< Yoshua 9 >
1 Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),
A gdy usłyszeli wszyscy królowie, którzy byli za Jordanem na górach, i na równinach, i nad wszystkiem brzegiem morza wielkiego przeciw Libanowi, Hetejczyk, i Amorejczyk, i Chananejczyk, Ferezejczyk, Hewejczyk, i Jebuzejczyk;
2 wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.
Zebrali się pospołu, aby walczyli przeciw Jozuemu, i przeciw Izraelowi, jednomyślnie.
3 Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai,
Ale obywatele Gabaon, usłyszawszy, co uczynił Jozue Jerychowi i Hajowi,
4 nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa.
Postąpili sobie i oni chytrze, a poszedłszy zmyślili się być posłami, i wzięli wory stare na osły swe, i łagwie winne stare, i potarte, i łatane;
5 Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga.
I obuwie stare i łatane na nogi swoje, i szaty stare na się, a wszystek chleb, co go z sobą nabrali w drogę, suchy był i spleśniały.
6 Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”
Tedy przyszli do Jozuego, do obozu w Galgal, i rzekli do niego, i do mężów Izraelskich: Z ziemiśmy dalekiej przyszli; przetoż teraz uczyńcie z nami przymierze.
7 Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”
Ale odpowiedzieli mężowie Izraelscy Hewejczykowi: Podobno ty mieszkasz między nami, a jakoż z tobą możemy uczynić przymierze?
8 Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.” Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”
A oni rzekli do Jozuego: Słudzy twoi jesteśmy. I rzekł do nich Jozue: Coście wy zacz, a skądeście przyszli?
9 Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa Bwana Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri,
I odpowiedzieli mu: Z ziemi dalekiej bardzo przyszli słudzy twoi w imieniu Pana, Boga twego; bośmy słyszeli sławę jego, i wszystko, co uczynił w Egipcie;
10 pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi.
I wszystko, co uczynił dwom królom Amorejskim, którzy byli za Jordanem, Sehonowi królowi Hesebon, i Ogowi królowi Basan, którzy mieszkali w Astarot.
11 Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.”’
I rozkazali nam starsi nasi, i wszyscy obywatele ziemi naszej, mówiąc: Nabierzcie sobie żywności na drogę, a idźcie przeciwko nim, i mówcie im: Słudzy wasi jesteśmy, przetoż teraz uczyńcie z nami przymierze.
12 Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu.
Ten chleb nasz ciepłyśmy na drogę wzięli z domów naszych tego dnia, gdyśmy wyszli, abyśmy szli do was; a teraz oto wysechł, i popleśniał.
13 Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”
I te łagwie winne, któreśmy byli napełnili, były nowe, a oto się popękały; także te szaty nasze, i obuwie nasze zwiotszały dla bardzo dalekiej drogi.
14 Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa Bwana.
A tak wzięli oni mężowie Izraelscy z onej żywności ich, a ust się Pańskich nie pytali.
15 Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.
Tedy z nimi uczynił Jozue pokój, i postanowił z nimi przymierze, aby ich zachował przy żywocie; także przysięgły im książęta zgromadzenia.
16 Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao.
Ale po trzech dniach po uczynieniu z nimi przymierza, usłyszeli, że blisko ich byli, a iż w pośrodku ich mieszkali.
17 Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu.
A ruszywszy się synowie Izraelscy przyciągnęli do miast ich dnia trzeciego, a miasta ich te były: Gabaon, i Kafira, i Beerot, i Karyjatyjarym.
18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli. Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi,
I nie wytracili ich synowie Izraelscy; albowiem przysięgły im były książęta zgromadzenia przez Pana, Boga Izraelskiego, skąd szemrało wszystko zgromadzenie przeciw książętom.
19 lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa.
I rzekły wszystkie książęta do całego zgromadzenia: Myśmy im przysięgli przez Pana, Boga Izraelskiego; przetoż teraz nie możemy się ich tknąć.
20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”
To im uczynimy, a zachowamy je żywo, iżby nie przyszło na nas rozgniewanie dla przysięgi, którąśmy im przysięgli.
21 Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.
Nadto rzekły do nich książęta: Niech żyją, a niech rąbią drwa, i niech noszą wodę wszystkiemu zgromadzeniu; i przestali na tem, jako im powiedziały książęta.
22 Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi?
Potem wezwał ich Jozue, i rzekł do nich, mówiąc: Przeczżeście nas oszukali, powiadając: Dalekimiśmy od was bardzo, a wy w pośrodku nas mieszkacie?
23 Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”
A tak teraz przeklęci jesteście, i nie ustaną z was słudzy, i rąbiący drwa, i noszący wodę do domu Boga mego.
24 Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi Bwana Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili.
Którzy odpowiedzieli Jozuemu, i rzekli: Zapewne oznajmiono było sługom twoim, jako był rozkazał Pan, Bóg twój, Mojżeszowi słudze swemu, aby wam dał wszystkę ziemię, a iżby wygładził wszystkie mieszkające w tej ziemi przed twarzą waszą; przetoż baliśmy się bardzo o żywot nasz przed wami, i uczyniliśmy tę rzecz.
25 Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”
A teraz otośmy w rękach twoich; coć się dobrego i słusznego widzi uczynić z nami, uczyń.
26 Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa.
I uczynił im tak, a wybawił je z rąk synów Izraelskich, że ich nie pobili.
27 Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana mahali pale ambapo Bwana angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.
I postanowił je Jozue dnia onego, aby rąbali drwa, i nosili wodę zgromadzeniu, i do ołtarza Pańskiego aż do tego dnia, na miejscu, które by obrał.