< Ayubu 25 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
书亚人比勒达回答说:
2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; yeye huthibitisha amani katika mbingu juu.
神有治理之权,有威严可畏; 他在高处施行和平。
3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake?
他的诸军岂能数算? 他的光亮一发,谁不蒙照呢?
4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi?
这样在 神面前,人怎能称义? 妇人所生的怎能洁净?
5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu nazo nyota si safi machoni pake,
在 神眼前,月亮也无光亮, 星宿也不清洁。
6 sembuse mtu ambaye ni funza: mwanadamu ambaye ni buu tu!”
何况如虫的人, 如蛆的世人呢!

< Ayubu 25 >