< Ayubu 35 >
2 “Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
なんぢは言ふ 我が義しきは神に愈れりと なんぢ之を正しとおもふや
3 Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata, na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
すなはち汝いへらく 是は我に何の益あらんや 罪を犯すに較ぶれば何の愈るところか有んと
4 “Ningependa nikujibu wewe pamoja na marafiki zako walio pamoja nawe.
われ言詞をもて汝およびなんぢにそへる汝の友等に答へん
5 Tazama juu mbinguni ukaone; yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.
天を仰ぎて見よ 汝の上なる高き空を望め
6 Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu? Kama dhambi zako zikiwa nyingi, hilo linamfanyia nini Mungu?
なんぢ罪を犯すとも神に何の害か有ん 愆を熾んにするとも神に何を爲えんや
7 Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini, au yeye anapokea nini mkononi kwako?
汝正義かるとも神に何を與るを得んや 神なんぢの手より何をか受たまはん
8 Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe, nayo haki yako inawafaa wanadamu tu.
なんぢの惡は只なんぢに同じき人を損ぜん而已 なんぢの善は只人の子を益せんのみ
9 “Wanadamu hulia kwa kulemewa na mateso; huomba msaada kutoka mkono wenye nguvu.
暴虐の甚だしきに因て叫び 權勢ある者の腕に壓れて呼はる人々あり
10 Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu, yeye anifanyaye niimbe usiku,
然れども一人として我を造れる神は何處にいますやといふ者なし 彼は人をして夜の中に歌を歌ふに至らしめ
11 yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia, na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?’
地の獸畜よりも善くわれらを敎へ 空の鳥よりも我らを智からしめたまふ者なり
12 Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
惡き者等の驕傲ぶるに因て斯のごとく人々叫べども應ふる者あらず
13 Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili; Mwenyezi hayazingatii.
虚しき語は神かならず之を聽たまはず 全能者これを顧みたまはじ
14 Si zaidi sana kwamba hatakusikiliza wewe usemapo humwoni, tena ya kwamba shauri lako liko mbele zake na wewe lazima umngojee,
汝は我かれを見たてまつらずと言といへども審判は神の前にあり この故に汝彼を待べきなり
15 pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?
今かれ震怒をもて罰することを爲ず 罪愆を深く心に留たまはざる(が如くなる)に因て
16 Hivyo Ayubu hufumbua kinywa chake kwa maneno yasiyo na maana; anaongea maneno mengi bila maarifa.”
ヨブ口を啓きて虚しき事を述べ無知の言語を繁くす