u zauka anabuu, anya adi zoni, vat uru tidi cukunomana kadura Asere.
26 Basi kuhusu wafu kufufuliwa, je hamjasoma katika Kitabu cha Mose jinsi Mungu alivyosema na Mose kutoka kile kichaka akisema, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo?’
Abanga iwono, nanu uhirza ibe daki ya bassani ihori i Musa sa ma nyetike anyimo anijaa unu guna immani Asere Ibrahim, Asere a Ishaku, nan Asere a Yakubu.
27 Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.”
An, debe sa Asere mazi Asere a weme anu vengize mani, wazome anu vengize mani wazome u guna aginwe mukizi muni ya hurna shi gbardang.
28 Mwalimu mmoja wa sheria akaja, akawasikia wakijadiliana. Akiona kwamba Yesu amewajibu vyema, naye akamuuliza, “Katika amri zote, ni ipi iliyo kuu?”
Uye ma e mazi kunna imum be sa wazi unu boo me, ma iri Yesu makabarka ma iki we, tiye tize yini tiduandang.
29 Yesu akajibu, “Amri iliyo kuu ndiyo hii: ‘Sikia ee Israeli. Bwana Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja.
Yesu makabirka we tize ti dandang, kunna ni, anu IrailamUgomo Asere azia inde.
30 Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’
Udi tafna nan na Asere, Ugomo Asere vat ini riba iwe me, nanbi be biweme, wa nikara.
31 Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
Tize tu kure, tine tini in taa uroni utura uwe me gusi nice nu we me, ure ukuri uka zoni sa uteki ugeme.
32 Yule mwalimu wa sheria akamwambia Yesu, “Mwalimu, umejibu vyema kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ila yeye.
Unu nyetike, magu, rep unu urusa, ka dura kani Asere azi a inde, ara Asere azo ni.
33 Kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa akili zote na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama mtu anavyojipenda mwenyewe ni bora zaidi kuliko kutoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu zote.”
Uhem me vat ini riba inde wanu rusa, vat nikara uhem uroni utura gusi ni wome ine ini itaki uni ure, ubonza adodu nan wiro udi roronga.
34 Yesu alipoona kwamba amejibu kwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
Sa Yesu ma iri, ukabirka umeme urisi, magun we uzo we piit nan nakura Asere abini ani daki uye makuri ma iki me iri mum.
35 Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, akauliza, “Imekuwaje walimu wa sheria wanasema kwamba Kristoni Mwana wa Daudi?
Yesu mara udenge Asere magi unu boo uwe ti ze ta Asere, vana u Dauda.
36 Kwa maana Daudi mwenyewe, akinena kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu, alisema: “‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’
Dauda biriri ba gunana, Asere, cukuno atinare tam indi kurzo aroni ishine iwome ati buna tiwome.
37 Kwa hiyo Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana.’ Awezaje basi yeye kuwa mwanawe?” Ule umati wote wa watu wakamsikiliza kwa furaha.
Dauda nice ni meme magu una kaba uru “Asere”, nyani ya wu a gum me vanu Dauda?, ni ori na nu kunna anyimo iri ba irum.
38 Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
Yesu unu bezizi haka sake ina nu unyeyike anu unyara uniza uni sansani uni izini we ajira ani gura.
39 Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu.
Anu nyara ahira ticukuno ti dandang ati denge ta Asere wanti hira tu tanda.
40 Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”
Wadi ribize ati kura ta neti a koro wa kuri wa wusi bi ringara bi joko bati uwuna ugino me imum izenze ini.
41 Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu ambapo sadaka zilikuwa zinawekwa na kuangalia umati wa watu wakiweka fedha zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa cha fedha.
Ba abini me Yesu ma cukuno a nikuri a nyimo udenge Asere, unu hira anu unu rezi ikirfi anyimo ani kuri, anu gbardang wa rezi ikirfi idandang anyimo imumbesa wazini.
42 Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.
Ure ukoro une ma e ma reki anini ana re cas.
43 Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka katika sanduku la hazina zaidi ya watu wengine wote.
Ma titi anu tarsa umeme magu we, kudura ka zigeme imboo shi, imumbe ukoro uweri ugeme, mareki iso igeme iteki ukasu anume.
44 Wengine wote wametoa kutokana na ziada ya mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake, akaweka kila kitu alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
Wa nyaniza anyino ukem uwe, sa wazin, me anyimo udira ume uni, ma nya vat, mum be sa mazi.