< Ayubu 16 >
And he answered Job and he said.
2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
I have heard like these [things] many [are] comforters of trouble all of you.
3 Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
¿ [does] an end [belong] to Words of wind or what? is it making sick you that you will answer.
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi, kama mngekuwa katika hali yangu; ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu, na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
Also - I like you I will speak if there [were] self your in place of self my I will make join on you words and I will shake on you with head my.
5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
I will strengthen you with mouth my and [the] condolence of lips my it will restrain.
6 “Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
If I will speak not it will be restrained pain my and I will cease what? from me will it go.
7 Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
Nevertheless now he has made weary me you have devastated all company my.
8 Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi; nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
And you have seized me a witness it has become and it has risen up on me leanness my in face my it testifies.
9 Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake, na kunisagia meno yake; adui yangu hunikazia macho yake makali.
Anger his it has torn [me] - and it has assailed me he has gnashed towards me with teeth his opponent my - he sharpens eyes his to me.
10 Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki; hunipiga shavuni mwangu kwa dharau, na kuungana pamoja dhidi yangu.
People have opened wide on me - mouth their in scorn they have struck cheeks my together on me they mass themselves!
11 Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
He delivers up me God to an unjust one and on [the] hands of wicked [people] he casts me.
12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
At ease I was - and he smashed me and he took hold on neck my and he shattered me and he set up me of him to a target.
13 wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
They surround me - archers his he splits open kidneys my and not he has compassion he pours out to the ground gall my.
14 Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
He breaks through me a breach on [the] face of a breach he runs on me like a warrior.
15 “Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
Sackcloth I have sewed over skin my and I have inserted in the dust horn my.
16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia, macho yangu yamepigwa na giza kuu.
Face my (they are reddened *Q(K)*) from weeping and [is] on eyelids my deep darkness.
17 Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
On not violence [is] in hands my and prayer my [is] pure.
18 “Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
O earth may not you cover blood my and may not it belong a place to outcry my.
19 Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
Also now there! [is] in the heavens witness my and witness my [is] in high places.
20 Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
[are] scoffing at Me companions my to God it has wept eye my.
21 kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
And he may argue for a man with God and a child of humankind for companion his.
22 “Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.
For years of number they will come and a way [which] not I will return I will go.