< Yeremia 52 >

1 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
Zedekiah el yac longoul sie matwal ke el tokosrala lun Judah, ac el leum in acn Jerusalem yac singoul sie. Inen nina kial pa Hamutal, acn natul Jeremiah se su muta in siti Libnah.
2 Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
Tokosra Zedekiah el orekma koluk lain LEUM GOD, oapana Tokosra Jehoiakim.
3 Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
LEUM GOD El mutawauk in arulana kasrkusrak sin mwet Jerusalem ac Judah, oru El siselosla liki ye mutal. Zedekiah el tuyak lainul Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia,
4 Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Wakapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.
ke ma inge Nebuchadnezzar el tuku wi un mwet mweun lal nukewa ac mweuni Jerusalem ke len aksingoul in malem aksingoul ke yac akeu ma Zedekiah el tokosra. Elos tulokunak iwen aktuktuk selos likin siti uh, musaela acn in fan rauneak acn we,
5 Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.
ac kuhlusya siti uh nwe ke yac aksingoul sie lal Zedekiah.
6 Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.
Ke len akeu in malem akakosr ke yac sacna, ke sracl uh arulana upa ac wanginla mongo nun mwet uh,
7 Kisha ukuta wa mji ukavunjwa na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.
mwet Babylonia elos fukulya pot uh. Elos ne kuhlusya siti sac, a mwet mweun nukewa in siti uh kaingla in fong sac. Elos ut yen ima lun tokosra oan we, ac sasla ke mutunpot se inmasrlon pot luo ah, na elos kaingla ut layen nu ke Infahlfal Jordan.
8 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia Mfalme Sedekia na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,
Tusruktu mwet mweun lun Babylonia ukwal Tokosra Zedekiah, sruokilya yen tupasrpasr apkuran nu Jericho, ac mwet mweun lal nukewa kaingla lukel.
9 naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.
Utukla Tokosra Zedekiah nu yorol Tokosra Nebuchadnezzar, su tuh muta in siti Riblah in acn Hamath, na Nebuchadnezzar el wotela ma ac orek nu sel we.
10 Huko Ribla mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Pia akawaua maafisa wote wa Yuda.
In acn Riblah el uniya kewa wen natul Zedekiah ye mutal, ac el oayapa sap in anwuki mwet leum lun Judah.
11 Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli, alipomweka gerezani mpaka siku ya kifo chake.
Tukun ma inge, el sap tipulyukla atronmutal Zedekiah, ac kapiri el ke sein, ac utukla el nu Babylon. Zedekiah el mutana in presin in acn Babylon nwe ke el misa.
12 Mnamo siku ya kumi ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, aliyemtumikia mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.
Ke len aksingoul in malem aklimekosr ke yac aksingoul eu lal Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia, Nebuzaradan su mwet kasru fulat lal tokosra ac mwet sap lun un mwet mweun, el utyak nu Jerusalem.
13 Alichoma moto Hekalu la Bwana, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.
El esukak Tempul, inkul fulat sin tokosra, ac lohm sin mwet leum nukewa in Jerusalem,
14 Jeshi lote la Wakaldayo chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme walivunja kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu.
ac mwet mweun lal fukulya pot in siti sac.
15 Nebuzaradani, jemadari wa askari walinzi, akawapeleka uhamishoni baadhi ya watu maskini sana na wale waliobaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.
Na Nebuzaradan el usla nu Babylonia mwet ma lula in siti sac, wi elos su usrnguk ke orekma, ac elos su sifacna kaingla nu yurin mwet Babylonia.
16 Lakini Nebuzaradani akawaacha mabaki ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.
Tusruktu el filiya kutu sin mwet su arulana sukasrup in mutana in acn Judah, ac el sang elos in orekma ke nien grape ac acn in ima saya.
17 Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la Bwana. Hivyo wakaichukua hiyo shaba yote na kuipeleka Babeli.
Mwet Babylonia elos kunausla sru bronze, ac mwe wiwa ma oan in Tempul, weang tacng bronze lulap sac, na elos usla bronze inge nukewa nu Babylon.
18 Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.
Elos usla pac saful, ac mwe neinyuk apat ma orekmakinyuk nu ke aknasnasye loang in kisa, mwe kosrkosr wik, pol ma orekmakinyuk in nein srah ke ma kisakinyuk, pol in akok mwe keng, ac ma bronze nukewa saya ma orekmakinyuk in Tempul.
19 Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua yale masinia, vile vyetezo, yale mabakuli ya kunyunyizia, zile sufuria, vile vinara vya taa, zile sahani na yale mabakuli yaliyotumika kwa sadaka za vinywaji, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.
Elos usla ma nukewa ma orekla ke gold ac silver: pol srisrik, pan in utuk mulut firir, pol in nein srah ke mwe kisa, mwe neinyuk apat, sukan lam, pol in akok mwe keng, ac pol nu ke okwok wain in kisa.
20 Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na wale mafahali kumi na mawili wa shaba waliokuwa chini yake, pamoja na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Mfalme Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.
Ma orekla ke bronze, ma Tokosra Solomon el orala lun Tempul — sru lukwa, mwe wiwa, tacng lulap sac wi cow mukul bronze singoul lukwa loangeya — ma inge arulana toasr ac tia ku in pauniyuki.
21 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane, kimo chake na mzunguko dhiraa kumi na mbili, na unene wa nyanda nne, na zote zilikuwa wazi ndani.
Sru lukwa uh oana sie lumah — fit longoul itkosr fulata ac fit singoul oalkosr raunyak, kewana oalal, ac matoltoliyen bronze kac inch tolu.
22 Sehemu ya shaba juu ya ile nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tano, na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na makomamanga yake ilifanana na hiyo ya kwanza.
Sifen sru inge fit itkosr tafu ke kais soko, orekla mwe yun kac in luman sein ac pomegranate — ma inge nukewa orekla ke bronze.
23 Kulikuwa na makomamanga tisini na sita pembeni; jumla ya makomamanga juu ya wavu uliokuwa umezunguka yalikuwa mia moja.
Ke acn yunla inge fin kais soko sru, oasr pomegranate siofok nufon, ac ma eungoul onkosr ke ma inge pa ku in liyeyuk tenyak.
24 Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.
Sayen ma inge, Nebuzaradan, mwet kol fulat lun mwet mweun, el usalla pac Seraiah mwet Tol Fulat, Zephaniah mwet tol akluo yal, ac mwet fulat tolu saya lun Tempul nu in sruoh.
25 Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri saba wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.
El usla pac liki siti uh leum se su mwet sap lun un mwet mweun, itkosr sin mwet kasru nu sel tokosra sifacna su tuh srakna oasr in siti uh, mwet kasru lal mwet kol fulat su karingin ma simla lun mwet mweun, ac mwet yohk sripa onngoul saya.
26 Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.
Nebuzaradan el usalosla nu yorol tokosra lun Babylonia, nu in siti Riblah
27 Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe. Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.
in acn Hamath. Na tokosra el sap in sringsring elos ac anwuki. Ouinge mwet Judah utukla liki facl selos nu in sruoh.
28 Hii ndiyo hesabu ya watu ambao Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni: katika mwaka wa saba, Wayahudi 3,023;
Pa inge ma simla ke mwet ma Nebuchadnezzar el usla nu in sruoh: ke yac akitkosr lal in tokosra, el usla mwet tolu tausin longoul tolu;
29 katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza, watu 832 kutoka Yerusalemu;
in yac aksingoul oalkosr lal, el usla mwet oalfoko tolngoul luo liki acn Jerusalem;
30 katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake, Wayahudi 745 walichukuliwa kwenda uhamishoni na Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme. Jumla ya watu wote walikuwa 4,600.
ac in yac aklongoul tolu lal, Nebuzaradan el usla mwet itfoko angngaul limekosr. Pisen mwet nukewa ma utukla nu in sruoh pa tausin akosr onfoko.
31 Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini mfalme wa Yuda, na kumfungua kutoka gerezani siku ya ishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili.
In yac se ma Evilmerodach el tokosrala lun Babylonia, el akkalemye kulang lal nu sel Tokosra Jehoiachin lun Judah ac tulalla liki kapir. Ma se inge sikyak ke len aklongoul limekosr ke malem aksingoul luo in yac aktolngoul itkosr tukun utukla Jehoiachin nu in sruoh.
32 Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.
Evilmerodach el oru wo nu sel, ac akfulatyal liki tokosra nukewa saya su welul sruoh in Babylonia.
33 Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.
Ouinge filfilla nu sel Jehoiachin elan ku in ayaolla liki nuknuk in kapir lal, ac welul tokosra mongo ke tepu lal ke lusenna moul lal.
34 Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake, hadi siku ya kifo chake.
Ke kais sie len, ac itukyang nu sel lupan mwe kasru ma fal nu ke enenu lal, nwe ke na el misa.

< Yeremia 52 >