< Yeremia 7 >

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD to/for to say
2 “Simama kwenye lango la nyumba ya Bwana, na huko upige mbiu ya ujumbe huu: “‘Sikieni neno la Bwana, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu Bwana.
to stand: stand in/on/with gate house: temple LORD and to call: call out there [obj] [the] word [the] this and to say to hear: hear word LORD all Judah [the] to come (in): come in/on/with gate [the] these to/for to bow to/for LORD
3 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Tengenezeni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaacha mkae mahali hapa.
thus to say LORD Hosts God Israel be good way: conduct your and deed your and to dwell [obj] you in/on/with place [the] this
4 Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la Bwana, Hekalu la Bwana, Hekalu la Bwana!”
not to trust to/for you to(wards) word [the] deception to/for to say temple LORD temple LORD temple LORD they(masc.)
5 Kama kweli mkibadili njia zenu na matendo yenu, mkatendeana haki kila mmoja na mwenzake,
that if: except if: except be good be good [obj] way: conduct your and [obj] deed your if to make: do to make: do justice between man: anyone and between neighbor his
6 kama msipomwonea mgeni, yatima wala mjane, na kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu wenyewe,
sojourner orphan and widow not to oppress and blood innocent not to pour: kill in/on/with place [the] this and after God another not to go: follow to/for bad: evil to/for you
7 ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele.
and to dwell [obj] you in/on/with place [the] this in/on/with land: country/planet which to give: give to/for father your to/for from forever: antiquity and till forever: enduring
8 Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.
behold you(m. p.) to trust to/for you upon word [the] deception to/for lest to gain
9 “‘Je, mtaiba na kuua, mtazini na kuapa kwa uongo, na kufukiza uvumba kwa Baali, na kufuata miungu mingine ambayo hamkuijua,
to steal to murder and to commit adultery and to swear to/for deception and to offer: offer to/for Baal and to go: follow after God another which not to know
10 kisha mje na kusimama mbele yangu katika nyumba hii inayoitwa kwa Jina langu, mkisema, “Tuko salama.” Salama kwa kufanya mambo haya yote ya kuchukiza?
and to come (in): come and to stand: stand to/for face: before my in/on/with house: home [the] this which to call: call by name my upon him and to say to rescue because to make: do [obj] all [the] abomination [the] these
11 Je, nyumba hii, iitwayo kwa Jina langu, imekuwa pango la wanyangʼanyi kwenu? Lakini nimekuwa nikiona yanayotendeka! asema Bwana.
cave violent to be [the] house: home [the] this which to call: call by name my upon him in/on/with eye your also I behold to see: see utterance LORD
12 “‘Nendeni sasa mahali pangu palipokuwa huko Shilo, mahali ambapo nilipafanya pa kwanza kuwa makao ya Jina langu, nanyi mwone lile nililopafanyia kwa ajili ya uovu wa watu wangu Israeli.
for to go: went please to(wards) place my which in/on/with Shiloh which to dwell name my there in/on/with first and to see: see [obj] which to make: do to/for him from face: because distress: evil people my Israel
13 Mlipokuwa mnafanya yote haya, asema Bwana, nilisema nanyi tena na tena, lakini hamkusikiliza; niliwaita, lakini hamkujibu.
and now because to make: do you [obj] all [the] deed [the] these utterance LORD and to speak: speak to(wards) you to rise and to speak: speak and not to hear: hear and to call: call to [obj] you and not to answer
14 Kwa hiyo, nililolifanyia Shilo, nitalifanya sasa kwa nyumba hii iitwayo kwa Jina langu, Hekalu mnalolitumainia, mahali nilipowapa ninyi na baba zenu.
and to make: do to/for house: home which to call: call by name my upon him which you(m. p.) to trust in/on/with him and to/for place which to give: give to/for you and to/for father your like/as as which to make: do to/for Shiloh
15 Nitawafukuza mbele yangu, kama nilivyowafanyia ndugu zenu, watu wa Efraimu.’
and to throw [obj] you from upon face of my like/as as which to throw [obj] all brother: male-relative your [obj] all seed: children Ephraim
16 “Kwa hiyo usiombe kwa ajili ya watu hawa, wala usinililie, na usifanye maombi kwa ajili yao; usinisihi, kwa sababu sitakusikiliza.
and you(m. s.) not to pray about/through/for [the] people [the] this and not to lift: loud about/through/for them cry and prayer and not to fall on in/on/with me for nothing I to hear: hear [obj] you
17 Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu?
nothing you to see: see what? they(masc.) to make: do in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem
18 Watoto wanakusanya kuni, baba zao wanawasha moto, na wanawake wanakanda unga na kuoka mikate kwa ajili ya Malkia wa Mbinguni. Wanamimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine ili kunikasirisha.
[the] son: child to gather tree: wood and [the] father to burn: burn [obj] [the] fire and [the] woman to knead dough to/for to make bun to/for queen [the] heaven and to pour drink offering to/for God another because to provoke me
19 Lakini je, mimi ndiye wanayenikasirisha? asema Bwana. Je, hawajiumizi wenyewe na kujiaibisha?
[obj] me they(masc.) to provoke utterance LORD not [obj] them because shame face of their
20 “‘Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenyezi: Hasira yangu na ghadhabu yangu itamwagwa mahali hapa, juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na juu ya matunda ya ardhini, nayo itaungua pasipo kuzimwa.
to/for so thus to say Lord YHWH/God behold face: anger my and rage my to pour to(wards) [the] place [the] this upon [the] man and upon [the] animal and upon tree [the] land: country and upon fruit [the] land: soil and to burn: burn and not to quench
21 “‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Endeleeni, ongezeni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya dhabihu zenu nyingine, mle nyama hiyo wenyewe!
thus to say LORD Hosts God Israel burnt offering your to add upon sacrifice your and to eat flesh
22 Kwa kuwa nilipowaleta baba zenu kutoka Misri na kusema nao, sikuwapa amri kuhusu sadaka za kuteketezwa na dhabihu tu,
for not to speak: speak with father your and not to command them in/on/with day (to come out: send I *Q(K)*) [obj] them from land: country/planet Egypt upon word burnt offering and sacrifice
23 lakini niliwapa amri hii nikisema: Nitiini mimi, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. Enendeni katika njia zote ninazowaamuru ili mpate kufanikiwa.
that if: except if: except [obj] [the] word [the] this to command [obj] them to/for to say to hear: obey in/on/with voice my and to be to/for you to/for God and you(m. p.) to be to/for me to/for people and to go: walk in/on/with all [the] way: conduct which to command [obj] you because be good to/for you
24 Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Walirudi nyuma badala ya kusonga mbele.
and not to hear: obey and not to stretch [obj] ear their and to go: walk in/on/with counsel in/on/with stubbornness heart their [the] bad: evil and to be to/for back and not to/for face: before
25 Tangu wakati ule baba zenu walipotoka Misri hadi sasa, siku baada ya siku, tena na tena nimewatumia watumishi wangu manabii.
to/for from [the] day: today which to come out: come father your from land: country/planet Egypt till [the] day: today [the] this and to send: depart to(wards) you [obj] all servant/slave my [the] prophet day: today to rise and to send: depart
26 Lakini hawakunisikiliza wala hawakujali. Walikuwa na shingo ngumu na kufanya maovu kuliko baba zao.’
and not to hear: hear to(wards) me and not to stretch [obj] ear their and to harden [obj] neck their be evil from father their
27 “Utakapowaambia haya yote, hawatakusikiliza; utakapowaita, hawatajibu.
and to speak: speak to(wards) them [obj] all [the] word [the] these and not to hear: hear to(wards) you and to call: call to to(wards) them and not to answer you
28 Kwa hiyo waambie, ‘Hili ni taifa ambalo halimtii Bwana, Mungu wao, wala kukubali maonyo. Kweli imekufa, imetoweka midomoni mwao.
and to say to(wards) them this [the] nation which not to hear: obey in/on/with voice LORD God his and not to take: recieve discipline to perish [the] faithfulness and to cut: eliminate from lip their
29 Nyoeni nywele zenu na kuzitupa, ombolezeni katika miinuko iliyo kame, kwa kuwa Bwana amekikataa na kukiacha kizazi hiki kilichomkasirisha.
to shear consecration: hair your and to throw and to lift: raise upon bareness dirge for to reject LORD and to leave [obj] generation fury his
30 “‘Watu wa Yuda wamefanya maovu machoni pangu, asema Bwana. Wameziweka sanamu zao za machukizo ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina langu, na wameitia unajisi.
for to make: do son: descendant/people Judah [the] bad: evil in/on/with eye: seeing my utterance LORD to set: make abomination their in/on/with house: home which to call: call by name my upon him to/for to defile him
31 Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia sanamu pa Tofethi kwenye Bonde la Ben-Hinomu ili kuwateketeza wana wao na binti zao kwenye moto, kitu ambacho sikuamuru, wala hakikuingia akilini mwangu.
and to build high place [the] Topheth which in/on/with Valley son: child (Topheth of son of) Hinnom to/for to burn [obj] son: child their and [obj] daughter their in/on/with fire which not to command and not to ascend: rise upon heart my
32 Kwa hiyo mjihadhari, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu watakapokuwa hawapaiti Tofethi au Bonde la Ben-Hinomu, lakini watapaita Bonde la Machinjo, kwa sababu watawazika wafu huko Tofethi mpaka pasiwe tena nafasi.
to/for so behold day to come (in): come utterance LORD and not to say still [the] Topheth and Valley son: child (Topheth of son of) Hinnom that if: except if: except Valley [the] (Topheth of) Slaughter and to bury in/on/with Topheth from nothing place
33 Ndipo mizoga ya watu hawa itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwafukuza.
and to be carcass [the] people [the] this to/for food to/for bird [the] heaven and to/for animal [the] land: country/planet and nothing to tremble
34 Nitazikomesha sauti za shangwe na furaha, na sauti za bwana arusi na bibi arusi katikati ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, kwa sababu nchi itakuwa ukiwa.
and to cease from city Judah and from outside Jerusalem voice rejoicing and voice joy voice son-in-law and voice daughter-in-law: bride for to/for desolation to be [the] land: country/planet

< Yeremia 7 >