< Ayubu 16 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Yoube da amane sia: i,
2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
“Na da musa: sia: agoaiwane nabasu. Dilia na dogo denesima: ne sia: be amoga na da se fawane naba.
3 Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
Dilia da mae yolele, nama gebewane sia: nanoma: bela: ? Dilia abuliba: le dilia sia: fawane da dagomusa: sia: dawa: sala: ?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi, kama mngekuwa katika hali yangu; ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu, na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
Dilia da na sogebiga esala ganiaba amola na da dilia sogebiga esala ganiaba, na da dilia sia: be liligi go huluane sia: musa: dawa: la: loba. Na da na dialuma noga: le fofoga: ne amola sia: bagohame da amoga dili mogososonesimu.
5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
Na da dilima fada: i sia: be amoga dili mololesila: loba, amola dili denesima: ne, na da dilima gebewane fada: i sia: na: noba.
6 “Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
Be na sia: be amoga nina: hame fidisa amola ouiya: le esalebe amoga na se nabasu da hame gumisa.
7 Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
Gode! Di da na nimi guminisi, amola Di da na sosogo fi fane lelegema: ne, logo doasi.
8 Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi; nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
Di da na gagulaligi dagoi. Di da na ha lai dunu. Na da geloga: i, amaiba: le eno dunu ilia da amo ba: lu, na da wadela: le hamoiba: le se naba, ilia da agoane dawa: digisa.
9 Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake, na kunisagia meno yake; adui yangu hunikazia macho yake makali.
Gode da nama ougiba: le, na da: i dadega: le fasisa. E da nama higale, sosodo aligisa.
10 Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki; hunipiga shavuni mwangu kwa dharau, na kuungana pamoja dhidi yangu.
Dunu da nama mi gasesa. Ilia da na guba: le eale disili, na odagi ilia loboba: ga fasa.
11 Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
Gode da na wadela: i hamosu dunugili i dagoi.
12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
Na da musa: olofole esalu. Be Gode da na galogoa gaguli, na bagadewane fananu, banenesi dagoi. Gode da nama bagadewane dadiga dimaga: su hamoi.
13 wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
E da la: idi la: idi nama dadiga gala: sa. Amo dadi da na da: i damana gala: le fifili sasalisa. Be amomane E da nama asigi hou hame olelesa.
14 Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
E da na gala: le sasanone fifili sasalisa. E da doulasi dadi gagui dunu ea higale doagala: su hou defele, nama doagala: lala.
15 “Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
Na da dinana amola eboboi abula ga: sisa. Amola na da gulu da: iya da: i dioiwane fisa.
16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia, macho yangu yamepigwa na giza kuu.
Na da dinanawane, na odagi da maga: me gasa: sa. Na si da fofasa.
17 Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
Be na da hame gegei amola na da moloiwane Godema sia: ne gadosa.
18 “Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
Osobo bagade! Wadela: i hou nama hamoi dia mae wamolegema! Na da Godema, E da na da moloidafa sia: ma: ne, wele guda: sa. Na wele guda: sea mae ouiya: ma: ma!
19 Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
Dunu afae Hebene ganodini esala da wa: legadole, e da namagale aligima: ne sia: mu.
20 Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
Na na: iyado dunu da naba: le ba: sola: sa. Na da Godema dini iaha.
21 kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
Na da namagale na: iyado amo da na fidima: ne Godema edegemu, na da agoai dunu nama misa: ne hanai gala.
22 “Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.
Na da da: i sasegabe wea. Amola na da sinidigimu hamedei logo amoga ahoa.

< Ayubu 16 >