< Yohana 6 >

1 Baada ya haya, Yesu alikwenda ngʼambo ya Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia.
Pambele uYesu akalovoka ilisumbe ilya Galilaya, ilisumbe ilio ilitavua ilingi likatambulwagha Tibelia.
2 Umati mkubwa wa watu uliendelea kumfuata, kwa sababu waliona ishara nyingi za miujiza alizofanya kwa wagonjwa.
Avaanhu vinga vakam'bingilila uYesu, ulwakuva valyale vikufyagha ifivalilo kukilila ifidegho fino avombagha mulwa kusosia avatamu.
3 Kisha Yesu akapanda mlimani akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.
Pe uYesu na vavulanisivua vaake vakatogha ku kidunda, vakikala ukuo.
4 Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
(Unsiki ughuo, ikyimike kya Pasaka kilyale piipi).
5 Yesu alipotazama na kuuona ule umati mkubwa wa watu ukimjia, akamwambia Filipo, “Tutanunua wapi mikate ili watu hawa wale?”
UYesu akalivona ilipugha lya vaanhu likwisa kwa mwene, pe akamposia uFilipo akati, “Ndepoonu tughula kuughi amakate, kuuti avaanu avavalie”?
6 Aliuliza swali hili kumpima, kwa maana alishajua la kufanya.
(UYesu akamposia enendiki kukumughela, ulwakuva umwene alyakagwile kino iluta pivomba).
7 Filipo akamjibu, “Hata fedha kiasi cha dinari mia mbili, hazitoshi kununua mikate ya kuwapa watu hawa ili kila mtu apate kidogo.”
UFilipo akamwamula akati, “Nambe twale tuuve ni ndalama nyinga idinali filundo fivili kughula amakate, amakate aghuo naghaale ghikwila kukumpeela nu junge akamenyule akadebe.”
8 Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia,
Pe u Andleya, umo mu vavulanisivua vaake, unnuuna ghwa Simoni u petelo, akam'buula uYesu akati,
9 “Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
“Pwale apa umwana jumonga ali na makate ghahaano agha ngongilue ni samaki ivili. Neke ifyakulia ifi fitanga kiki ku vaanhu avinga ava?”
10 Yesu akasema, “Waketisheni watu chini.” Palikuwa na majani mengi katika eneo lile, nao watu wakaketi. Palikuwa na wanaume wapatao 5,000.
UYesu akavavuula avavulanisivua vaake akati, “Muvakasie avaanhu” (Pe avaanhu vala vakikala apoonu pala pano valikalile) palyale pe lusoli, mulipugha lila avakinhaata veene valyale imbilima ihaano.
11 Ndipo Yesu akachukua ile mikate, akamshukuru Mungu na kuwagawia wale watu waliokuwa wameketi. Akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
Pe uYesu akatoola amakate ghala, akamhongesia uNguluve, akavaghavila avaanhu vooni vano pwevale pala. Akatoola isamaki akavomba vule vule, Nu junge akapelua ndavule avele ilonda.
12 Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”
Avaanhu vooni yevikwite, uYesu akavavuula avavulanisivu vaake akati, “Mukong'hanie ifisighasi fyoni, kileke kusova kimonga.”
13 Hivyo wakavikusanya, wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya ile mikate mitano ya shayiri na samaki wale wawili wadogo vilivyobakishwa na waliokula.
Pe vakakong'hania ifisighasi ifya makate ghala agha ngongilue, vakamemia indiilo kijigho ni vili.
14 Baada ya watu kuona muujiza ule Yesu aliofanya, walianza kusema, “Hakika huyu ndiye Nabii ajaye ulimwenguni!”
Avaanhu vala ye vakyaghile ikidegho kino avombile uYesu vakati, '“Kyang'haani umuunhu uju ghwe mbili juno twahuvilagha kuuti ikwisa mu iisi muno.”
15 Yesu akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake.
UYesu akakagula kuuti vilonda kukumwumilisia aave ntwa ghwave akavuuka pala, akaluta kange kukidunda, ukuo akava mwene.
16 Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.
Ye vwilile, avavulanisivua vaake vakiika vakaluta ku lisumbe.
17 Wakaingia kwenye mashua, wakaanza kuvuka bahari kwenda Kapernaumu. Wakati huu kulikuwa tayari giza na Yesu alikuwa hajajumuika nao.
Vakingila mu Ngalava vakatengula kulovoka ilisumbe kuluta ku Kapelenaumu. (Unsiki ughuo jilyale ng'iisi neke uYesu alyakyale kufika pa veene).
18 Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Ilisumbe likatengula kusambaluka ulwakuva imhepo imbaha jikava jigugula.
19 Wanafunzi walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu maili tatu au nne, walimwona Yesu akitembea juu ya maji akikaribia mashua, nao wakaogopa sana.
Avavulanisivua va Yesu ye vaghendisie ingalava ikilomita ihano nambe ntanda ndiiki, vakamwagha uYesu ighenda pakyanya pa malenga alipiipi ni ngalava vakoghopa kyongo.
20 Lakini Yesu akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”
UYesu akavavuula akati, “Namungoghopaghe, neene!”
21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.
Pe aveene vakalondagha kuuti ingile mu ngalava, nakalingi ingalava jikafika imwambo jino vakava viluta.
22 Siku iliyofuata, wale watu waliokuwa wamebaki ngʼambo waliona kwamba palikuwepo na mashua moja tu na kwamba Yesu hakuwa ameondoka pamoja na wanafunzi wake, ila walikuwa wameondoka peke yao.
Ikighono ikivingilili, avaanhu vinga vano valyajiighe imwambo ijingi ija lisumbe, vakajaagha pala ingalava jimo jeene. Kange vakakagwile kuuti uYesu naavuka na vavulanisivua vaake ye viluta ni ngalava ulwakuva avavulanisivua vaake vakalutile veene.
23 Lakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia zikafika karibu na mahali pale walipokula mikate baada ya Bwana kumshukuru Mungu.
(Pe avaanhu aange vakiisa ni ngalava isingi kuhuma kulikaaja ilya Tibelia vakafika pano avaanhu vakaliile amakate uYesu ye amhongisie uNguluve).
24 Mara wale watu wakatambua kwamba Yesu hakuwepo hapo, wala wanafunzi wake. Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda Kapernaumu ili kumtafuta Yesu.
Avaanhu vala ye vakagwile kuuti uYesu na pwale pala nambe avavulanisivua vaake, vakingila mu ngalava sila vakaluta ku Kapelenaumu kukumulonda uYesu.
25 Walipomkuta Yesu ngʼambo ya bahari wakamuuliza, “Rabi, umefika lini huku?”
Avaanu vala ye vafikile imwambo ija lisumbe vakamwagha uYesu vakamposia vakati, “Ghwe m'bulanisi ghwisalighi kuno?”
26 Yesu akawajibu, “Amin, amin nawaambia, ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
UYesu akavamula akati, kyang'haani nikuvavuula, nakwekuti mukundonda ulwakuva mwafyagha ifivalilo kukilila ifidegho fino navomba, ulwene mukundonda ulwakuva mwalia amakate mukuta.
27 Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios g166)
Namungatungumalilaghe ikyakulia kino kinangika, looli ikyakulia kino nakinangika, kino kikukupeela uvwumi uvwa kuvusila kusila, ikyakulia ikio kyekino une ne mwana ghwa muunhu nikuvapeela, ulwakuva uNguluve uNhata ahufisie kyang'haani kuuti une neene ghwa kuvomba imbombo ijio.” (aiōnios g166)
28 Ndipo wakamuuliza, “Tufanye nini ili tupate kuitenda kazi ya Mungu?”
Pe aveene vakamposia vakati, “Tukite kiki neke tuvombe imbombo sino ikeela uNguluve?”
29 Yesu akawajibu, “Kazi ya Mungu ndiyo hii: Mwaminini yeye aliyetumwa naye.”
UYesu akavamula akati, “Imbombo jino ikela uNguluve je iji: Munnyitikaghe une ne juno nisunghilue nu mwene.”
30 Hivyo wakamuuliza, “Utafanya ishara gani ya muujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya jambo gani?
Vakam'buula vakati, “Ghuhufia ikivalilo kiki tukyaghe neke twitike? Lino ghuhufia ikivalilo kiki?
31 Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.’”
Avakuulu viitu ye vali ku lukuve, valyaliile imana, ndavule lilembilue mu malembe amimike kuuti, “Alyavapeliile amakate kuhuma kukyanya.”
32 Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Mose aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.
UYesu akavavuula akati, “Kyang'haani nikuvavuula, uMoose naghwe juno alyavapeliile amakate kuhuma kukyanya, looli ghwe Nhaata juno lino ikuvapeela amakate agha kyang'haani ghano ghihuma kukyanya.
33 Kwa maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.”
Nijova uluo ulwakuva unkate ughwa kyang'haani neene ne juno uNguluve asung'hile kuhuma kukyanya kukuvapeela avaanhu uvwumi uvwa kuvusila kusila.”
34 Wakamwambia, “Bwana, kuanzia sasa tupatie huo mkate siku zote.”
Pekambuula vakati, “Ghwe Mutwa, tusuuma utulaghe jaatu unkate ughuo.”
35 Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa uzima. Yeye ajaye kwangu, hataona njaa kamwe na yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe.
UYesu akavavuula akati, “Une neene nkate ghuno ghukuvapeela avaanhu uvwumi, umuunhu juno ikwisa kulyune, injala najilam'bava lusiku juno ikunyitika, ikyumilua nakilamwagha lusiku.”
36 Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
Neke nivavuulile kuuti napano munyaghile, mujiighe namukunyitika.
37 Wale wote anipao Baba watakuja kwangu na yeyote ajaye kwangu, sitamfukuzia nje kamwe.
Avaanhu vooni vano uNhaata ikumeela, vikwisa kulyune na kukunyitika, juno ikwisa kulyune nanilantaagha lusiku.
38 Kwa kuwa nimeshuka kutoka mbinguni si ili kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi yake yeye aliyenituma.
Nijova uluo ulwakuva une nisilie kuhuma kukyanya kuuti nivombage isa vughane vwa Nhaata juno asung'hile, nanisile kuvomba isa vughane vwango.
39 Haya ndiyo mapenzi yake yeye aliyenituma, kwamba, nisimpoteze hata mmoja wa wale alionipa, bali niwafufue siku ya mwisho.
Uvughane vwa Nhaata juno asung'hile vwe uvu, nileke kusofia nambe jumo mu vano amheliile, looli nivasyusie ikighono ikya vusililo.
40 Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
UNhaata ghwango ilonda kuuti, umuunhu juno akagwile kuuti une nili mwanaake na kukunyitika upile uvwumi uvwa kuvusila kusila: Na juune nilikunsyusia ikighono ikya vusililo. (aiōnios g166)
41 Wayahudi wakaanza kunungʼunika kwa kuwa alisema, “Mimi ndimi mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
Pe aVayahudi vakatengula kukung'hulasia ulwakuva uYesu ajovile kuuti, “Une neene nkate ghuno uNguluve aletile kuhuma kukyanya.”
42 Wakasema, “Huyu si Yesu, mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua? Anawezaje basi sasa kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”
Vakiposania veene viiti, “Asi umuunhu uju naghwe Yesu umwana ghwa Yosefu, avapaafi vaake tuvamanyile? Lino lwandaani iti ahumile kukyanya?”
43 Hivyo Yesu akawaambia, “Acheni kunungʼunikiana ninyi kwa ninyi.
UYesu akavamula, akati, “Muleke pikung'hulasia.
44 Hakuna mtu awezaye kuja kwangu kama asipovutwa na Baba aliyenituma, nami nitamfufua siku ya mwisho.
Nakwale umuunhu juno ndepoonu ikwisa kulyune, nave uNhata juno asung'hile une naamulongwisie, na juune nilikunsyusia umuunhu ujuo ikighono ikya vusililo.
45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Wote watafundishwa na Mungu.’ Yeyote amsikilizaye Baba na kujifunza kutoka kwake, huyo huja kwangu.
Um'bili jumonga alyalembile mu malembe amimike kuuti, 'Vilivulanisivua nu Nguluve.' Umuunhu juno ikumpulikisia uNhaata na kumanyila kwa mwene, ikwisa kulyune.
46 Hakuna mtu yeyote aliyemwona Baba isipokuwa yeye atokaye kwa Mungu, yeye ndiye peke yake aliyemwona Baba.
Nakwale umuunhu juno amwaghile uNhaata, looli une neene nimwaghile ulwakuva nihumile kwa mwene.
47 Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kyang'haani nikuvavuula, umuunhu juno ikunyitika une, ali nu vwumi uvwa kuvusila kusila. (aiōnios g166)
48 Mimi ni mkate wa uzima.
Une neene nkate ghuno ghukuvapeela avaanhu uvwumi.
49 Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
Avakuulu viinu nambe valyaliile imana ku lukuve, valyafwile.
50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.
Neke apa pweghule unkate ghuno ghuhumile kukyanya, umuunhu angalie, naifu.
51 Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Une neene nkate ghuno ghuhumile kukyanya. Umuunhu juno ilia unkate ughu, iiva nu uvwa uvwa kuvusila kusila. Unkate ughuo ghwe m'bili ghwango ghuno nitavula kuuti avaanu vooni vavisaghe nu vwumi uvwa kuvusila kusila. (aiōn g165)
52 Ndipo Wayahudi wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?”
Avayahudi vakatengula kukang'hana na kuposania veene viiti, “Asi umuunhu uju ikutupeela ndaani um'bili ghwake tulie?”
53 Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu.
UYesu akavavuula akati, “Kyang'haani nikuvavuula, nave namulia um'bili ghwango ne mwana ghwa muunhu, na kunyua idanda jango, namuuva nu vwumi uvwa kuvusila kusila.
54 Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Umuunhu juno ilia um'bili ghwango na kunyua idanda jango, ali nu vwumi uvwa kuvusila kusila, na juune nilikunsyusia ikighono ikya vusililo. (aiōnios g166)
55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
Nijova uluo ulwakuva um'bili ghwango kye kyakulia ikya kyang'haani, naji danda jango jivusia ikyumilua kyang'haani.
56 Yeyote alaye mwili wangu na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami nitakaa ndani yake.
Juno ilia um'bili ghwango na kunyua idanda jango ujuo ikukala mulyune, na juune nikukala mwa mwene.
57 Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, na kama nami ninavyoishi kwa sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa sababu yangu.
Ndavule uNhaata juno asung'hile vule mwumi, na june nili mwumi mu ngufu saake, fye enendiiki kwa muunhu juno ilia um'bili ghwango, iiva mwumi mu ngufu sango.
58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
Une nili nkate ghuno ghuhumile ghuhumile kukyanya, naghuli ndavule unkate ghuno avakuulu viinu valyaliile, vakafua. Umuunhu juno ilia unkate ughu iiva nu vwumi uvwa kuvusila kusila. (aiōn g165)
59 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
UYesu alyajovile amasio aghuo ye ali pivulanisia mu sinagogi, ku Kapelenaumu.
60 Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?”
Avaanhu vinga mu vavingilili vaake ye vapuliike isio, vakajova vakati, “Imbulanisio isi nhalamu kyongo, ghwe veeni juno ndepoonu ikwupila imbulanisio isio?”
61 Yesu alipojua kwamba wafuasi wake wananungʼunika kuhusu mafundisho yake, akawaambia, “Je, jambo hili limewaudhi?
UYesu ye alutang'hinie kuuti avavingilili vaake vikung'hulasia vwimila imbulanisio isio, akavaposia akati, asi ilisio ili likuvakuvasia?
62 Ingekuwaje basi kama mngemwona Mwana wa Adamu akipaa kwenda zake huko alipokuwa kwanza?
Pe luliiva ndaani mliiva mukunyaagha ne mwana ghwa muunhu nitogha kuluta kukyanya kuno nilyale ulutasi?
63 Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni Roho tena ni uzima.
Umhepo ghwa Nguluve ghwe juno ikuvapeela avaanhu uvwumi uvwa fighono fyoni. Ingufu sa muunhu nasingampeele umuunhu uvwumi. Amasio ghano nivavulile ghikuvapeela umue kuuva nu mhepo ghwa Nguluve, ghwope ikuvapeela uvwumi.
64 Lakini baadhi yenu hamwamini.” Kwa maana Yesu alifahamu tangu mwanzo wale ambao hawangemwamini miongoni mwao na yule ambaye angemsaliti.
Neke pwevale vamonga pakate palumue vano navikunyitika.” Ulwakuva alyakagwile kuhuma kuvutengulilo ve va veeni vano navikumwitika, kange ghwe veeni juno ilikumwohela.
65 Akaendelea kusema, “Hii ndiyo sababu niliwaambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.”
Pe akafijovagha akatisagha, fye nambe nivavulile kuuti, nakwale umuunhu juno ndepoonu ikwisa kulyune nave uNhaata naamulongwisie.”
66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.
Kuhuma unsiki ughuo vinga mu vavingilili vaake vakamuleka vakavuhiila kukum'bingilila.
67 Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
Pe uYesu akavaposia avavulanisivua vala kijigho na vavili akati, “Asi najumue mulonda pikundeka?”
68 Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
USimoni uPeteli akamwamula akati, “Ghwe mutwa, tukuleke tulute kwani uve uli na masio ghano ghikutupeela uvwumi uvwa kuvusila kusila. (aiōnios g166)
69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
Usue tukwitika kange tukagwile kuuti uve veeve mwimike kuhuma kwa Nguluve.”
70 Ndipo Yesu akajibu, “Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Lakini mmoja wenu ni ibilisi.”
Pe pano uYesu akavavuula akati, “Asi nanivasalwile umue, kange jumonga pakate palyumue ilongosivua nu Setano?
71 (Hapa alikuwa anasema juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskariote. Ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili, ndiye ambaye baadaye angemsaliti Yesu.)
Apuo uYesu alyale ikunjova uYuda umwana ghwa Simoni uIsikalioti, ulwakuva napano alyale umo mu vavulanisivua kijigho na vavili, ghwe juno ilikumwohela.

< Yohana 6 >