< Ayubu 25 >
1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
수아 사람 빌닷이 대답하여 가로되
2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; yeye huthibitisha amani katika mbingu juu.
하나님은 권능과 위엄을 가지셨고 지극히 높은 곳에서 화평을 베푸시느니라
3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake?
그 군대를 어찌 계수할 수 있으랴 그 광명의 비췸을 입지 않은 자가 누구냐
4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi?
그런즉 하나님 앞에서 사람이 어찌 의롭다 하며 부녀에게서 난 자가 어찌 깨끗하다 하랴
5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu nazo nyota si safi machoni pake,
하나님의 눈에는 달이라도 명랑치 못하고 별도 깨끗지 못하거든
6 sembuse mtu ambaye ni funza: mwanadamu ambaye ni buu tu!”
하물며 벌레인 사람, 구더기인 인생이랴