< Ayubu 16 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
and to answer Job and to say
2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
to hear: hear like/as these many to be sorry: comfort trouble all your
3 Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
end to/for word spirit: breath or what? be sick you for to answer
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi, kama mngekuwa katika hali yangu; ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu, na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
also I like/as you to speak: speak if there soul: myself your underneath: instead soul: myself my to unite upon you in/on/with speech and to shake upon you in/at/by head my
5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
to strengthen you in/at/by lip my and solace lips my to withhold
6 “Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
if to speak: speak not to withhold pain my and to cease what? from me to go: went
7 Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
surely now be weary me be desolate: destroyed all congregation my
8 Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi; nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
and to seize me to/for witness to be and to arise: attack in/on/with me lie my in/on/with face my to answer
9 Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake, na kunisagia meno yake; adui yangu hunikazia macho yake makali.
face: anger his to tear and to hate me to grind upon me in/on/with tooth his enemy my to sharpen eye his to/for me
10 Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki; hunipiga shavuni mwangu kwa dharau, na kuungana pamoja dhidi yangu.
to open upon me in/on/with lip their in/on/with reproach to smite jaw my unitedness upon me to fill [emph?]
11 Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
to shut me God to(wards) unjust one and upon hand wicked to wring me
12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
at ease to be and to break me and to grasp in/on/with neck my and to shatter me and to arise: establish me to/for him to/for guardhouse
13 wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
to turn: surround upon me archer his to cleave kidney my and not to spare to pour: pour to/for land: soil gall my
14 Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
to break through me breach upon face of breach to run: run upon me like/as mighty man
15 “Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
sackcloth to sew upon skin my and to thrust in/on/with dust horn my
16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia, macho yangu yamepigwa na giza kuu.
face my (be red *Q(K)*) from weeping and upon eyelid my shadow
17 Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
upon not violence in/on/with palm my and prayer my pure
18 “Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
land: soil not to cover blood my and not to be place to/for outcry my
19 Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
also now behold in/on/with heaven witness my and advocate my in/on/with height
20 Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
to mock me neighbor my to(wards) god to drip eye my
21 kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
and to rebuke to/for great man with god and son: child man to/for neighbor his
22 “Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.
for year number to come and way not to return: return to go: went

< Ayubu 16 >