< Marko 11 >

1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage na Bethania katika Mlima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake,
Sa wa e mamu nan Urushalima, nan Betafaji, a ubetanya u watu ini po nu zaitun, yesu ma tumi ana wa re ayimo ni go ni meme
2 akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na hapo mtakapoingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
. magun we hanani aku giro ku ginome aje ashime, unu ribe ushi idi iri kuzenki kutiri, anu hira shi ba i sopi i eni,
3 Kama mtu yeyote akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji, na atamrudisha hapa baada ya muda mfupi.’”
. vat de sa ma gunan shi nyanini i wuza anime? i gun me (sakura mani ma nyara, madi kurzoni ingi ma mara.
4 Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba.
wa dusa waka kem kuzenki kutiri ana tukum akura upuru una wa sopi.
5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”
A de sa wa ra ahira me wa iki we yanini ya wuna ya sapo kuzenki me? wa buki we imumme sa sakura ma buki.
6 Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu.
ba wa cheki we wa dusa.
7 Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Yesu na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda.
Ba wa e yesu in ku zenki me, wa nassa madibi maweme a maro a Luzern me madi ku nyene
8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.
Anu gwardan wa nasa madibi mawame uname aye waka nyarsa mava mama titi wanasa uname.
9 Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”
Ana je nan ana dumo wa yeze amyira wa nonzo de sa ma eze ayimo ni za na asere.
10 “Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
Nonzoti somo sa ti eze uwatu aco aru Dauda 'Nonzo ogomo asere.
11 Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
Yesu ma ribe urushalima ma ha uwatu udenge asere. ma gunkuno kodi nyani ahira me. uganiya uwunjoro, masuri madusa ubetanya nan nanu kirau in wa re.
12 Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.
Ni ye ni kure, sa wa ze usuro ubetanya, ikomo, imeki me.
13 Akauona mtini kwa mbali, naye akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.
Ma iri utiti upom piit in mava mariri, maha nani madi ka kem ahana mari, dama kem i muma ahira me ban mava cas, da uganiya iburi ini ba
14 Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn g165)
. Magu titime,” uye mada kuri ure ire imumu ahira aweme,” anutarsa ume unuy kunna me. (aiōn g165)
15 Walipofika Yerusalemu, Yesu akaingia katika eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakinunua na kuuza humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa,
Sa waze urushalima, maribe udenge aser, ma kem azinu ziza adodo ahira udenge asere me ma gidiwa, ma gamari tihira tanu ugamara i kirfi na makwanku manu ziza uti mumu ma vingizi.
16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.
Ma karti uzika koyani uwatu udenge asere sa azi unizizame ahira me.
17 Naye alipokuwa akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa kuwa: “‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote’? Lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
Ma dunguri we magu,” Akura am adi chukuno ahira tize nan asere vat une'? shibe ya kurzo ya kurzo ani mabere ma kari
18 Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria wakapata habari hizi, nao wakaanza kutafuta njia ya kumuua, kwa kuwa walikuwa wakimwogopa, kwa sababu umati wote ulikuwa unashangazwa na mafundisho yake.
. Unu udandan udungara katoma ka asere nan anu nyetike ihori wa kuna imum me sa buki, wa ziki una uguna wadi hume, barki bi yau ziki una uguna wadi hone. barki bi yau wa iri vat adesa waa ra ahira me wahem in yeso iriba iweme
19 Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
. ko ya uwunjoro wadi cekki ni pin me.
20 Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.
Sa wa hira ni sisizo, wa iri utiti upom me wa-waa nan ti ji me
21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Rabi, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”
. Bitrus maringi me magu,”una akura ira' utiti upom me sa wa wu uni anyo wa-waa kpagarak.
22 Yesu akawajibu, “Mwaminini Mungu.
yeso ma kabirka magun we, inko ni iriba ahira asere
23 Amin, nawaambia, mtu yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ngʼoka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yametukia, atatimiziwa.
. kadure kani in boshi vat de sa ma inko riba ahira asere mada ke magu unu pana, hira abame uha anyimo a niwin, in daki ma wuza ma, aye ba mahem iri ba imeme idi cukuno anime, asere adiwuzi katuma kameme.
24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu.
yeso magu mabukashi, vat imum sa ya iko a bi ringara, inkoni iriba idi kem, idi cukuno anime
25 Nanyi kila msimamapo kusali, sameheni mkiwa na neno na mtu, ili naye Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. [
. ingi idi wu biringara -ivete vat imumme sa uye ma wuna shi, barki acoo ashi me anyimo aseseri ma vete shi meni cangi
26 Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”
in daki ya veteni ba, acoo ashi anyimo aseseri mada vete sheni ba cangi.
27 Wakafika tena Yerusalemu, na Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wa watu wakamjia.
Sa wa kuro urishalima, yesu mahazi uribe udenge asere, unu dandang, anu nyetike ihori wa nanu-udenge asere wa e wa kem me.
28 Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”
Wa gun me,” unu uya ubari uni uzin katuma ka geme? aveni ma nya we ni kara ni wuza katuma ka geme?
29 Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali moja. Nijibuni, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
Yesu ma gun we, ca mi, in ikishi changi. ingi yabuka ni mi indi buki shi desa ma nyam ni kara ni wuza ka katuma ka geme
30 Niambieni, je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”
uzurso uyohana, wa seseri uni nani wa annu, uni? kabirkani mi”.
31 Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
wa gamirka tize acece aweme wa gu, ingi ta guna aseseri ani- madigu, nyani ya wuna daki ya hem in me ba?
32 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’…” (Waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana alikuwa nabii wa kweli.)
ingi ta guna ahira unnu ani” wa kuna iyau ya nu, vat wa hem in yohanna una ka tuma ka asere mani. Abini me wa kabirka Yesu wa gu, tida tanduru ba,
33 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
Abini me Yesu ma gun we,” mi cangi inda bukashi nani aveni ma nyam nikara ni katuma ba,” nani in buki shi in ni kara na veni in zini wuza katuma me”

< Marko 11 >