< Mambo ya Walawi 6 >

1 Bwana akamwambia Mose:
خداوند به موسی فرمود:
2 “Kama mtu yeyote akitenda dhambi, naye si mwaminifu kwa Bwana kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa, au kimeachwa chini ya utunzaji wake, au kimeibwa, au kama akimdanganya,
«هرگاه کسی نسبت به شخصی گناه کرده، به خداوند خیانت ورزد، و از پس دادن چیزی که پیش او گرو گذاشته شده خودداری نماید یا در امانت خیانت ورزد، یا دزدی کند یا مال همسایه‌اش را غصب نماید،
3 au akiokota mali iliyopotea na akadanganya, au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yoyote ambayo watu waweza kuitenda;
و یا اینکه در خصوص چیز گمشده‌ای که پیدا کرده است دروغ بگوید و قسم بخورد که پیش او نیست، یا مرتکب هر گناهی از این قبیل شود،
4 wakati akitenda dhambi hizo na kuwa mwenye hatia, ni lazima arudishe kile alichokuwa amekiiba au amekichukua kwa dhuluma, au alichokuwa amekabidhiwa, au mali iliyokuwa imepotea akaipata,
روزی که جرم او ثابت شود باید اصل مال را پس دهد و یک پنجم ارزش آن را نیز به آن افزوده، به صاحب مال بپردازد.
5 au chochote alichokuwa amekiapia kwa uongo. Lazima akirudishe kikamilifu, na aongeze sehemu ya tano ya thamani yake, vyote ampe mwenye mali siku ile anapeleka sadaka yake ya hatia.
6 Kisha kama adhabu lazima amletee kuhani, yaani kwa Bwana, kama sadaka yake ya hatia, kondoo dume asiye na dosari na mwenye thamani kamili kutoka kundi lake.
او باید به عنوان قربانی جبران، یک قوچ بی‌عیب و با ارزش نزد کاهن به خیمۀ ملاقات بیاورد و به خداوند تقدیم کند. این قوچ باید مطابق معیار رسمی، ارزیابی شود.
7 Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana, naye atasamehewa kwa kosa lolote katika mambo hayo aliyoyatenda yaliyomfanya kuwa na hatia.”
کاهن با این قربانی برای او در حضور خداوند کفاره خواهد کرد و گناه او بخشیده خواهد شد.»
8 Bwana akamwambia Mose:
آنگاه خداوند به موسی فرمود:
9 “Mpe Aroni na wanawe agizo hili: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa itabaki kwenye moto juu ya madhabahu usiku kucha, mpaka asubuhi, nao moto lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu.
«این دستورها را در مورد قربانی سوختنی به هارون و پسرانش بده. قربانی سوختنی باید تمام شب بر روی مذبح باشد و آتش مذبح خاموش نشود.
10 Kisha kuhani atavaa mavazi yake ya kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani mwilini wake, na aondoe majivu ya sadaka ya kuteketezwa ambayo moto umeteketeza juu ya madhabahu, na kuyaweka kando ya madhabahu.
صبح روز بعد، کاهن لباس زیر و لباس کتانی خود را بپوشد و خاکستر قربانی سوختنی را برداشته، کنار مذبح بگذارد.
11 Kisha atayavua mavazi haya na kuvaa mengine, naye achukue yale majivu nje ya kambi na kuyapeleka mahali palipo safi kwa kawaida ya ibada.
سپس لباسش را عوض کند و خاکستر را بیرون از اردوگاه ببرد و در مکان طاهری که برای این کار مقرر شده است، بریزد.
12 Moto ulio juu ya madhabahu lazima uwe unaendelea kuwaka, kamwe usizimike. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni na kupanga sadaka ya kuteketezwa juu ya moto, na kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake.
کاهن هر روز صبح هیزم تازه بر آن بنهد و قربانی سوختنی روزانه را روی آن بگذارد و چربی قربانی سلامتی را بر آن بسوزاند.
13 Moto lazima uendelee kuwaka juu ya madhabahu mfululizo, kamwe usizimike.
آتش مذبح باید همیشه روشن بماند و هرگز خاموش نشود.
14 “‘Haya ndiyo masharti ya sadaka ya nafaka: Wana wa Aroni wataileta mbele za Bwana, mbele za madhabahu.
«قوانین مربوط به هدیهٔ آردی از این قرار است: کاهن برای تقدیم هدیهٔ آردی به خداوند جلوی مذبح بایستد،
15 Kuhani atachukua konzi ya unga laini na mafuta, pamoja na uvumba wote ulioko juu ya sadaka ya nafaka, ateketeze sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
سپس مشتی از آرد مرغوب آغشته به روغن زیتون را با کندری که بر آن است بردارد و به عنوان نمونه برای خداوند روی مذبح بسوزاند. این هدیه مورد پسند خداوند خواهد بود.
16 Aroni na wanawe watakula sehemu iliyobaki, lakini italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu, nao wataila kwenye ua wa Hema la Kukutania.
بقیهٔ آرد، متعلق به هارون و پسرانش می‌باشد تا از آن برای خوراک خود استفاده کنند. این آرد باید بدون خمیرمایه پخته شود و در حیاط خیمۀ ملاقات خورده شود.
17 Kamwe haitaokwa na chachu; nimewapa kama fungu lao la sadaka iliyotolewa kwangu kwa moto. Ni takatifu sana, kama vile ilivyo sadaka ya dhambi na ya hatia.
این قسمت از هدیهٔ آردی را که بر آتش به خداوند تقدیم می‌شود، خداوند به کاهنان داده است. مانند قربانی گناه و قربانی جبران، این قسمت از هدیهٔ آردی نیز بسیار مقدّس می‌باشد.
18 Kila mwanaume mzao wa Aroni aweza kuila. Ni fungu lake la kawaida la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto kwa vizazi vijavyo. Chochote kinachozigusa kitakuwa kitakatifu.’”
پسران هارون نسل اندر نسل می‌توانند این قسمت از هدیه را بخورند. این هدیه که بر آتش به خداوند تقدیم می‌شود، همیشه سهم کاهنان خواهد بود و کس دیگری حق ندارد به آن دست بزند.»
19 Tena Bwana akamwambia Mose,
سپس خداوند به موسی فرمود:
20 “Hii ni sadaka ambayo Aroni na wanawe wanapaswa kuleta kwa Bwana siku atakapotiwa mafuta: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama sadaka ya kawaida ya nafaka. Nusu yake ataitoa asubuhi na nusu nyingine jioni.
«هارون و هر کدام از پسرانش در روزی که برای انتصاب به مقام کاهنی مسح می‌شوند باید یک کیلو آرد مرغوب، به اندازهٔ هدیهٔ آردی روزانه به حضور خداوند بیاورند و نصف آن را در صبح و نصف دیگر را در عصر به خداوند تقدیم کنند.
21 Iandae kwa mafuta kwenye kikaango; ilete ikiwa imechanganywa vizuri, na utoe hiyo sadaka ya nafaka ikiwa imevunjwa vipande vipande kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
این هدیه باید روی ساج با روغن زیتون پخته شود سپس تکه‌تکه شده، به عنوان هدیهٔ آردی به خداوند تقدیم گردد. این هدیه مورد پسند خداوند خواهد بود.
22 Mwanawe atakayeingia mahali pake kama kuhani aliyetiwa mafuta ndiye atakayeiandaa. Ni fungu la kawaida la Bwana, nalo litateketezwa kabisa.
هر کاهنی که به جای پدر خود، کاهن اعظم می‌شود باید در روز انتصاب خود همین هدیه را به خداوند تقدیم کند. این فریضه‌ای ابدی است.
23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa; kamwe haitaliwa.”
هر هدیۀ آردی کاهن باید تماماً سوزانده شود و چیزی از آن خورده نشود.»
24 Bwana akamwambia Mose,
خداوند به موسی فرمود:
25 “Mwambie Aroni na wanawe: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi itachinjiwa mbele za Bwana mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, ni takatifu sana.
«این دستورها را در مورد قربانی گناه به هارون و پسرانش بده. این قربانی بسیار مقدّس است و باید در حضور خداوند در جایی ذبح شود که قربانیهای سوختنی را سر می‌برند.
26 Kuhani anayeitoa ndiye atakayeikula; itakuliwa katika mahali patakatifu, katika ua wa Hema la Kukutania.
کاهنی که قربانی را تقدیم می‌کند، گوشت آن را در حیاط خیمۀ ملاقات که جای مقدّسی است، بخورد.
27 Chochote kitakachogusa nyama yoyote ya hiyo sadaka kitakuwa kitakatifu, na kama hiyo damu itadondokea juu ya vazi, lazima uifulie mahali patakatifu.
فقط کسانی که تقدیس شده‌اند، یعنی کاهنان، اجازه دارند به این گوشت دست بزنند. اگر خون آن قربانی به لباس ایشان بپاشد باید لباس خود را در مکانی مقدّس بشویند.
28 Chungu cha udongo kitakachopikiwa nyama lazima kivunjwe, lakini kama imepikiwa kwenye chombo cha shaba, chombo hicho kitasuguliwa na kusuuzwa kwa maji.
ظرف سفالینی که گوشت در آن پخته می‌شود باید شکسته شود. اگر گوشت در یک ظرف مسی پخته شده باشد باید آن ظرف را کاملاً تمیز کنند و با آب بشویند.
29 Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.
هر مردی از خانوادۀ کاهنان می‌تواند از این گوشت بخورد. این قربانی بسیار مقدّس است.
30 Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu yake imeletwa ndani ya Hema la Kukutania kufanya upatanisho katika Mahali Patakatifu kamwe haitaliwa; lazima iteketezwe.
اما در مواردی که خون قربانی گناه برای کفاره در قدس به داخل خیمۀ ملاقات برده می‌شود، گوشت قربانی را نباید خورد بلکه باید تماماً سوزاند.

< Mambo ya Walawi 6 >