< Yoshua 9 >

1 Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),
Tun Jordan vadung lhumlam gamma lenghon thilsoh hohi ajatauvin ahi. Hitehochu Hit mite, Amor mite, Canaan mite, Perizz mite, Jebus mite lengho, lhumlam molbulla chengho leh twikhanglen pang Lebanon molho changeija chengho ahiuve.
2 wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.
Hiche lengho hin lungkhattah’a athao jekhomma Joshua leh Israel mite hi kisatpi dingin akiloikhommun ahi.
3 Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai,
Ahinlah Gibon miten Joshua’n Jericho leh Ai abolnahi ahetphatnun,
4 nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa.
Amaho kihuhdohna dingin lungthim chomkhat agongtauvin ahi. Amahon Joshua komma palai asol’uvin, sakhao luile asesa, jupeng luile akibehthu ho, sangan chunga aheng’un,
5 Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga.
Amahon von sesa akivonnun, ponsesa akisillun, kengchot kibehthu akichotnun chuleh nehdinga akipoh’u changlhah chu agopsa le amonsa ahi.
6 Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”
Amaho Gilgalla Israelte ngahmunna ahunglhun phatnun Joshua komma chun, “Keiho nangmatoh kichamna thulhuh sem dinga kholgamlatah’a konna hung kahiuve” atiuve.
7 Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”
Israelten, hiche Hivi miteho kommachun adonbutnun, “Nangho hi anaivella chengmi nahi nahilouvu keihon iti kahet diuham? Anaivella cheng nahikhah uleh keihon nangho toh kichamna thulhuh kaneithei loudiu ahi” atiuve.
8 Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.” Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”
Amahon, “Keiho hi nasohte kahiuve” tin adonbutnun ahi. Ahin Joshua’n, “Nangho koi nahiuva, hoiya konna hung nahiuham?”ati.
9 Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa Bwana Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri,
Amahon adonbutnun, “Nasohte hi kachenao mun gamlatah’a konna hung kahiuve. Keihon na Pakai na Pathennu thaneidan Egypt gamma anatoh ho kanajauvin ahi.
10 pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi.
Keihon Jordan solama Amor lengteni leh Heshbon lengpa Sihon le Ashtarothna um Bashan lengpa Og chunga anatoh ho kajauvin ahi.
11 Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.”’
Hijeh chun kaupa houle kamipite jousen eihin thulhah’un, kholgamla tah jotna dingin nehle chah kipoh’un, Israel mipite chu gakimupiuvin lang hitihin seijun, ‘keiho nasohte kahiuve keihotoh kitepna neineipiuvin,’ tin gaseijun” atiuve.
12 Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu.
“Hiche kachanglhah houhi kain’uva konna kahung kipatdoh uva chu tapkonga konna sapeh’a kahinpoh’u ahin tuhin agobetnin a-ap tan ahin,
13 Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”
Hiche jupengho jonghi kahinthal dimmuva chu thahleh’a ahin, tuhin aluijin a-ehgam tai. Chuleh kavon uleh kakengkoh’u jonghi kalamsao jotnauva konna luigamma ahitai” atiuve.
14 Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa Bwana.
Hitichun Israelten aneh achah’u chu anakholchil’un, ahinlah Pakai dohna ananei pouve.
15 Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.
Hiche jouchun Joshua in amaho chutoh an ananeipi-in amaho chu anahinghoi tan ahi, khopi sunga alamkai houvin jong hiche kinoptona chu kihahselnan anasudetnun ahi.
16 Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao.
Hiche kitepna aneiyu nithum jouvin hiche miteho hi akomchauva chenga ahibouvui ti ahedoh tauvin ahi.
17 Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu.
Israelte chu akholtoh dingin acheuvin nithum sungin akhopi houvachun agalhung tauve. Hiche khopiho chu Gibeon, Kephirah, Beeroth, chule Kiriath-Jearim ahiuve.
18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli. Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi,
Ahinlah Israelten khopiho chu anokhum tapouvin ahi, ajeh chu Israel lamkaiten, Pakai Israel Pathen min panna kitepna ananeiju ahitai. Israel mipite chu, alamkai houvin chutobang kitepna chu anabol jeh’un achunguvah anaphunnun ahi.
19 lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa.
Ahinlah alamkai houvin anadonbutnun “Eihon Pakai Israel Pathen minna kihahselna inaneinao ahitah jeh’a amaho chu itohkhah theiloudiu ahitai,
20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”
Eihon amaho chu ihinghoidiu ahitai, ajeh chu eihon ikitepnao isuhkeh uleh Pathen lunghanna ichung uva chuding ahi,
21 Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.
Amaho chu ihinghoidiu ahitai” atiuve. Hitichun amahon Israel lamkaiten athupeh bangun akhopi sunga tuikhai dingleh thingpodin amangcha tauvin ahi.
22 Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi?
Joshua’n Gibeon miho chu akoukhommin hitin aseije, “Nanghon ipi dinga neijoulhep uham? Nangho hila kalah uva chenga nahibouvun, ipi dinga gamlatah’a cheng kahiuve natiuham?
23 Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”
Nangho hi sapset chang nahitauvin, hijeh’a chu tuapat’a nangho hi ka Pathennu in na dinga thingchomle tuikhaija napan jengdiu ahitai,” atipeh’in ahi.
24 Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi Bwana Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili.
Amahon adonbutnun, “Pakai na Pathennun Mose anathupeh dungjuija hiche gamhi nangho napeh uva chule agamsung mite jouse hi nathagam sohkeidiu ahi ti nasohte keihon kanajauvin ahi. Hijeh chun keihon nangho hi kana kichalheh jengun ahileh hitiahi kanabollu ahi,” atiuve.
25 Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”
“Tun keiho hi nangho khutna um kahitauve, hijeh chun nadeidan dannin neiboltauvin,” ati.
26 Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa.
Hitichun, Israelten amaho atha diu chu Joshua’n anajanom tapon ahi.
27 Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana mahali pale ambapo Bwana angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.
Ahin hiche nikho chun aman Gibeon mite chu Isael mipite le Pathennin adeinamun munna a Maicham semna ding tuikhai leh thingchommin anapansah tauvin ahi. Hichehi tuni geija ahintoh jingu ahi.

< Yoshua 9 >