< Yoshua 20 >

1 Ndipo Bwana akamwambia Yoshua,
И рече Господь ко Иисусу, глаголя:
2 “Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Mose,
рцы сыном Израилевым, глаголя: дадите грады убежений, яже рекох к вам Моисеом:
3 ili mtu yeyote atakayemuua mtu kwa bahati mbaya na pasipo kukusudia aweze kukimbilia huko na kujiepusha na mlipiza kisasi wa damu.
убежище убийце поразившему душу неволею: и будут вам грады убежище, и не умрет убийца от ужика крове, дондеже предстанет пред сонмом на суд.
4 “Anapokimbilia mojawapo ya hii miji mikubwa atasimama kwenye maingilio ya lango la mji mkuu na kueleza wazee wa mji kuhusu shauri lake. Kisha watampokea katika mji wao na kumpa mahali pa kuishi nao.
И (аще кто) убегнет во един от градов сих, и станет во вратех града, и исповесть во уши старцем града того словеса своя: и приимут его сонм к себе, и дадят ему место жити с ними:
5 Kama mlipiza kisasi wa damu akimfuatilia, wasimkabidhi yule mshtakiwa, kwa sababu alimuua jirani yake bila kukusudia, na bila kuwa na nia ya kudhuru.
и егда поженет ужик крове вслед его, и не дадут убившаго в руце его: яко не ведый уби ближняго своего и не ненавидя той его от вчера и третияго дне:
6 Huyu aliyeua atakaa kwenye mji mkubwa huo mpaka awe amesimama kukabili mashtaka yake mbele ya kusanyiko na mpaka kuhani mkuu anayehudumu kwa wakati huo atakapokufa. Ndipo atakapoweza kurudi nyumbani kwake katika mji ambao aliukimbia.”
и да вселится в той град, дондеже станет пред лицем сонма на суд, и дондеже умрет жрец великий, иже будет в тыя дни: тогда да обратится убийца, и внидет во град свой и в дом свой, и во град, отнюдуже избеже.
7 Basi wakatenga Kedeshi katika Galilaya kwenye nchi ya vilima ya Naftali, Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-Arba (yaani Hebroni) kwenye nchi ya vilima ya Yuda.
И отделиша Кедес в Галилеи, в горе Неффалимли, и Сихем в горе Ефремли, и Град Арво (сей есть Хеврон) в горе Иуде:
8 Katika upande wa mashariki mwa Yordani ya Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi, na Golani huko Bashani katika kabila la Manase.
и об ону страну Иордана ко Иерихону на восток, даша Восор в пустыни в поли от племене Рувимля, и Рамоф в Галааде от племене Гадова, и Голан в Васанитиде от племене Манассиина:
9 Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote aishiye miongoni mwao aliyemuua mtu kwa bahati mbaya, angeweza kukimbilia katika miji mikubwa hiyo iliyotengwa na asiuawe na mlipiza kisasi wa damu kabla hajasimama kukabili mashtaka mbele ya kusanyiko.
сии грады избраны быша всем сыном Израилевым и пришелцу прилежащему в них, еже убежати тамо всякому убивающему душу неволею, да не умрет от руку ужика крове, дондеже станет пред сонмом на суд.

< Yoshua 20 >