< Ayubu 36 >

1 Elihu akaendelea kusema:
Og Elihu blev ved og sagde:
2 “Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
Bi mig lidt, og jeg vil belære dig, thi her er endnu noget at tale for Gud.
3 Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
Jeg vil hente min Kundskab langt borte fra og skaffe den, som har skabt mig, Ret.
4 Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
Thi sandelig, mine Taler ere ikke Løgn; een, som er oprigtig i hvad han ved, er hos dig.
5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
Se, Gud er mægtig, og han vil ikke forkaste nogen, han er mægtig i Forstandens Styrke.
6 Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
Han lader ikke en ugudelig leve, men skaffer de elendige Ret.
7 Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
Han drager ikke sine Øjne bort fra de retfærdige, hos Konger paa Tronen, der sætter han dem evindelig, og de skulle ophøjes.
8 Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
Og om de blive bundne i Lænker, blive fangne med Elendigheds Snore,
9 huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
da forkynder han dem deres Gerninger og deres Overtrædelser, at de vare overmodige;
10 Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
da aabner han deres Øren for Formaningen og siger, at de skulle omvende sig fra Uretfærdighed.
11 Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
Dersom de da ville høre og tjene ham, da skulle de ende deres Dage i det gode og deres Aar i Liflighed;
12 Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
men dersom de ikke ville høre, da skulle de omkomme ved Sværdet op opgive Aanden i Uforstand.
13 “Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
Og de vanhellige af Hjerte nære Vrede, de raabe ej til ham, naar han binder dem.
14 Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
Deres Sjæl dør hen i Ungdommen og deres Liv som Skørlevneres.
15 Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
Han frier en elendig ved hans Elendighed og aabner deres Øre ved Trængsel.
16 “Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
Ogsaa dig leder han ud af Trængselens Strube til det vide Rum, hvor der ikke er snævert; og hvad, som sættes paa dit Bord, er fuldt af Fedme.
17 Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
Men har du fuldt op af den uretfærdiges Sag, skal Sag og Dom følges ad.
18 Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
Thi lad ej Vreden forlede dig til Spot og lad ej den store Løsesum forføre dig!
19 Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
Mon han skulde agte din Rigdom? nej, hverken det skønne Guld eller nogen Magts Styrke!
20 Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
Du skal ikke hige efter Natten, da Folk borttages fra deres Sted.
21 Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
Forsvar dig, at du ikke vender dit Ansigt til Uret; thi denne har du foretrukket fremfor det at lide.
22 “Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Se, Gud er ophøjet ved sin Kraft; hvo er en Lærer som han?
23 Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Hvo har foreskrevet ham hans Vej? og hvo tør sige: Du har gjort Uret?
24 Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
Kom i Hu, at du ophøjer hans Gerning, hvilken Folk have besunget;
25 Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
hvilken alle Mennesker have set, hvilken Mennesket skuer langtfra.
26 Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
Se, Gud er stor, og vi kunne ikke kende ham, og man kan ikke udgrunde Tallet paa hans Aar.
27 “Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
Thi han drager Vandets Draaber til sig; gennem hans Dunstkreds beredes de til Regn,
28 mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
hvilken Skyerne lade nedflyde, lade neddryppe over mange Mennesker.
29 Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
Mon ogsaa nogen forstaa hans Skyers Udspænding, hans Hyttes Bragen?
30 Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
Se, han udbreder sit Lys om sig og skjuler Havets Rødder.
31 Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
Thi derved dømmer han Folkene, giver dem Spise i Overflødighed.
32 Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
Over sine Hænder dækker han med Lyset, og han giver det Befaling imod den, det skal ramme.
33 Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.
Om ham forkynder hans Torden, ja om ham Kvæget, naar han drager op.

< Ayubu 36 >