< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu:
そこでヨブは答えて言った、
2 “Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
「まことに、あなたがたのみ、人である、知恵はあなたがたと共に死ぬであろう。
3 Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
しかしわたしも、あなたがたと同様に悟りをもつ。わたしはあなたがたに劣らない。だれがこのような事を知らないだろうか。
4 “Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
わたしは神に呼ばわって、聞かれた者であるのに、その友の物笑いとなっている。正しく全き人は物笑いとなる。
5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
安らかな者の思いには、不幸な者に対する侮りがあって、足のすべる者を待っている。
6 Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
かすめ奪う者の天幕は栄え、神を怒らす者は安らかである。自分の手に神を携えている者も同様だ。
7 “Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
しかし獣に問うてみよ、それはあなたに教える。空の鳥に問うてみよ、それはあなたに告げる。
8 au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
あるいは地の草や木に問うてみよ、彼らはあなたに教える。海の魚もまたあなたに示す。
9 Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
これらすべてのもののうち、いずれか主の手がこれをなしたことを知らぬ者があろうか。
10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
すべての生き物の命、およびすべての人の息は彼の手のうちにある。
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
口が食物を味わうように、耳は言葉をわきまえないであろうか。
12 Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
老いた者には知恵があり、命の長い者には悟りがある。
13 “Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
知恵と力は神と共にあり、深慮と悟りも彼のものである。
14 Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
彼が破壊すれば、再び建てることができない。彼が人を閉じ込めれば、開き出すことができない。
15 Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
彼が水を止めれば、それはかれ、彼が水を出せば、地をくつがえす。
16 Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
力と深き知恵は彼と共にあり、惑わされる者も惑わす者も彼のものである。
17 Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
彼は議士たちを裸にして連れ行き、さばきびとらを愚かにし、
18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
王たちのきずなを解き、彼らの腰に腰帯を巻き、
19 Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
祭司たちを裸にして連れ行き、力ある者を滅ぼし、
20 Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
みずから頼む者たちの言葉を奪い、長老たちの分別を取り去り、
21 Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
君たちの上に侮りを注ぎ、強い者たちの帯を解き、
22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
暗やみの中から隠れた事どもをあらわし、暗黒を光に引き出し、
23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
国々を大きくし、またこれを滅ぼし、国々を広くし、また捕え行き、
24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
地の民の長たちの悟りを奪い、彼らを道なき荒野にさまよわせ、
25 Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.
光なき暗やみに手探りさせ、酔うた者のようによろめかせる。

< Ayubu 12 >