< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Jordan palang kanîtholah Arnon palang hoi kamtawng teh, Hermon mon totouh, Kanîtholae tanghling pueng, Isarelnaw ni a thei teh, ram a la awh e kaukkung siangpahrangnaw teh,
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Arnon kho teng e, Armor kho, palang tangawn, Gilead ram tangawn, Ammon ram tangawn, Jakop palang totouh,
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
Kanîtholah tanghling koehoi kamtawng teh, Khinneroth tuipui totouh, Sodom kanîtholah, Bethjeshimoth kho lah ceinae lam, Pisgah kho, teng akalah hoi thonae lam totouh ka uk niteh, Heshbon kho kaawmnaw Armor siangpahrang Sihon,
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Hermon mon hoi Salkah ram, Geshurnaw, Maakathnaw, a onae ram totouh,
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
Bashan ram pueng, Heshbon siangpahrang, Sihon ni a uknaeram totouh, Gilead ram tangawn, a uk e a ram totouh, Edrei kho kaawm e miphun kalenpounge thung dawk hoi kaawm e Bashan siangpahrang Og,
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Hote siangpahrang kahni touh roi hah Cathut e san Mosi hoi Isarelnaw ni a thei teh, BAWIPA e san Mosi ni ahnimae ram teh, Reubennaw, Gadnaw, Manasseh tangawn hah a poe.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Jordan palang kanîloum koe Lebanon tanghling koe kaawm e Baalgad kho hoi kamtawng teh,
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
Seir lam koe lah kaawm e Halak mon totouh, mon dawk, tanghling dawk, palang dawk, kahrawng dawk, akalae, Hitnaw, Amornaw, Kanaannaw, Periznaw, Joshua hoi Isarelnaw ni a thei teh, Joshua ni Isarel miphunnaw koung a poe e ram hah, ka uk e siangpahrangnaw teh,
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Jeriko siangpahrang buet touh, Bethel kho teng e Ai siangpahrang buet touh,
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Jerusalem siangpahrang buet touh, Hebron siangpahrang buet touh,
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Jarmuth siangpahrang buet touh, Lakhish siangpahrang buet touh,
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Eglon siangpahrang buet touh, Gezer siangpahrang buet touh,
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Debir siangpahrang buet touh, Geder siangpahrang buet touh,
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Hormah siangpahrang buet touh, Arad siangpahrang buet touh,
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Libnah siangpahrang buet touh, Adullam siangpahrang buet touh,
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Makkedah siangpahrang buet touh, Hepher siangpahrang buet touh,
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Tappuah siangpahrang buet touh, Hepher siangpahrang buet touh,
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Aphek siangpahrang buet touh, Lasharon siangpahrang buet touh,
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Madon siangpahrang buet touh, Hazor siangpahrang buet touh,
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Shimron buet touh, Merom siangpahrang buet touh, Akshaph siangpahrang buet touh,
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Taanakh siangpahrang buet touh, Megiddo siangpahrang buet touh,
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Kedesh siangpahrang buet touh, Karner mon e Jokneam siangpahrang buet touh,
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Dor ram e Dor siangpahrang buet touh, Gilgal ram e Goiim siangpahrang buet touh,
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Tirzah siangpahrang buet touh, siangpahrang abuemlah 31 touh a pha.

< Yoshua 12 >